< 2 Mpanjaka 21 >
1 Folo-tao-ro’amby t’i Menasè te namototse nifeleke vaho nifehe limampolo-taoñe lime amby e Ierosalaime ao; i Kefezobà ty tahinan-drene’e.
Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka hamsini na mitano. Mama yake aliitwa Hefsiba.
2 Nanao haratiañe am-pivazohoa’ Iehovà re, manahake ty haloloa’ o kilakila’ ondaty rinoa’ Iehovà aolo’ o ana’ Israeleoo.
Akafanya maovu machoni pa Bwana, akafuata desturi za machukizo za mataifa ambayo Bwana aliyafukuza mbele ya Waisraeli.
3 Amy te namboare’e indraike o toets’ abo rinotsan-drae’e Kezkiào; le nampitroare’e kitrely t’i Baale, naho nandranjie’e hazomanga manahake ty nanoe’ i Akabe mpanjaka’ Israele; le fonga nitalahoa’e o valobohòn-dikerañeo vaho nitoroña’e.
Akajenga upya mahali pa juu pa kuabudia miungu ambapo Hezekia baba yake alikuwa amepabomoa. Pia akasimamisha madhabahu za Baali na kutengeneza nguzo ya Ashera, kama Ahabu mfalme wa Israeli alivyofanya. Akalisujudia jeshi lote la angani na kuliabudu.
4 Nandranjie’e kitrely añ’anjomba’ Iehovà, ie nanoe’ Iehovà ty hoe: E Ierosalaime ao ty hampipohako ty añarako.
Akajenga madhabahu katika Hekalu la Bwana, ambamo Bwana alikuwa amesema, “Katika Yerusalemu nitaliweka Jina langu.”
5 Namboara’e kitrely i valobohòn-dikerañe iabiy, an-kiririsa roe’ i anjomba’ Iehovà eo.
Katika nyua zote mbili za Hekalu la Bwana, akajenga madhabahu kwa ajili ya jeshi lote la angani.
6 Nampirangae’e añ’afo i ana-dahi’ey, naho nañorik’ andro, naho namoreke, naho nitrobo angatse vaho nitoloñe amo jinio; halò-tsereke ty nanoe’e am-pivazohoa’ Iehovà eo, hiviñera’e.
Akamtoa kafara mwanawe mwenyewe katika moto, akafanya uchawi na uaguzi, na akataka shauri kwa wapiga ramli na kwa mizimu. Akafanya maovu mengi sana machoni mwa Bwana na kumghadhibisha.
7 Natroa’e i hazomanga rinanji’e ho a i Aserày, amy anjomba nanoe’ Iehovà amy Davide naho amy Selomò, ana’ey, ty hoe, Ami’ty anjomba toy naho e Ierosalaime jinoboko amo hene fifokoa’ Israeleo ty hampipohako ty añarako ho nainai’e donia;
Akachukua nguzo ya Ashera aliyoichonga na kuiweka katika Hekalu, ambalo Bwana alikuwa amemwambia Daudi na mwanawe Solomoni, “Katika Hekalu hili na katika Yerusalemu niliouchagua kutoka kabila zote za Israeli, nitaliweka Jina langu milele.
8 le tsy hampirerererèko hienga i tane natoloko an-droae’ iareoy o fandia’ Israeleo naho ambena’ iareo hanoeñe ze hene nandiliako vaho i Hake iaby linili’ i Mosè mpitorokoy.
Sitaifanya tena miguu ya Waisraeli itangetange kutoka nchi niliyowapa baba zao, ikiwa watakuwa waangalifu kufanya kila kitu nilichowaamuru, na kuishika Sheria yote ambayo walipewa na Mose mtumishi wangu.”
9 F’ie tsy hinao’ iereo, le tinao’ i Menasè hanao haloloañe mandikoatse o fifeheañe rinotsa’ Iehovà añatrefa’ o ana’ Israeleoo.
Lakini hawa watu hawakusikiliza. Manase akawapotosha, hivyo kwamba walifanya maovu mengi kuliko mataifa ambayo Bwana aliyaangamiza mbele ya Waisraeli.
10 Le nitsara añamo mpitoky mpitoro’eo t’Iehovà, nanao ty hoe,
Bwana akasema kupitia watumishi wake manabii:
11 Kanao nanoe’ i Menasè o haloloañe zao naho nitolon-katserehañe mandikoatse ty nanoe’ o nte-Amore taolo’eo vaho nampanaña’e tahiñe Iehoda amo hazomanga’eo;
“Manase mfalme wa Yuda ametenda dhambi hizi za kuchukiza. Amefanya maovu mengi kuliko Waamori waliokuwepo kabla yake, na ameiongoza Yuda katika dhambi kwa sanamu zake.
12 le hoe ty nafè’ Iehovà, Andrianañahare Israele, Akore ty hankàñe hafetsako am’ Ierosalaime naho am’ Iehodà kanao hiñiñiñiñe an-dravembia’e roe ze mahajanjiñe.
Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana, Mungu wa Israeli: Nitaleta maafa makubwa juu ya Yerusalemu na Yuda, kiasi kwamba masikio ya kila mmoja atakayesikia habari zake yatawasha.
13 Ho kazazaheko am’ Ierosalaime ty tali’ i Somerone naho ty vato-polòmbi’ ty anjomba’ i Akabe, vaho ho faopaoheko manahake ty famaoha’ ondaty ty finga’e t’Ierosalaime, ie faopaohe’e naho ababo’e.
Nitanyoosha juu ya Yerusalemu kamba ya kupimia iliyotumika dhidi ya Samaria, na timazi iliyotumika dhidi ya nyumba ya Ahabu. Nitaifutilia mbali Yerusalemu kama mtu afutaye sahani, nikiifuta na kuifunikiza.
14 Le haforintseko ty sehanga’ i lovakoy, naho hatoloko ampità’ o rafelahi’ iareoo; vaho ho fitsindrohañe naho fikopaha’ o fonga rafelahi’eo,
Nitawakataa mabaki wa urithi wangu na kuwatia mikononi mwa adui zao. Watapokonywa mali zao na kutekwa nyara na adui zao wote,
15 ty amo haratiañe nanoe’ iereo am-pahatreavakoo, ie nikaike ty habosehako boak’ amy andro niavotan-droae’ iareo i Mitsraimey pak’ androany.
kwa sababu wametenda uovu machoni pangu na kunighadhibisha tangu siku baba zao walipotoka Misri mpaka siku ya leo.”
16 Mbore nampidoandoan-dio maliñe t’i Menasè ampara’ te natsafe’e boak’ an-tsarira’e pak’an-tondohà’e t’Ierosalaime, ho tovo’ ty hakeo’e nampanaña’e tahiñe t’Iehodà, i nanoa’e haloloañe am-pivazohoa’ Iehovày.
Zaidi ya hayo, Manase pia alimwaga damu nyingi isiyo na hatia, hivi kwamba aliijaza Yerusalemu kutoka mwanzo hadi mwisho, mbali na dhambi ambayo alikuwa amesababisha Yuda kufanya, na hivyo wakatenda maovu machoni pa Bwana.
17 Aa naho o fitoloña’ i Menasè ila’eo, o nanoe’e iabio vaho i hakeo nanoe’ey, tsy fa sinokitse amy bokem-pamoliliañe o mpanjaka’ Iehodaoy hao?
Matukio mengine ya utawala wa Manase, na yote aliyoyafanya, pamoja na dhambi alizotenda, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?
18 Nitrao-piròtse aman-droae’e t’i Menasè, naho nalentek’ an-kiririsan’ anjomba’e an-golobo’ i Ozià ao, vaho nandimbe aze nifehe t’i Amone ana’e.
Manase akalala pamoja na baba zake na akazikwa katika bustani ya jumba lake la kifalme, katika bustani ya Uza. Naye Amoni mwanawe akawa mfalme baada yake.
19 Roapolo-taoñe ro’ amby t’i Amone te niorotse nifeleke, vaho nifehe roe toañe e Ierosalaime ao. I Mesolemetee, ana’ i Karotse nte-Iotebà, ty tahinan-drene’e.
Amoni alikuwa na miaka ishirini na miwili alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka miwili. Mamaye aliitwa Meshulemethi binti Haruzi, kutoka Yotba.
20 Nanao haratiañe ampivazohoa’ Iehovà re manahake i Menasè rae’ey.
Akatenda maovu machoni mwa Bwana, kama baba yake Manase alivyofanya.
21 Le fonga nañaveloa’e ty fañaveloan-drae’e, naho nitoroñe o hazomanga nitoroñen-drae’eo vaho nitalahoa’e.
Akaenenda katika njia zote za baba yake, akaabudu sanamu ambazo baba yake aliziabudu na kuzisujudia.
22 Naforintse’e t’Iehovà Andrianañaharen-droae’e vaho tsy nañaveloe’e ty lala’ Iehovà.
Akamwacha Bwana, Mungu wa baba zake, wala hakuenenda katika njia za Bwana.
23 Nikililia’ o mpitoro’ i Amoneo vaho zinevo’ iareo añ’anjomba’e ao.
Watumishi wa Amoni wakafanya fitina juu yake, nao wakamuulia kwake nyumbani.
24 Vinono’ ondati’ i taneio amy zao ondaty nikinia i Amone mpanjakao le nanoe’ ondati’ i taneio mpanjaka t’Iosia, ana’e, handimbe aze.
Kisha watu wa nchi wakawaua wale wote waliokuwa wamefanya hila dhidi ya Mfalme Amoni. Wakamfanya Yosia mwanawe kuwa mfalme mahali pake.
25 Aa naho o fitoloñañe nanoe’ i Amone ila’eo, tsy fa sinokits’ amy bokem-pamoliliañe o mpanjaka’ Iehodaoy hao?
Matukio mengine ya utawala wa Amoni na yale aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?
26 Nalentek’ an-kibori’e an-golobo’ i Ozà ao re vaho nandimbe aze nifehe t’Iosià ana’e.
Akazikwa kwenye kaburi lake katika bustani ya Uza. Naye Yosia mwanawe akawa mfalme baada yake.