< 2 Mpanjaka 15 >

1 Amy taom-paha roapolo-fito’ ambi’ Iarovame mpanjaka’ Israeley, ty niorota’ i Azarià ana’ i Amatsià mpanjaka’ Iehodà nifehe.
Katika mwaka wa ishirini na saba wa utawala wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Azaria mwana wa Amazia mfalme wa Yuda alianza kutawala.
2 Ni-folo-taoñ’eneñ’ amby re te niorotse nifeleke, le nifehe limampolo taoñe ro’ amby e Ierosa­laime ao; Iekoliae nte-Ierosalaime, ty tahinan-drene’e.
Alikuwa na umri wa miaka kumi na sita alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka hamsini na miwili. Mama yake aliitwa Yekolia wa Yerusalemu.
3 Nitolon-kavantañañe am-pivazohoa’ Iehovà re, hambañe amo hene fitoloñan-drae’e Amatsiào.
Akatenda yaliyo mema machoni pa Bwana, kama Amazia baba yake alivyofanya.
4 Fe mboe tsy nafahañe o toets’ aboo; nitolom-panao soroñe naho nañoro tsotse amo toets-aboo avao ondatio.
Hata hivyo, mahali pa juu pa kuabudia hapakuondolewa. Watu waliendelea kutoa kafara na kufukiza uvumba huko.
5 Linama’ Iehovà haangamae i mpanja­kay ampara’ ty andro nihomaha’e vaho nimoneñe añ’ akiba navìke ao. Iotame, ana’ i mpanjakay, ty nifehe’ i anjombay, naho nizaka ondati’ i taneio.
Bwana akampiga mfalme kwa ukoma mpaka siku aliyokufa, naye aliishi katika nyumba iliyotengwa peke yake. Yothamu mwana wa mfalme akawa msimamizi wa jumba la mfalme, na akawatawala watu wa nchi.
6 Ty ila’ o fitoloña’ i Azariào, o nanoe’e iabio; tsy fa sinokitse amy bokem-pamolili­añe o mpanjaka’ Ieho­daoy hao?
Matukio mengine ya utawala wa Azaria na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?
7 Nitrao-pirotse aman-droae’e t’i Azarià, le nalenteke aman-droae’e an-drova’ i Davide ao; le nandimbe aze nifehe t’Iotame ana’e.
Azaria akalala pamoja na baba zake, naye akazikwa karibu nao katika Mji wa Daudi, na Yothamu mwanawe akawa mfalme baada yake.
8 Amy taom-paha-telopolo-valo’ ambi’ i Azarià mpanjaka’ Iehoday, te nifeleke Israele t’i Zekarià ana’ Iarovame enem-bolañe e Somerone ao.
Katika mwaka wa thelathini na nane wa utawala wa Azaria mfalme wa Yuda, Zekaria mwana wa Yeroboamu akawa mfalme wa Israeli katika Samaria, naye akatawala miezi sita.
9 Nanao raty am-pivazohoa’ Iehovà re, manahak’ an-droae’e, tsy nisitaha’e o hakeo nampanaña’ Iarovame ana’ i Nebate tàhiñe Israeleo.
Akafanya maovu machoni pa Bwana, kama baba zake walivyofanya. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati ambazo alisababisha Israeli kuzitenda.
10 Nikinia aze t’i Salome, ana’ Iabese le zinevo’e añatrefa’ ondatio, vaho vinono’e, le nandimbe aze nifeleke.
Shalumu mwana wa Yabeshi akafanya shauri baya dhidi ya Zekaria. Akamshambulia mbele ya watu, akamuua na kuingia mahali pake kuwa mfalme.
11 Aa ty ila’ o fitoloña’ i Zekariào, oniño t’ie sinokitse amy bokem-pamoliliañe o mpanjaka’ Israeleoy.
Matukio mengine ya utawala wa Zekaria yameandikwa kwenye kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli.
12 Le niheneke ty nitsarae’ Iehovà am’ Ieho ami’ty hoe; O ana’o pak’ an-tariratse fah’ efatseo ty hiambesatse amy fiambesa’ Israeley, le izay ty ie.
Kwa hiyo neno la Bwana lililonenwa kwa Yehu likatimia, kwamba, “Wazao wako wataketi juu ya kiti cha enzi cha Israeli hadi kizazi cha nne.”
13 Niorotse nifehe amy taom-paha-telo-polo-sive’ ambi’ i Ozià mpanjaka’ Iehodaiy t’i Salome ana’ Iabese le nifeleke volan-draike do’e e Somerone ao.
Shalumu mwana wa Yabeshi akawa mfalme katika mwaka wa thelathini na tisa wa Uzia mfalme wa Yuda, naye akatawala katika Samaria kwa mwezi mmoja.
14 Nionjoñe boak’e Tirtsà t’i Menakeme ana’ i Gadý, le nivotrake e Somerone eo, naho zinevo’e t’i Salome, ana’ Iabese, e Somerone ao naho vinono’e vaho nandimbe aze nifeleke.
Kisha Menahemu mwana wa Gadi akaenda kutoka Tirsa mpaka Samaria. Akamshambulia Shalumu mwana wa Yabeshi huko Samaria, akamuua na kuingia mahali pake kuwa mfalme.
15 Aa naho o fitoloña’ i Salome ila’eo, i kilily nanoe’ey, oniño t’ie sinokitse amy bokem-pamoliliañe o mpanjaka’ Israeleoy.
Matukio mengine ya utawala wa Shalumu, na mauaji aliyoyafanya, yameandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli.
16 Zinevo’ i Menakeme amy zao ty Tifsà, ze tama’e ao iaby naho o mañohok’ azeo pake Tirtsà; amy t’ie tsy nisokafe’ iereo; aa le linafa’e vaho niriate’e iaby ze rakemba nivesatse ao.
Wakati ule, akianzia Tirsa, Menahemu alishambulia Tifsa na kila mtu ndani yake, na wale waliokuwa maeneo jirani, kwa sababu walikataa kufungua malango yao. Akaiangamiza Tifsa yote, na kuwapasua matumbo wanawake wote wenye mimba.
17 Amy taom-paha-telopolo-sive’ ambi’ i Azarià mpanjaka’ Iehodày ty niorota’ i Menakeme ana’ i Gadý nifeleke Israele, le nifehe folo taoñe e Somerone ao.
Katika mwaka wa thelathini na tisa wa utawala wa Azaria mfalme wa Yuda, Menahemu mwana wa Gadi akawa mfalme wa Israeli, akatawala huko Samaria kwa miaka kumi.
18 Nanao raty am-pivazohoa’ Iehovà re, le tsy napo’e amo hene andro’eo o hakeo nampanaña’ Iarovame ana’ i Nebate tahiñe Israeleo.
Akatenda maovu machoni pa Bwana. Katika wakati wa utawala wake wote, hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati ambazo alisababisha Israeli kuzitenda.
19 Naname i taney t’i Pole mpanjaka’ i Asore, le natolo’ i Menakeme amy Pole ty talenta volafoty arivo soa te ho ama’e ty fità’e hamentea’e i fifeheañey.
Kisha Pulu mfalme wa Ashuru akaishambulia Israeli. Menahemu mfalme wa Israeli akampa talanta elfu moja za fedha ili amsaidie na kumwezesha katika utawala wake.
20 Sinaze’ i Menakeme drala t’Israele, boak’ amo fanalolahy mpañalealeo, songa hakare’ ondatio ty sekele limampolo hatolotse amy mpanjaka’ i Asorey, vaho nibalik’ añe i mpanjaka’ i Asorey le tsy nitambatse amy taney.
Menahemu akatoza fedha hizi kwa nguvu kutoka kwa Israeli. Kila mtu tajiri alilazimika kuchanga shekeli hamsini za fedha ambazo alipewa mfalme wa Ashuru. Basi mfalme wa Ashuru akajiondoa na hakuendelea kuikalia nchi.
21 Aa naho o fitoloña’ i Menakeme ila’eo, ze hene nanoe’e, tsy fa sinokitse amy bokem-pamoliliañe o mpanjaka’ Israeleoy hao?
Matukio mengine ya utawala wa Menahemu na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?
22 Nitrao-piròtse aman-droae’e ao t’i Menakeme, le nandimbe aze nifehe t’i Pekaià, ana’e.
Menahemu akalala pamoja na baba zake. Naye Pekahia mwanawe akawa mfalme baada yake.
23 Amy taom-paha-limampolo’ i Azarià mpanjaka’ Iehoday, te niorotse nifehe Israele e Somerone ao t’i Pekaià ana’ i Menaheme; le nifeleke roe taoñe.
Katika mwaka wa hamsini wa utawala wa Azaria mfalme wa Yuda, Pekahia mwana wa Menahemu akawa mfalme wa Israeli huko Samaria, akatawala miaka miwili.
24 Nanao ze raty am-pivazohoa’ Iehovà re; tsy nisi­taha’e o tahi’ Iarovame ana’ i Nebate nam­panaña’e hakeo Isra­eleo.
Pekahia akafanya uovu machoni pa Bwana. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati, ambazo alisababisha Israeli kuzitenda.
25 Nikinia aze amy zao t’i Pekà ana’ i Remalià, sorotà’e, le nanjevoñ’ aze e Somerone, amy fitalakesañ’ abo’ i anjomba’ i mpanjakaiy ao, rekets’ i Argobe naho i Ariè vaho ondaty limampolo nte-Gilade nindre ama’eo; vinono’e, vaho nandimbe aze nifehe.
Mmoja wa maafisa wake wakuu, Peka mwana wa Remalia, akafanya shauri baya dhidi yake. Akachukua watu hamsini wa Gileadi pamoja naye, akamuua Pekahia, pamoja na Argobu na Aria, katika ngome ya jumba la kifalme huko Samaria. Kwa hiyo Peka akamuua Pekahia, naye akaingia mahali pake kuwa mfalme.
26 Aa naho o fitoloña’ i Pekaià ila’eo, o hene nanoe’eo, tsy fa sinokitse amy bokem-pamoli­liañe o mpanjaka’ Israeleoy hao?
Matukio mengine ya utawala wa Pekahia na yote aliyoyafanya yameandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli.
27 Amy taom-paha-limampolo-ro’ ambi’ i Azarià, mpanjaka’ Iehodày, le niorotse nifehe e Israele e Some­ro­ne ao t’i Pekà ana’ i Remalià vaho nifeleke roapolo taoñe.
Katika mwaka wa hamsini na mbili wa utawala wa Azaria mfalme wa Yuda, Peka mwana wa Remalia akawa mfalme wa Israeli huko Samaria, naye alitawala miaka ishirini.
28 Nanao haratiañe am-pivazohoa’ Iehovà, tsy nisitaha’e o tahi’ Iarovame ana’ i Nebate, nampanaña’e hakeo Israeleo.
Akafanya maovu machoni pa Bwana. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati, ambazo alisababisha Israeli kuzitenda.
29 Tañ’ andro’ i Pekà mpanjaka’ Israele, ty nanamea’ i Tiglate-pilèsere mpanjaka’ i Asore, le tinava’e t’Iione, i Abel-bete-maakà, Ianoà, i Kedese, i Kazore, i Gilade naho ze hene tane Naftalý vaho nendese’e an-drohy mb’e Asore añe.
Wakati wa utawala wa Peka mfalme wa Israeli, Tiglath-Pileseri mfalme wa Ashuru alikuja na kuteka Iyoni, Abel-Beth-Maaka, Yanoa, Kedeshi na Hazori. Akateka miji ya Gileadi na Galilaya, pamoja na nchi yote ya Naftali, na kuwahamishia watu wote Ashuru.
30 Kinilili’ i Hoseà, ana’ i Elà t’i Pekà, ana’ i Remalià, le linafa’e naho vinono’e vaho nandimbe aze nifehe amy taom-paha-roapolo’ Iotame ana’ i Oziày.
Kisha Hoshea mwana wa Ela akafanya shauri baya dhidi ya Peka mwana wa Remalia. Akamshambulia na kumuua, kisha akaingia mahali pake kuwa mfalme katika mwaka wa ishirini wa Yothamu mwana wa Uzia.
31 Aa naho o fitoloña’ i Pekà ila’eo, o nanoe’eo, oniño t’ie misokitse amy bokem-pamoliliañe o mpanjaka’ Israeleoy.
Matukio mengine ya utawala wa Peka na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?
32 Amy tom-paharoe’ i Pekà, ana’ i Remalià, mpanjaka’ Israeley, te niorotse nifehe e Iehodà t’Iotame ana’ i Ozià.
Katika mwaka wa pili wa utawala wa Peka mwana wa Remalia mfalme wa Israeli, Yothamu mwana wa Uzia mfalme wa Yuda alianza kutawala.
33 Roapolo taoñe lime amby re te niorotse nifeleke, le nifehe folo taoñe eneñ’ amby e Ierosalaime ao, Ierosoae ana’ i Tsadoke, ty tahinan-drene’e.
Alikuwa na miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na sita. Mama yake aliitwa Yerusha binti Sadoki.
34 Nanao ty havantañañe am-pihaino’ Iehovà re, hene norihe’e ty satan-drae’e Ozià.
Akafanya yaliyo mema machoni pa Bwana, kama Uzia baba yake alivyokuwa amefanya.
35 Fe tsy nafahañe añe o toets’ aboo; mbe nanao soroñe naho nañenga ey ondatio. Namboare’e ty lalambei’ ambone’ i anjomba’ Iehovày.
Hata hivyo, mahali pa juu pa kuabudia hapakuondolewa. Watu waliendelea kutoa kafara na kufukiza uvumba huko. Yothamu akajenga upya Lango la Juu la Hekalu la Bwana.
36 Aa naho o fitoloña’ Iotame ila’eo, ze hene nanoe’e, tsy fa sinokitse amy bokem-pamoliliañe o mpanjaka’ Iehodàoy hao?
Matukio mengine ya utawala wa Yothamu na yale aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?
37 Namototse nañirake i Re­tsine mpanjaka’ i Arame naho i Pekà ana’ i Remalià, haname Iehodà t’Iehovà henane zay.
(Katika siku hizo, Bwana akaanza kuwatuma Resini mfalme wa Aramu na Peka mwana wa Remalia dhidi ya Yuda.)
38 Nitrao-piròtse aman-droae’e t’Iotame le nalentek’ aman-droae’e an-drova’ i Davide ao; vaho nandimbe aze nifehe t’i Ahkaze ana’e.
Yothamu akalala na baba zake, akazikwa pamoja nao katika Mji wa Daudi, mji wa baba zake. Naye Ahazi mwanawe akawa mfalme baada yake.

< 2 Mpanjaka 15 >