< 2 Tantara 3 >

1 Aa le namototse nandranjy i anjomba’ Iehovày e Ierosalaime ao t’i Selomò, an-kaboa’ i Morià, amy niboaha’ Iehovà amy Davide rae’ey; amy nihentseña’ i Davidey, an-tanem-pamofoha’ i Ornane nte-Iebosý eo.
Kisha Selemani akaanza kuijenga nyumba ya Yahwe katika Yerusalemu juu ya Mlima Moria, ambako Yahwe alimtokea Daudi baba yake. Aliandaa sehemu ambayo Daudi aliikusudia, katika sakafu ya kupuria ya Arauna Myebusi.
2 Ie namototse namboatse amy andro faharoe’ ty volam-paha-roe’ i taom-paha-efam-pifehea’ey.
Alianza kujenga siku ya pili ya mwezi wa pili, katika mwaka wa nne wa utawala wake.
3 Zao o mananta napeta’ i Selomò amy namboareñe i anjomban’ Añahareio: ty andava’e, amy fanjeheañe haehaey, le kiho enempolo vaho kiho roapolo ty am-pohe’e.
Sasa hivi ndinyo vipimo vya ule msingi ambao Selemani alijenga kwa ajili ya nyumba ya Mungu. Akitumia mtindo wa vipimo vya zamani, urefu ulikuwa mikono sitini, na upana ulikuwa mikono ishirini.
4 I lavaranga aolo’ i anjombaiy, ty an­dava’e, mira amy ampohe’ i anjombaiy, kiho roapolo, le zato-tsi-roapolo ty haabo’e; vaho nipakora’e volamena ki’e.
Urefu wa ukumbi mbele ya nyumba ulikuwa mikono ishirini, ukilingana na upana wa nyumba, urefu wake kwenda juu pia ulikuwa mikono ishirini, na Selemani akaifunika sehemu ya ndani kwa dhahabu halisi.
5 Sinaro’e mendo­raveñe ty anjomba bey, le nipakora’e volamena soa vaho niravaha’e satrañe naho silisily.
Akailitengeneza paa la ukumbi mkuu kwa miti ya miberoshi, ambayo aliifunika kwa dhahabu halisi, na ambayo aliifunika kwa miti ya mitende na minyororo.
6 Mbore nihamine’e vatosoa i anjombay, le vola­mena boake Parvaime i volamenay.
Akaipamba nyumba kwa vito vya thamani; dhahabu ilikuwa dhahabu kutoka Parvaimu.
7 Nipa­kora’e volamena ka i anjom­bay, o boda’eo, o fimoaha’eo naho o rindri’eo naho o lala’eo; vaho nisokira’e kerobe o rindriñeo.
Pia akazifunika boriti zake, vizingiti, kuta, na milango kwa dhahabu; akachonga makerubi juu ya kuta zake.
8 Le nandranjy i toetse loho masiñey, ty andava’e mira ami’ty ampohe’ i anjombaiy, kiho roapolo; naho kiho roapolo ty ampohe’e; vaho nipakora’e volamena soa, ami’ty talenta enen-jato.
Akaijenga sehemu ya patakatifu pa patakatifu. Urefu wake ulilingana na upana wa nyumba, mikono ishirini, na upana wake pia ulikuwa mikono ishirini. Aliifunika kwa dhahabu halisi, thamani yake ilikuwa talanta mia sita.
9 Sekele volamena limampolo ka ty lanja’ o fantsikeo; vaho nipakora’e volamena o efetse amboneo.
Uzito wa misumari ulikuwa shekeli hamsini za dhahabu. Alizifunika sehemu za juu kwa dhahabu.
10 Nandranjia’e kerobe roe am-panokiram-bonga’e i toetse masiñey; le nipakora’ iareo volamena.
Akachonga makerubi wawili kwa ajili ya sehemu za patakatifu pa patakatifu, wahunzi wakayafunika kwa dhahabu. (Maandishi ya kale yanasema: makerubi wawili waliochongwa kwenye mbao).
11 Kiho roapolo ty fivelara’ i elan-kerobe rey; ty halava’ ty elan-kerobe: kiho lime, nitakatse ty rindri’ i trañoy; kiho lime ka i elatse raikey, nitakatse ty ela’ i kerobe ila’ey.
Mabawa ya makerubi yalikuwa na urefu wa mikono ishirini yote kwa pamoja; bawa la kerubi mmoja lilikuwa na urefu wa mikono mitano, lilifikia kwenye ukuta wa chumba; bawa jingine lilikuwa na urefu wa mikono mitano pia.
12 Ty ela’ i kerobe raikey ka, le kiho lime, nitakatse ty rindri’ i trañoy vaho kiho lime ka ty ela’e ila’e nitakatse ty ela’ i kerobe raikey.
Bawa la kerubi mwingine lilikuwa mikono mitano, likifikia kwenye ukuta wa chumba; bawa lake jingine lilikuwa mikono mitano pia, likigusana na bawa la kerubi wa kwanza.
13 Nivelatse kiho roapolo i elan-kerobe rey; songa nijohañe am-pandia, sindre nitolike mb’ añate’e ty lahara’e.
Mabawa ya makerubi hawa yalienea jumla ya mikono mitano. Makerubi yalisimama kwa miguu yake, na nyuso zake zikiuelekea ukumbi mkuu.
14 Nanoe’e ami’ty manga naho malòmavo naho mena mañabarà naho leny marera­­rera i lamba tsingarakarakey vaho nanoa’e sary kerobe.
Akatengeneza pazia la samawati, dhambarau, na sufu nyekundu, na kitani safi, na akachora makerubi juu yake.
15 Le niranjie’e aolo’ i anjombay ty fahañe roe, kiho telopolo-lim’ amby ty haabo’e, songa kiho lime ty kapeke ambone’e.
Selemani pia akatengeneza nguzo mbili, kila moja ikiwa na urefu wa mikono thelathini na tano kwenda juu, kwa maana mbele ya nyumba; taji ambazo zilikuwa juu ya nguzo zilikuwa na urefu wa mikono mitano kwenda juu.
16 Nandranjia’e silisily i toetse masiñey le nasam­pe’e ambone’ i fahañe rey; le nitse­ne’e voan-dagoa napetak’ amy silisily rey.
Akatengeneza minyororo kwa ajili ya nguzo na akaiweka juu yake, pia akatengeneza maakomamanga mia moja na akayaunganisha kwenye minyororo.
17 Natroa’e aolo’ i anjombay i fahañe rey, ty raik’ am-pitàn-kavana naho ty raik’ ankavia; le nitokave’e ty hoe Iakine i ankavanay vaho Boaze ty añara’ i haviay.
Akazisimamisha nguzo mbele ya hekalu, mkono wa kulia, na nyingine mkono wa kushoto; akaiita nguzo ya kulia Yakini, na nguzo ya kushoto akaiita Boazi.

< 2 Tantara 3 >