< 2 Tantara 12 >
1 Ie nioreñe ty fifehea’ i Rekoboame naho naozatse, le naforintse’e ty Tsara’ Iehovà, ie naho Israele iaby.
Ikawa kwamba, Rehoboamu alipokuwa ameimarishwa na mwenye nguvu, kwamba akaikataa sheria ya Yahwe—na Waisraeli wote pamoja naye.
2 Aa ie tan-taom-pahalime’ i Rekoboame, amy te fonga nandilatse am’ Iehovà t’Israele, le naname Ierosalaime t’i Sisake mpanjaka’ i Mitsraime,
Ilitokea katika mwaka wa tano wa Mfalme Rehoboamu, kwamba, Shishaki, mfalme wa Israeli, akaja kinyume na Yerusalelemu, kwa sababu watu walikuwa wameacha kuwa waaminifu kwa Yahwe.
3 reketse sarete arivo-tsi-roanjato naho mpiningi-tsoavala eneñ’ ale; naho ondaty tsifotofoto nente’e boake Mitsraimeo: o nte-Libiao, o nte-Sokio vaho o nte-Koseo.
Akaja na magari elfu moja na mia mbili pamoja naye na wapand farasi elfu sitini. Askari wasio hesabika wakaja pamaoja naye kutoka Misri: Walubi, Wasukii, na Waethiopia.
4 Le rinambe’e o rova aman-kijoly Iehodao vaho nitakare’e t’Ierosalaime.
Akaiteka miji yenye ngome ya Yuda na akaja Yerusalemu.
5 Aa le nimb’ amy Rekoboame naho amo roandria’ Iehoda nifanontoñe e Ierosalaimeo t’i Semaià mpitoky, ty amy Sisake, le nanoe’e ty hoe: Hoe t’Iehovà: Tsinambolitio’ areo iraho, toly ndra napoko am-pità’ i Sisake.
Sasa Shemaya nabii akaja kwa Rehoboamu na kwa viongozi wa Yuda ambao walikuwa wamekusanyika pamoja Yerusalemu kwa sababu ya Shishaki. Shemaya akasema kwao, “Hivi ndivyo anavyosema Yahwe: Mmenisahau, kwa hiyo pia nimewaweka katika mkono wa Shishaki”.
6 Aa le nirè-batañe o roandria’ Israeleo naho i mpanjakay vaho nanao ty hoe: Vantañe t’Iehovà.
Kisha wakuu wa Israeli na mfalme wakajinyenyekeza na kusema, “Yahwe ni mtakatifu.”
7 Ie nivazoho’ Iehovà t’ie nirè-batañe, le niheo amy Semaià ty tsara’ Iehovà nanao ty hoe: Kanao nire-batañe le tsy harotsako; fa hitolorako rombake vaho tsy am-pità’ i Sisake ty hampidoañako am’Ierosalaime ty habosehako.
Yaahwe alipoona kuwa wamejinyenyekeza, neno la Yahwe likamjia Shemaya, likisema, “Wamejinyenyekeza. Stawaadhibu; nitawaokoa kwa hataua fulani, na hasira yangu haitamiminwa juu ya Yerusalemu kwa mkono wa Shishaki.
8 F’ie h’ondevo’e, hianatse ty fitoroñañe amako ami’ty fitoroñañe o fifehea’ ty tane toio.
Vile vile, watakuwa watumishi wake, ili kwamba wajue nini maana ya kunitumikia mimi na kuwatumikia watawala wa nchi zingine.”
9 Aa le naname Ierosalaime t’i Sisake mpanjaka’ i Mitsraime nitavañe ze vara añ’ anjomba’ Iehovà ao naho ze vara’ añ’ anjomba’ i mpanjakay; fonga nendese’e; tinava’e ka o fikalan-defoñe volamena rinanji’ i Selomòo.
Kwa hiyo Shishaki, mfalme wa Misiri akaja Yerusalemu akazichukua hazina katika nyumba ya Yahwe, na hazina katika nyumba ya mfalme. akachukua kila kitu; pia akazichukua ngao za dhahabu alizokuwa amezitengeneza Selemani. Mfalme
10 Le nandranjy fikalandefo torisike hasolo irezay t’i Rekoboame ie nampamandroñe’e o mpifehe-pigaritse mpañambeñe ty lalambei’ i mpanjakaio.
Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba katika nafasi zake na kuzikabidhi mikoni mwa maamrijeshi wa walinzi, amabao waliilinda milango ya kuelekea kwenye nyumba ya mfalme.
11 Ie amy zao, ndra mbia’ mbia nimoak’ añ’ anjomba’ Iehovà ao i mpanjakay le rinambe’ o mpigaritseo irezay, naombe hey vaho nampoly an-trañom-piambeñe ao.
Ikawa kwamba mfalme kila alipoingia katika nyumba ya Yahwe, walinzi wakazibeba; kisha wakazirudisha katika nyumba ya ulinzi.
12 Aa kanao nirè-batan-dre, le nihànkañ’ ama’e ty haviñera’ Iehovà, tsy rinotsa’e ho mongotse; nanintsiñe t’Iehodà henane zay.
Rehoboamu alipojinyenyekeza mwenyewe, ghadhabu ya Yahwe ikampisha mbali, kwa hiyo hakumwangamiza kabisa kabisa; pembeni, bado kulikuwa na baadhi ya wema wa kupatikana katika Yuda.
13 Le nihaozatse e Ierosalaime ao t’i Rekoboame naho nifehe; toe ni-efapolo-raik’amby taoñe ty Rekoboame te niorotse nifehe vaho nifehe folo-tao-fito’ amby e Ierosalaime ao, i rova jinobo’ Iehovà amo hene fifokoa’ Israeleo hampipoha’e i tahina’eiy; i Naamà nte-Amone ty tahinan-drene’e.
Hivyo mfalme Rehoboamu akafanya ufalme wake imara katika Yerusalemu, na kwa hiyo akatawala. Rehoboamu alikuwa na umri wa miaka aroabaini na moja alipoanza kutawala, na akatawala kwa muda wa mika kumi na saba katika Yerusalemu, mji ambao Yahwe alikuwa ameuchagua kutoka kwa makabila ya Israeli ili kwamba aliweke jina lake humo. Jina lake aliitwa Naama, Mwamoni.
14 Nanao haratian-dre, amy te tsy nihajarie’e añ’ arofo’e ao ty fipaiñe Iehovà.
Akafanya yaliyokuwa uovu, kwa sababu hakuuelekeza moyo wake kumtafuta Yahwe.
15 Aa naho o fitoloña’ i Rekoboameo, ty valoha’e pak’am-para’e, tsy fa sinokitse amo talili’ i Semaià mpitoky naho Idò mpitokio hao ty amo fiantoñoñeo? Nifañotakotake nainai’e t’i Rekoboame naho Iarovame.
Kwa mambo mengine kuhusu Rehoboamu, mwanzo na mwisho, hayakuandikwa katika maandishi ya Shemaya nabii na ya Ido mwonaji, ambayo pia yana kumbukumbu ya vizazi na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu?
16 Aa le nitrao-piròtse aman-droae’e t’i Rekoboame naho nalentek’ an-drova’ i Davide ao; vaho nandimbe aze nifehe t’i Abiià ana’e.
Rehoboamu akalala pamoja na babu zake na alizikwa katika mji wa Daudi; Abiya mwanye akawa mfalme katika nafasi yake.