< 1 Samoela 27 >

1 Aa hoe ty fitsakorean-tro’ i Davide: Indraik’ andro ke ho faopaohem-pità’ i Saole iraho; aa ino ty hahasoa ahy mandikoatse te hibioñe mb’an-tane’ o nte-Pilistio mb’eo; toe hafoe’ i Saole iraho tsy hipay ahy an-tane Israele ao ka; aa le ho poliorako o fità’eo.
Daudi akasema moyoni mwake, “Katika mojawapo ya siku hizi nitaangamizwa kwa mkono wa Sauli. Jambo lililo bora ni kutorokea kwenye nchi ya Wafilisti. Hivyo Sauli atakata tamaa ya kunisaka popote katika Israeli, nami nitakuwa nimeponyoka mkononi mwake.”
2 Niavotse amy zao t’i Davide ­nitsake mb’eo rekets’ i lahilahy enenjato mpi­ama’e rey; mb’ amy Akise, ana’ i Maòke, mpanjaka’ i Gate mb’eo.
Hivyo Daudi akaondoka na hao watu mia sita waliokuwa pamoja naye na kwenda kwa Akishi mwana wa Maoki mfalme wa Gathi.
3 Aa le nindre nimoneñe amy Akise e Gate ao t’i Davide, ie naho ondati’eo, songa an-kasavereña’e naho i Davide rekets’ i vali’e roe rey, i Akinoame nte-Iezreele, vaho i Abigale nte Karmele, nivali’ i Nabaley.
Daudi na watu wake wakakaa huko Gathi pamoja na Akishi. Kila mtu alikuwa pamoja na jamaa yake, naye Daudi pamoja na wakeze wawili: yaani Ahinoamu wa Yezreeli, na Abigaili wa Karmeli, mjane wa Nabali.
4 Ie natalily amy Saole te nivoratsake mb’e Gate añe t’i Davide; le tsy nipaia’e ka.
Sauli alipokuwa ameambiwa kwamba Daudi alikuwa amekimbilia Gathi, hakuendelea kumsaka tena.
5 Le hoe t’i Davide amy Akise: Aa naho nahatrea fañisohañe am-pihaino’o iraho, le anoloro toetse raik’ amo rova an-kalokeo; fa ino ty himoneña’ ty mpitoro’o an-drovam-panjaka mindre ama’o atoa?
Ndipo Daudi akamwambia Akishi, “Kama nimepata kibali machoni pako, unipe sehemu katika mojawapo ya miji katika nchi nikae huko. Kwa nini mtumwa wako akae pamoja nawe katika mji huu wa kifalme?”
6 Natolo’ i Akise aze ty Tsiklage amy andro zay; aa le atao hanañam-panjaka’ Iehodao pak’ androany ty Tsiklage.
Hivyo siku hiyo Akishi akampa Daudi mji wa Siklagi, nao Siklagi umekuwa mali ya wafalme wa Yuda tangu wakati huo.
7 Le ty hamaro’ ty andro nimoneña’ i Davide an-tane’ o nte-Pilistio: taoñe raike-tsi-efa-bolañe.
Daudi akaishi katika nchi ya Wafilisti muda wa mwaka mmoja na miezi minne.
8 Nionjoñe mb’eo amy zao t’i Davide rekets’ o mpiama’eo, naname o nte-Gesorio naho o nte-Gizrio vaho o nte-Amalekeo, amy t’ie nimoneñe an-tane haehae, amy fañaveloa’o boak’e Sore pak’an-tane Mitsraimey.
Basi Daudi na watu wake wakapanda na kuwashambulia Wageshuri, Wagirizi na Waamaleki. (Tangu zamani haya mataifa yalikuwa yameishi kwenye eneo lililotanda kuanzia Telemu katika njia iteremkayo Shuri hadi kufikia nchi ya Misri.)
9 Zinevo’ i Davide i taney, le tsy napo’e ho veloñe ndra lahilahy ndra ampela, naho tinava’e iaby o añondrio naho o añombeo naho o borìkeo naho o ramevao vaho o saroñeo. Le nimpoly mb’e Akise mb’eo.
Kila mara Daudi aliposhambulia eneo, hakubakiza hai mwanaume wala mwanamke, lakini alichukua kondoo na ngʼombe, punda na ngamia, na nguo. Kisha akarudi kwa Akishi.
10 Le hoe t’i Akise: Aia ty nañatsafa’o lalañe anindroany? Le hoe t’i Davide: Añ’ila’ Iehodà atimo añe, naho atimo’ o nte-Ierakmileo mb’ atimo’ o nte-Kenio.
Akishi alipomuuliza, “Je leo umeshambulia wapi?” Daudi humjibu, “Dhidi ya Negebu ya Yuda,” au wakati mwingine husema, “Dhidi ya Negebu ya Yerameeli,” au “Dhidi ya Negebu ya Wakeni.”
11 Ndra lahilahy ndra ampela tsy nado’ i Davide ho veloñe hera hitaroñeñe amy Gate ty hoe: Zao ty nanoe’ i Davide. Ie ty nanoe’e amo hene andro naha-tan-tane’ o nte-Pilistio azeo.
Daudi hakumwacha hai mwanaume au mwanamke ili apate kuletwa Gathi, kwa maana Daudi aliwaza, “Wanaweza kujulisha habari zetu na kusema, ‘Hivi ndivyo alivyofanya Daudi.’” Hii ndiyo ilikuwa desturi yake wakati wote aliishi katika nchi ya Wafilisti.
12 Niantok’ i Davide t’i Akise, ie nanao ty hoe: Toe nampitrotrotse vatan-dre am’ondati’e Israeleo; aa le ho mpitoroko nainai’e.
Akishi akamsadiki Daudi na kuwaza moyoni mwake, akasema, “Daudi amekuwa kitu cha kuchukiza kabisa kwa watu wake, Waisraeli, hivi kwamba atakuwa mtumishi wangu milele.”

< 1 Samoela 27 >