< 1 Petera 4 >

1 Aa kanao nilofek’ am-pañova’e i Norizañey, le adiaño ho fitalifirañe izay, amy te nijihetse tsy manao hakeo ka ty nijale an-tsandriñe,
Kwa hiyo, kwa kuwa Kristo aliteswa katika mwili wake, ninyi nanyi jivikeni nia iyo hiyo kwa maana mtu aliyekwisha kuteswa katika mwili ameachana na dhambi.
2 soa te amo andro sisa amy nofotseio, tsy hiveloma’e ka o hasijy rati’ ondatioo, fa ty satrin’ Añahare.
Kwa hivyo, haishi maisha yake yaliyobaki ya kuishi hapa duniani kwa tamaa mbaya za wanadamu, bali anaishi kwa mapenzi ya Mungu.
3 Amy te nahatsàke anahareo o andro nitoloñañe amy ze fisatria’ o kilakila’ ndatio—nifanao haloloañe, hakarapiloañe, hamamoañe, fihisàn-draty, figologodrañan-divay, vaho fitalahoam-pahasive tiva.
Maana wakati uliopita mmekwisha kutumia muda wa kutosha katika maisha yenu mkifanya yale ambayo wapagani hupenda kutenda: wakiishi katika uasherati, tamaa mbaya, ulevi, karamu za ulafi, vileo, ngoma mbaya, na ibada chukizo za sanamu.
4 Le hoe te ankafankafa amo mifosao t’ie tsy migodañe tsy nàhy mindre am’iereo mb’an-kaliforan-katsivokarañe ao.
Wao hushangaa kwamba ninyi hamjiingizi pamoja nao katika huo wingi wa maisha ya ufisadi, nao huwatukana ninyi.
5 F’ie tsy mahay tsy hamolily amy veka’e hizaka o veloñeo naho o vilasioy.
Lakini itawapasa wao kutoa hesabu mbele zake yeye aliye tayari kuwahukumu walio hai na waliokufa.
6 Izay ty talim-pitseizañe i talili-soay amo nihomakeo, hizakañe hoe ondaty amy nofotsey vaho ho veloñe añ’arofo ao ty amy natoron’ Añaharey.
Kwa kuwa hii ndiyo sababu Injili ilihubiriwa hata kwa wale waliokufa, ili wahukumiwe sawasawa na wanadamu wengine katika mwili, lakini katika roho waishi kulingana na Mungu aishivyo.
7 Fa an-titotse ty firefea’ ze he’e. Aa le miliera-vatañe vaho mijilova hahafilolofa’ areo.
Mwisho wa mambo yote umekaribia. Kwa hiyo kuweni na akili tulivu na kiasi, mkikesha katika kuomba.
8 Mandikoatse izay, imaneo fifampikokoañe, fa mahalembeke hakeo maro ty fikokoañe.
Zaidi ya yote, dumuni katika upendo kwa maana upendo husitiri wingi wa dhambi.
9 Mifampiantrañoa tsy aman-treotreoñe.
Kuweni wakarimu kila mtu na mwenzake pasipo manungʼuniko.
10 Aa kanao songa nandrambe falalàñe le mitoloña am-pifampitoroñañe hoe mpamandroñe mahimba’ o hasoan’ Añahare ankafankafao.
Kila mmoja na atumie kipawa chochote alichopewa kuwahudumia wengine, kama mawakili waaminifu wa neema mbalimbali za Mungu.
11 Ndra iaia misaontsy le manahake t’ie misaontsy o fetsen’ Añahareo; ze mitoroñe, le ami’ty haozarañe atolon’ Añahare aze, soa te amy ze he’e, ho rengèñe t’i Andrianañahare añam’ Iesoà Norizañey. Aze ty engeñe naho ty fifeheañe nainai’e donia. Amena. (aiōn g165)
Yeyote asemaye hana budi kusema kama mtu asemaye maneno ya Mungu mwenyewe. Yeyote ahudumuye hana budi kuhudumu kwa nguvu zile anazopewa na Mungu, ili Mungu apate kutukuzwa katika mambo yote kwa njia ya Yesu Kristo. Utukufu na uweza una yeye milele na milele. Amen. (aiōn g165)
12 O ry rañetse, ko ilatsa’ areo ty fitsohañe añ’afo mifetsake ama’areo, (ie famenteañe anahareo) manahake te nizò raha ankafankafa,
Wapenzi, msione ajabu kwa yale mateso yanayotukia miongoni mwenu, kana kwamba ni kitu kigeni kinachowapata.
13 fe mirebeha t’ie mitraok’ ami’ty falovilovia’ i Norizañey, handià’ areo taroba ami’ty fiboaha’ o enge’eo.
Bali furahini kuwa mnashiriki katika mateso ya Kristo, ili mpate kufurahi zaidi wakati utukufu wake utakapofunuliwa.
14 Ie injèñe ty amy tahina’ i Norizañeiy, le mihahà, te ipetaha’ t’i Arofon-engen’ Añahare.
Kama mkitukanwa kwa ajili ya jina la Kristo, mmebarikiwa, kwa sababu Roho wa utukufu na wa Mungu anakaa juu yenu.
15 Ehe te tsy ama’ areo ty ho lovilovieñe t’ie mpamono ondaty, ndra mpikizo, ndra mpanao raty, ndra mitsoropoke am’ondaty mitoloñe.
Lakini asiwepo mtu yeyote miongoni mwenu anayeteswa kwa kuwa ni muuaji, au mwizi, au mhalifu wa aina yoyote, au anayejishughulisha na mambo ya watu wengine.
16 F’ie mpiamy Norizañey, ee te tsy ho salatse, te mone mandrenge an’ Andrianañahare ty amy tsaraeñey.
Lakini kama ukiteseka kwa kuwa Mkristo, usihesabu jambo hilo kuwa ni aibu, bali mtukuze Mungu kwa sababu umeitwa kwa jina hilo.
17 Fa tsatoke te hifotots’ amy hasavereñan’ Añaharey i zakay; aa kanao mamototse aman-tikañe, akore ty hizò o manjehatse amy talili-soan’ Añahareio?
Kwa maana wakati umewadia wa hukumu kuanzia katika nyumba ya Mungu. Basi kama ikianzia kwetu sisi, mwisho wa hao wasiotii Injili ya Mungu utakuwaje?
18 Aa katao sarotse ho rombaheñe ty vantañe, akore ty hifetsak’ ami’ty tsy aman-Kake naho amy aman-kakeoy?
Basi, “Ikiwa ni vigumu kwa mwenye haki kuokoka, itakuwaje kwa mtu asiyemcha Mungu na mwenye dhambi?”
19 Aa ze mijale amy satrin’ Añaharey, ee te hampiatoa’e aman’ Andrianamboatse migahiñey ty arofo’e, am-pitoloñan-tsoa.
Kwa hiyo, wale wanaoteswa kulingana na mapenzi ya Mungu, wajikabidhi kwa Muumba wao aliye mwaminifu, huku wakizidi kutenda mema.

< 1 Petera 4 >