< 1 Petera 3 >

1 Manahake izay ry roakembao, miandalia amo vali’ areoo, ke ho jehare’ ty ila’e i tsaray, fe ho reketeñe tsy aman-tsara, fa ami’ty sata-soa’ i rakemba’ey,
Kwa njia hii, ninyi ambao ni wake mnapaswa kujitoa kwa waume zenu wenyewe, ili, hata kama baadhi yao hawajalitii neno, kupitia tabia za wake zao wanaweza kuvutwa pasipo neno,
2 ie isa’e ty fañaveloa’ areo ki’e naho pea fiasiañe.
kwa sababu wao wenyewe watakuwa wameiona tabia yenu njema pamoja na heshima.
3 Tsy ty fihaminañe alafe’e, naho ty firandranañe maròy naho ty firago­ragoam-bolamena vaho ty fisaroñañe maviake,
Hii ifanyike siyo kwa mapambo ya nje—kusuka nywele, vito vya dhahabu, au mavazi ya mtindo.
4 te mone indaty mikafitse an-trok’ aoy, hendre naho an-kamoràm-po tsy mete modo, izay ty fihaminan-tsarotse am-pivazohoan’ Añahare;
Lakini badala yake ifanyike kwa utu wa ndani wa moyo, na kuzidi katika uzuri wa unyenyekevu na utulivu wa moyo, ambao ni wa thamani mbele za Mungu.
5 ie ka ty fihamina’ o roakemba miavake taolo mpitamàn’ Añahareo, mpiandaly ami’ty vali’e;
Kwa kuwa wanawake watakatifu walijipamba wenyewe kwa njia hii. Walikuwa na imani katika Mungu na waliwatii waume zao wenyewe.
6 manahake ty niambanea’ i Sarahae amy Abraàme, nanao aze Talè; toe anak’ ampela’e t’ie mitolon-draha soa naho tsy ampitsolofìñen-kahembañañe.
Kwa njia hii Sara alimtii Ibrahamu na kumwita yeye “bwana” wake. Ninyi sasa ni watoto wake kama mtafanya yaliyo mazuri na kama hamwogopi mabaya.
7 Ry roandriañeo, mitraofa fimoneñe an-kahilala amo vali’ areoo, iasio hoe korobo mareforefo, ie mpitrao-dova amy falalàn-kaveloñey, soa tsy ho sebañeñe o halali’ areoo.
Kwa njia hiyo hiyo, ninyi wanaume mnapaswa kuishi na wake zenu mkijua kuwa wao ni wenzi wa kike dhaifu, mkiwatambua wao kama wapokeaji wenzenu wa zawadi ya uzima. Fanyeni hivi ili kwamba maombi yenu yasizuiliwe.
8 Hengaha’e, ehe songa hiharo rehake naho arofo, mifampikoko hoe mpilongo naho mifampitretrè vaho mifampilèn-troke,
Hatimaye, ninyi nyote, muwe na nia moja, wenye huruma, upendo kama ndugu, wanyenyekevu, na wapole.
9 ko valean-draty ty raty, ndra tera ty tera, fa mitatà, amy te izay ty nikanjiañe anahareo handova fitahiañe.
Msilipe ovu kwa ovu, au tusi kwa tusi. Kinyume chake, mwendelee kubariki, kwa sababu hii mliitwa, ili kwamba muweze kurithi baraka.
10 Aa: Ze misalala haveloñe, naho fikokoañe, hahaisahañe andro soa, tsy mete tsy mitañe ty famele’e amo haratiañeo naho o fivimbi’eo tsy hisaontsy famañahiañe;
“Yeye atakaye kupenda maisha na kuona siku njema lazima auzuie ulimi wake kwa mabaya na midomo yake kusema hila.
11 tsy mahay tsy isitaha’e ty raty naho hanoe’e ty soa; hitsoeke fifampilongoañe vaho hañeañe aze.
Na ageuke na kuacha mabaya na kufanya yaliyo mazuri. Atafute amani na kuifuata.
12 Tolihem-pihaino’ Iehovà o vantañeo, naho janjiñen-dravembia’e o halali’ iareoo, fe atreatrè’ Iehovà an-daharañe o mpanao ratio.
Macho ya Bwana humwona mwenye haki na masikio yake husikia maombi yake. Lakini uso wa Bwana uko kinyume cha wale watendao uovu.”
13 Ia ty handilo kanao lozohe’areo ty hasoa?
Ni nani atakayewadhuru ninyi, ikiwa mwatamani lililo zuri?
14 Fe, naho ampisoañeñe t’ie vantañe, mifalea le ko hembañe ami’ty fañembaña’ iareo vaho ko marimarike
Lakini kama mkiteseka kwa haki, mmebarikiwa. Msiogope yale ambayo wao wanayaogopa. Msiwe na wasiwasi.
15 fe hamasiño i Norizañey ho Talè añ’arofo ao, nainai’e veka’e hanoiñe an-kamoràn-troke naho fiasiañe ndra iaia mañontane ty talim-pitamà’ areo,
Badala yake, mmuweke Kristo Bwana katika mioyo yenu kama mtakatifu. Kila mara muwe tayari kumjibu kila mtu anayewauliza ninyi kwa nini mna tumaini katika Mungu. Fanyeni hivi kwa upole na heshima.
16 le mifahara ami’ty hazavan-troke, soa t’ie fosañe hoe mpanao raty, le ho salatse o mañonjitse ty fañaveloa’ areo amy Norizañeio.
Muwe na dhamiri njema ili kwamba watu wanaotukana maisha yenu mema katika Kristo waweze kuaibika kwa sababu wanaongea kinyume dhidi yenu kama kwamba mlikuwa watenda maovu.
17 Ie satrin’ Añahare, hàmake te hijale am-panoan-tsoa ta te am-panoan-draty.
Ni vizuri zaidi, ikiwa Mungu anatamani, kwamba mwateseka kwa kufanya mema kuliko kwa kufanya mabaya.
18 Nivilasy indraike nahafonitse ty amo tahiñeo i Norizañey, i vantañey ho a o mengokeo, hanese azo mb’aman’ Añahare, ie vinono an-tsandriñe, fe vinañom-beloñe amy Arofoy,
Kristo pia aliteseka mara moja kwa ajili ya dhambi. Yeye ambaye ni mwenye haki aliteseka kwa ajili yetu, ambao hatukuwa wenye haki, ili kwamba atulete sisi kwa Mungu. Alikufa katika mwili, lakini alifanywa mzima katika roho.
19 izay ka ty nihitrifa’e naho nitsey amo fañahy an-drohio,
Katika roho, alikwenda na kuzihubiri roho ambazo sasa ziko kifungoni.
20 o nanjehatse haehaeo, amy fandiñisan’ Añahare tañandro’ i Noey amy nandranjiañe i lakam-poloaiy, ie tsy niampe, toe ondaty valo ty rinombak’ añamy ranoy.
Hazikuwa tiifu wakati uvumilivu wa Mungu ulipokuwa unasubiri wakati wa Nuhu, siku za ujenzi wa safina, na Mungu aliokoa watu wachache—nafsi nane—kutoka katika maji.
21 Izay ty fanalinjoañe i filiporañe mandrombak’ anahareo henaneo—tsy ty fañafahan-deotse an-tsandriñe, fa t’ie mifelek’ aman’ Añahare ho ami’ty hazavan-troke, añamy fivañonam-belo’ Iesoà Norizañey,
Hii ni alama ya ubatizo unaowaokoa ninyi sasa, siyo kama kuosha uchafu kutoka mwilini, lakini kama ombi la dhamiri njema kwa Mungu, kupitia ufufuo wa Yesu Kristo.
22 i am-pitàn-kavanan’ Añaharey; ie fa nizilik’ an-dikerañe ao naho nampiambanèñe ama’e o anjelio naho o fifelehañeo vaho o haozarañeo.
Yeye yuko mkono wa kuume wa Mungu. Alikwenda mbinguni. Malaika, mamlaka, na nguvu lazima vimtii yeye.

< 1 Petera 3 >