< 1 Mpanjaka 7 >

1 Taoñe folo-telo amby ka ty nandranjia’ i Selomò i anjomba’ey le hene nifonire’e i anjomba’ey.
Ilimchukua Sulemani miaka kumi na tatu kujenga ikulu yake.
2 Namboare’e ka ty anjomban’ ala’ i Lebanone, kiho zato ty andava’e naho kiho limampolo ty am-pohe’e, vaho kiho telopolo ty ha­abo’e; nitohaña’ o fahañe mendoraveñe miriritse iñ-efatseo o sazoke mendoraveñeo.
Aliijenga ikulu iliyoitwa mwitu wa Lebanoni. Urefu wake ulikuwa mita 46, na upanawake ulikuwa mita 23, na kimo chake kilikuwa mita 14. Nayo ilikuwa na safu nne ya nguzo za mierezi na mithili ya mwerezi juu ya nguzo.
3 Nandafihañe mendoraveñe ty ambone’ o efetse alafe’e nitohaña’ i ana-koreñe efa-polo-lime amby am-piririta’e folo-lime amby rey.
Paa la ikulu lilikuwa la mwerezi ambalo lilikaa juu ya mihimili. Mihili hiyo ilikuwa imeshikiliwa na nguzo. Kulikuwa na mihimili arobaini na tano, ambayo ilikuwa katika safu kumi na tano.
4 Le nidadañe am-piriritañe telo o lalan-kedeo, naho hazavàñe ty niatre-kazavàñe am-pifamalahàñañe telo.
Nayo mihimili ilikuwa safu tatu, na kila dirisha lilikabili dirisha lingine katika madaraja matatu.
5 Songa efa-mira o lalañeo naho o lahin-dala’eo, le nifampiatrek’ am-piririta’e telo nifamalahañe.
Milango yote na miimo ilitengenezwa kwa mraba, na madirisha yalikuwa yakikabiliana katika madaraja matatu
6 Namboare’e ka ty lampalampan’ ana-koreñe, kiho limampolo ty andava’e le kiho telopolo ty am-pohe’e; lavaranga ty am-pimoahañe; vaho aolo’ iareo o ana-koreñe naho boda’e lahi’eo.
Akatengeneza baraza lenye uerfu wa mita 23 na upana wa mita 14. Mbele yake kulikuwa na ukumbi ulioezekwa.
7 Namboare’e ty lampalampam-piambesatse hizakà’e, i lampalampam-pizakàñey; vaho nandafihañe mendoraveñe boak’ an-gorodo’e pak’ an-gorodo’e.
Sulemani akajenga baraza yenye kiti cha enzi ambacho alitolea hukumu ya haki. Nayo ilikuwa imeezekwa kwa mwerezi kutoka sakafu moja hadi nyingine.
8 An-kiririsa am-boli’ i lampalampay i anjomba fimoneña’ey, ie hamban-tsata; namboara’e anjomba manahake izay ka i anak’ ampela’ i Parò nengae’ i Selomòy;
Nyumba ya Sulemani ambayo alikusudia kuishi, katika behewa nyingine ndani ya sehemu ya chini ya ikulu, ilitengenezwa kwa kazi hiyo hiyo. Pia alimjengea binti wa Farao nyumba kama hii, ambaye alikuwa mke wake
9 sindre am-batosoa, linily ami’ ty zehe’e, tinampa’ ty alasý, añate’e naho alafe’e, boak’amo manantañeo pak’ an-tsazoke, ie ka ty alafe’e pak’ amy kiririsa jabajabay.
Majengo haya yalipmbwa kwa vitu vya thamaini, mawe ya thamani, yaliyochongwa na kukatwa kwa msimeno kufuata vipimo sahihi na kulainishwa pande zote. Mawe ya namna hii ndiyo yale yaliyotumika kuanzia kwenye msingi hadi juu, pia na nje hadi kwenye baraza.
10 Nanoeñe vatosoa o manantañeo, vato ra’elahy, vato kiho folo vaho vato kiho valo.
Msingi ulijengwa kwa mawe makubwa sana na ya thamani yenye urefu wa mita 3. 7 na mengine mita 4. 8.
11 Vato sarotse ka ty ambone eo, songa rinamerame an-jehe’e o vatoo vaho o mendoraveñeo.
Kwa juu ilipambwa kwa, mawe ya thamani yaliyochongwa sawa sawa kwa msimeno na kwa mihimili ya mierezi.
12 Vato hinaly nizakitse, telo mifaningitse ty nañariary i kiririsa jabajabay, le firiritam-boda-mendoraveñe ty ambone’e, manahake i an-kiririsa añate’ i anjomba’ Iehovày naho an-davaranga’ i anjombaiy.
Na behewa kubwa iliyokuwa ikizunguka ikulu ilikuwa na safu tatu za mawe yaliyokatwa na safu moja ya mihimili ya mierezi kama ilivyo kwenye baraza la ndani la hekalu la BWANA na ule ukumbi wa hekalu.
13 Nampañitrife’ i Selomò boake Tsore t’i Kirame,
Mfalme Sulemani alituma watu kumleta Huramu kutoka Tiro.
14 ana’ ty vantotse fifokoa’ i Naftalý; boak’e Tsore ty rae’e, mpitoloñe torisike, lifo-kihitse naho hilala vaho faharendrehañe amy ze hene fitoloñañe torisike. Aa le nomb’ amy Selomò mb’eo re vaho nanoe’e iaby o fitoloña’eo.
Huramu alikuwa mwana wa mjane wa kabila ya Naftali; baba yake alikuwa mtu wa Tiro, mfua shaba. Huramu alikuwa mwingi wa hekima na ufahamu na stadi za kufanya kazi kubwa za shaba. Aliletwa kwa mfalme ili kufanya kazi zilizohusiana na shaba kwa mfalme.
15 Niranjie’e ty fahañe roe torisike, songa kiho folo-valo’ amby ty haabo’e naho niarikatoha’ ty talý kiho folo-ro’amby.
Huramu alizilemba zile nguzo mbili za shaba, kila moja ilikuwa na kimo cha mita 8. 3 na mzingo wa mita 5. 5.
16 Namboare’e loha’e torisike natranake, hasampe amy fahañe rey, kiho lime ty haabo’ ty loha’e raike, vaho kiho lime ty haabo’ ty loha’ i ila’ey.
Akatengeneza taji mbili za shaba za kuwekwa juu ya zile nguzo. Kimo cha kila taji ilikuwa mita 2. 3.
17 Nanoañe harato tsingarakarake, niravahañe silisily navandibanditse i loham-pahañe rey, fito ami’ty loha’e raike naho fito ami’ty loha’e raike.
Kulikuwa na nyavu za kuwa kama kazi ya kusuka, na masongo ya mikufu, kwa ajili ya kuvipamba vile vichwa vya nguzo, nayo yailikuwa saba kwa kila kichwa.
18 Ie nifonire’e i fahañe rey le nitsene sare dagoa mitoitoy an-tali’e roe mifamandibanditse amy tsingarakarakey, nandafihañe dagoa ty loha ambone’ i fahañey vaho nanoe’e hambañe amy izay i loham-pahañe raikey.
Kwa hiyo Huramu akafanya safu mbili za komamanga kuzunguka vile vichwa vya nguzo ili kuvipamba vile vichwa.
19 O lohà’e nasampe amy fahañe rey ro nanoañe saren-talìfoke manahake o an-dampalampao, kiho efatse ty haabo’e.
Zile taji kwenye vile vichwa vya nguzo za ukumbi zilikuwa zimepambwa kwa maua, yenye vimo vya mita 1. 8.
20 Ty amy lima mihohok’ an-dengo’ i fahañe roe rey, le voan-dagoa roan-jato nifanoitoy miarikatoke marine’ i famitrañañe azey, añ’ ila’ i tsingarakarakey.
Hizo taji kwenye hizo nguzo mbili kwenye vichwa vyake, karibu yake kulikuwa na makomamanga mia mbili yote yakiwa kwenye safu.
21 Natroa’ i Kirame an-davarangam-piziliha’ i anjombay i fahañe rey; najado’e an-kavàna eo ty fahañe raike le nitokave’e ty hoe Iakine ty añara’e; vaho natroa’e ankavia’e ty fahañe ila’e le natao’e Boaze ty añara’e.
Alisimamisha nguzo kwenye ukumbi wa hekalu. Ile nguzo ya kuume akaipa jina la Yakini, na ile ya kushoto akaipa jina la Boazi.
22 Asa talifoke ty ambone’ i fahañe rey; aa le nifonitse ty fitoloñañe amy fahañe rey.
Na juu ya zile nguzo kulikuwa na mapambo kama maua. Hivyo ndivyo zile nguzo zilivyotengenezwa.
23 Niranjie’e sajoa natranake, kiho folo boak’ an-tsoñi’e pak’ an-tsoñi’e, bontoly, lime kiho ty haabo’e, naho telopolo kiho ty nañariary aze.
Tena akafanya bahari ya kusubu ya, yenye mita 2. 3 kutoka ukingo hadi ukingo, kimo chake kilikuwa mita 4. 6, mziingo wake ulikuwa mita 13. 7.
24 Trongotrongoeñe hoe bereke ty niarikatok’ aze ambane’ i soñi’ey, folo ami’ty kiho’e raike, naho nañariary i sajoay am-piriritañe roe i trongotrongoeñey, natrao-pitranake amo ila’eo.
Na chini ya ile bahari kulikuwa na vibuyu vilivyoizunguka, vilikuwa vibuyu kumi na nane katika kila mita, vilivyowekwa katika kila hicho kipande wakati bahari inapokuwa kalibu.
25 Sare añombe folo-ro’ amby ty nitoboha’e, telo ty nitolik’ avaratse naho telo ty nitolik’ ahandrefa naho telo ty nitolik’ atimo vaho telo ty nitolik’ atiñanañe; najo’e ambone’ iereo i sajoay, ty voli’ iareo añivo’e ao.
Bahari ikakaa juu ya makisai kumi na mbili, tatu, zilitazama kaskazini, tatu zikitazama magharibi, tatu zikitazama kusini na tatu zikitazama kaskazini. Ile bahari iliwekwa juu yao, na pande zao zote za nyuma zilikuwa ndani.
26 Ampohem-pitàñe ty hateve’e; le rinanjy hoe soñim-pitovy i soñi’ey, manahake ty voñen-talìfoke; ro’arivo bate ty nahaatsek’ aze.
Bahari ilikuwa nene kama upana wa mkono, na ukingo wake ulikuwakama ukingo wa kikombe, kama ua la yungi huingia bathi elfu mbili za maji.
27 Niranjie’e kalesy torisike folo, sindre kiho efatse ty an-dava’ ty kalesy naho kiho efatse ty am-pohe’e vaho kiho telo ty ha­abo’e.
Huramu akatengeneza makalio kumi ya shaba. Kila kalio lilkuwa na urefu wa mita 1. 8, upana wa mita 1. 8, na kimo cha mita 1. 3.
28 Zao ty nisata’ i kalesy rey: nasiañe lifi’e naho nilifieñe i endraendra fikalañe añivo o tsotsò’eoy.
Hivi ndivyo kazi za makalio zilivyofanywa. Yalikuwa na papi ambazo zilikaa kati kati ya vipandio,
29 Liona naho añombe naho kerobe ty tamo endraendra añivo’ o tsotsò’eo. Ambone’ o tsotsò’eo ty fanampezañe; vaho ambane’ o liona naho añombeo ty nitemerañe am-pipe­pehañe.
na juu ya papi na vipandio kulikuwa na simba, makisai, na makerubi. Chini na juu simba kulikuwa na masongo ya kazi ya kufuliwa.
30 Songa aman-darò tori­sike efatse i kalesy rey, le torisike ka o asì’eo naho ty fitohañañe efatse; nikalañe ty koveta i fitohañañe nitranaheñe rey, endrendra pinepeke o añ’ila’eo.
Kila kalio lilikuwa na magurudumu ya shaba na vipini, na pande zake nne na miguu yake minne ilikuwa na mataruma chini ya birika. Chini ya birika yalikuweko mataruma ya kusubu yenye masongo katika kila upande.
31 Kiho raike boak’ an-tsotsò’e ty haabo’ i vava’ey, bontoly izay, satam-pitobohan-koveta, kiho raike naho tampa’e; sinoki­tsokitse; efa-mira ty alafe’e, fa tsy bontoly.
Na kinywa chake kilikuwa cha kuviringana, chenye upana wa sentimita araobaini na sita, na ile taji ilikuwa na sentimita ishirini na tatu. Na kinywa chake kilikuwa na nakshi, na papi zake zilikuwa za mraba, na wala siyo za mvringo.
32 Ambane’ i endraendray i larò’e efatse rey, le am-poto’ i kalesiy ty asì’ o larò’eo; kiho raike naho tampa’e ty haabo’ ty larò’e.
Yale magurudumu mawili yalikuwa chini ya papi, na mikono ya magurudumu yalikuwa ndani ya makalio. Kimo cha yale magurudumu kilikuwa sentimeta sitini na tisa.
33 Hambañe ami’ty satan-daròn-tsarete ty sata’ i larò rey, songa nitranaheñe o asì’eo, o bandazeo, o tañamasoandro’eo vaho o boate’eo.
Yale magurudumu yalikuwa kama ya gari. Mikono yake, na maduara, matindi yake, na vipande vya ndani vyote vilikuwa vya kusubu.
34 Reketse fitohañañe efatse ty kotso-efa’ i kalesy rey, raik’ amo kalesio o fitohañañeo.
Kulikuwa na mataruma manne katika pande zake nne za makalio, yaliyokuwa yameshikamanishwa na kalio lenyewe.
35 Ambone’ i kalesiy ty hàlañe bontoly, tapa-kiho ty haabo’e; raik’ ami’ty ambone’ i kalesiy o taña’eo naho o lifi’eo.
Juu ya makalio kulikuwa na duara yenye kina cha sentimita ishirini na tatu, na juu ya makalio mashikio yake na papi zake zikiwa zimeshikamanishwa.
36 Nanokira’e kerobe naho liona naho satrañe o endraendran-tsotsò’eo naho an-difi’e, amy ze nalalak’ ama’e, vaho tali-randra ty niariary aze.
Juu ya mabamba na papi zake Huramu akachora makerubi, simba, na mitende ambayo ilifunika nafasi ya juu, nayo ilikuwa imezungukwa na masongo.
37 Amy sata zay ty nandranjie’e ty kalesy folo, songa lima raike naho zehe mira vaho hambam-bintañe.
Alitengeneza makalio kumi kwa jinsi hii. Yote yalikuwa yametengenezwa kwa kufanana, na yalikuwa ya vipimo sawa, na sura inayofanana.
38 Namboara’e koveta torisike folo; bate efapolo ty naha­atseke ty koveta raike; sambe kiho efatse i koveta rey; ambone’ i kalesy folo rey songa koveta raike.
Huramu akatengeneza birika kumi za shaba. Birika moja liliweza kubeba bathi arobaini za maji. Kila birika lilikuwa mita 1. 8 toka birika moja hadi jingine na kulikuwa na birika moja katika kila kalio kati ya yale kumi.
39 Napo’e an-kavana’ i anjombay ty kalesy lime, naho lime ty ankavia’ i anjombay; le najado’e ankavana’ i anjomba atiñanañey mañatimo i sajoay.
Alitengeneza makalio tano upande wa kusini unaoelekea upande wa hekalu. Akatengeneza bahari katika upande wa mashariki, ukielekea upande wa kusini wa hekalu.
40 Nitsenè’ i Kirame o valàñeo, o endraendra’eo naho o kovetao. Aa le nifonire’ i Kirame i fitoloñañe nanoe’e ho a i Selomò mpanjaka añ’anjomba’ Iehovày;
Huramu akatengeneza birika na koleo na besini la kunyunyizia. Kisha akamaliza kazi yote aliyofanya kwa mfalme Sulemani katika hekalu la BWANA:
41 i fahañe roe rey; i lima roe an-doha’e ambone’ o faha’eo rey; naho i tsingarakarake roe nanaroñe i lima roe an-doha’e ambone’ o faha’eo reiy;
Zile nguzo mbili, na lile besini lakawa kama taji ambalo lilikuwa juu ya zile nguzo, na nyavu mbili za mapambo za kufunika zile besini mbili za kuwa kama taji zilizokuwa juu ya nguzo.
42 naho i voan-dagoa efa-jato amy tsingarakarake roe reiy, dagoa indroe mitoitoy ami’ty tsingarakarake raike hanakonañe i lima roe an-doha’e ambone’ i fahañe reiy;
Kisha akatengeneza makomamanga mia nne kwa ajili ya zile nyavu mbili za mapambo: safu mbili za makomamamanga kwa kila kazi ya nyavu kwa ajili ya kufunikia zile besini mbili kama taji iliyo juu ya nguzo,
43 naho i kalesy folo rey naho i koveta folo ambone’ o kalesio rey;
yale makalio kumi, na birika kumi kwenye makalio.
44 naho i riakey naho i añombe folo-ro’ amby ambane’ i riakey rey;
Akatengeneza bahari na makisai kumi chini yake;
45 naho o valàñeo, o endraendrao, vaho o kovetao; hene niranjie’ i Kirame ho a i Selomò mpanjaka, añ’anjomba’ Iehovà ao, songa torisike rinamerame.
na masufuria, koleo, birika na vyombo vingine vyote. Huramu akivitengeneza kwa shaba iliyosuguliwa, kwa ajili ya mfalme Sulemani, na kawa ajili ya hekalu la BWANA.
46 Amonto’ Iordaney ty nampitranaha’ i mpanjakay iareo, an-tane lietse añivo’ i Sokote naho i Tsaretane.
Mfalme alivisubu katika uwanda wa Yorodani, katika udongo mfinyanzi kati ya Sukoti na Zarethani.
47 Le nenga’ i Selomò tsy ho lanjaeñe i fanake iaby izay amy t’ie niloho maro; tsy nilefe tsikaraheñe ty lanja’ o torisikeo.
Sulemani hakuvipima vyombo vyote kwa sababu vilikuwa vingi mno kuvipima, na kwa sababu uzito wa shaba ulikuwa hauwezi kupimwa.
48 Hene niranjie’ i Selomò o fanak’ añ’ anjomba’ Iehovào; i kitrely volamenay, naho i rairay volamena fasia-mofom-piatrefañey;
Sulemani akatengeneza mapambo yote yaliyokuwa kwenye hekalu la BWANA kwa kutumia dhahabu: Ile madhabahu ya dhahabu na ile meza ambayo iliwekwa mikate ya wonyesho.
49 o fitàn-jiroo—lime ty ankavana’e naho lime ty ankavia’e añatrefa’ i toe-miavakey— volamena ki’e; naho o voñeo, o failoo, vaho o fikavi­tseo—volamena;
Vile vinara vya dhahabu, ambavyo vitano vilikuwa upande wa kulia na vitano mkono wa kushoto, mbele ya chumba cha ndani, vilikuwa vya dhahabu safi, na maua, na taa na koleo zilikuwa za dhahabu.
50 o soakazoo naho o fiharatan-tsokotsokoo naho o kovetao naho o sadròn’ afoo naho o endraendrao—volamena ki’e; naho o soavilio, ho amo lalan-kivoho añate’eo, i toetse loho-miavakey, vaho ho a o lala’ i akibaio (o miatrek’ añate’eo)—volamena.
Vile vikombe, na makasi, mabakuri, na vijiko, na vyetezo vyote vilikuwa vimetengenezwa kwa dhahabu safi. na bawaba za dhahabu za milango ya ndani, ambazoo ndio mahali patakatifu sana, na milango ya ukumbi mkubwa, vyote vilitengenezwa kwa dhahabu.
51 Aa le nifonitse o fitoloñañe nanoe’ i Se­lomò añ’anjomba’ Iehovào. Le hene nen­dese’ i Selomò ao o raha navì’ i Davide rae’eo, i volafotiy, i volamenay naho o fanakeo; vaho napo’e amy fanontonam-baran’ anjomba’ Iehovày.
Kwa njia hii, kazi yote ambayo mfalme Sulemani alifanya kwa ajili ya hekalu ilimalizika. Kwa Sulemani akaviingiza ndani yake vitu vile vilivyokuwa vimewekwa wakfu na Daudi, baba yake, na fedha na dhahabu, na mapambo, na vile vya ndani ya hazina ya BWANA.

< 1 Mpanjaka 7 >