< 1 Mpanjaka 20 >

1 Nanontoñe i hene valo­bohò’ey amy zao t’i Benehadade mpanjaka’ i Arame, reketse mpanjaka telopolo-ro’amby naho soavala vaho sarete le nion­jomb’eo nañarikatoke i Somerone hialia’e,
Beni Hadadi mfalme wa Shamu akakusanya jeshi lake lote pamoja. Kulikuwa na wafalme thelathini na mbili wasaidizi pamoja naye, na magari na farasi. Akapanda, akaihusuru Samaria na kupigana nayo.
2 le nampihitrife’e mb’amy Akabe mpanjaka’ Israele an-drova ao,
Akatuma wajumbe katika mji kwa Ahabu mfalme wa Israeli, akamwambia, “Beni Hadadi anasema hivi:
3 ty nampanoa’e ty hoe: Hoe t’i Benehadade: Ahy o volafoty naho volamena’oo; o vali’oo vaho o ana’oo, ahy ze hene soa ama’e.
Fedha zako na dhahabu zako ni zangu. Pia wake zako na watoto, wale wazuri, sasa ni wangu.”
4 Nanoiñe aze ty mpanjaka’ Israele nanao ty hoe: Ie i sinaontsi’oy, ry talèko mpanjaka, azo iraho naho ze hene hanañako.
Mfalme wa Israeli akajibu akasema, “Na iwe kama unavyosema, bwana wangu, mfalme. Mimi pamoja na vile nilivyo navyo ni mali yako.”
5 Nibalike mb’eo in­drai­ke o ìrakeo, nanao ty hoe: Zao ty asa’ i Benehadade: Toe nahitriko ama’o ty hoe: Haseseo amako o volafoti’oo, naho o volamena’oo naho o vali’oo vaho o ana’oo;
Wale wajumbe wakaja tena wakasema, “Beni Hadadi anasema hivi, 'Nilituma neno kwako nikisema kwamba lazima ukabidhi kwangu fedha zako, dhahabu zako, wake zako na watoto wako.
6 fa hiraheko mb’ ama’o mb’eo hamaray ami’ty andro hoe zao o mpitorokoo, le ho kodebe’ iereo ty anjomba’o, naho o anjombam-pitoro’oo; le ze soa am-pihaino’o ty hapo’ iareo am-pità’e vaho hendese’e añe.
Lakini kesho nitatuma watumishi wangu kwako wakati kama huu, nao wataichunguza nyumba yako na nyumba za watumishi wako. Nao watatia mikononi mwao na kukichukua kila wakipendacho machoni mwao.'”
7 Aa le songa kinoi’ i mpanjaka’ Israeley o roandria’ i taneio, nanao ty hoe: Ehe, isaho naho maha­oniña te midoha raha indatiy; fa pi­nai’e amako o valikoo naho o anakoo naho o volafotikoo naho o volamenakoo, le tsy niraràko.
Ndipo mfalme wa Israeli akawaita wazee wote wa nchi pamoja akawaambia, ''Hebu angalieni jinsi huyu mtu anavyotafuta matatizo. Amenitumia ujumbe kwamba anataka kuchukua wake zangu, watoto wangu, fedha na dhahabu zangu, nami sijamkatalia.”
8 Le hoe o androanavio naho ze hene ondaty ama’e, Ko mañaoñe aze, vaho ko miantoke.
Wazee wote na watu wote wakamwambia Ahabu, “Usimsikilize wala kukubaliana na matakwa yake.”
9 Aa le hoe re amy ìra’ i Benehadade rey: Saontsio ty hoe i talèko mpanjakay: Hene hanoeko o nañiraha’o amy mpitoro’oy am-baloha’eo; fe tsy hanoeko o raha zao. Aa le nienga o ìrakeo, ninday i entañe zay.
Ahabu akawaambia wajumbe wa Beni Hadadi, “Mwambieni bwana wangu mfalme kwamba, 'Ninakubaliana na kila kitu ambacho kwanza uliwatuma watumishi wako kufanya kwangu, lakini sikubaliani na matakwa yako haya ya pili.'” Wale watumishi wa Beni Hadadi wakaondoka wakampelekea mrejesho Beni Hadadi.
10 Le hoe ty nañiraha’ i Benehadade ama’e: Ee te hanoe’ o ‘ndrahareo amako ndra mandikoatse naho maha­atsam-pità’ ze hene ondaty mañorik’ ahikoo ty debo’ i Somerone.
Naye Beni Hadadi akatuma tena majibu yake kwa Ahabu, akaisema, “basi miungu inifanyie hivyo na zaidi, kama hata mavumbi ya Samaria yatawatosheleza watu watu wote wanaonifuata kuchukua kila mmoja angalau konzi mkononi mwake.”
11 Le hoe ty natoi’ i mpanjaka’ Israeley: Taroño ama’e: Ee te tsy hirengevoke manahake ty mañafake fikalañe ty mañombe aze.
Naye mfalme wa Israeli akamjibu akisema, “Mwabieni Beni Hadadi, 'Hakuna abebaye silaha yake, atakayejivuna kama wakati wa kuishusha.”'
12 Ie nahajanjiñe izay t’i Benehadade, ie ninon-toake miharo amy mpanjaka rey an-kibohotse ao, le hoe re amo mpitoro’eo, Midadaña! Le nijadoñe niatreatre i rovay iereo.
Beni Hadadi aliusikia ujumbe huu wakati alipokuwa akinywa, yeye na wafalme walikuwa pamoja naye waliokuwa kwenye mahema yao. Beni Hadadi akayaamuru majaeshi yake, “Jipangeni katika sehemu zenu kwa ajili ya vita.” Kwa hiyo wakajiandaa kivita ili kuuvamia mji.
13 Niheo amy Akabe mpanjaka amy zao ty mpitoky, nanao ty hoe: Hoe ty tsara’ Iehovà, Fa niisa’o hao o valobohòke miheneheneo? Ingo, hatoloko am-pità’o te anito, soa te ho fohi’o te Izaho Iehovà.
Tazama, nabii akaja kwa Ahabu mfalme wa Israeli akasema, “BWANA asema, 'Je umeliona hili jeshi kubwa? Tazama, nitaliweka katika mkono wako leo, nawe utatambua kuwa mimi ni BWANA.'”
14 Le hoe t’i Akabe: Añama’ ia? le hoe re: Hoe ty nafè’ Iehovà, o ajalahi’ o mpifehem-pokotaneo. Le hoe re: Ia ty hamototse i hotakotakey: le hoe ty natoi’e: Ihe.
Naye Ahabu akajibu, ''kwa nani? BWANA akamjibu akasema, “kwa kuwatumia viijana wanaotumikia maliwali wa wilaya.” kisha Ahabu akasema, “Ni nani atakayepewa hiyo vita?' BWANA akamwambia, “wewe.”
15 Aa le tinendre’e ty ajalahi’ o mpifehem-pokotaneo: roanjato-tsi-telopolo-ro’amby iereo; ie amy zao tinendre’e ka o fonga ondatio, ze hene ana’ Israele: fito-arivo.
Ndipo Ahabu alipowataarifu wale vijna wanaowatumikia maliwali wa wilaya. Idadi yao ilikuwa 232. Baada yao aliwahesabu wanajeshi wote, jeshi lote la Israeli; idadi yao ilikuwa elfu saba.
16 Niavotse an-tsingi­lingilieñe iereo. Fe ninoñe an-kibohotse ao t’i Benehadade himamoa’e, ie naho o mpanjakao, i mpanjaka telopolo-ro’ amby mpañolotse aze rey.
Nao wakatoka wakati wa adhuhuri. Naye Beni Hadadi alikuwa akinywa na kulewa hemani mwake, yeye na wale wafalme wadogo thelathini na mbili waliokuwa wakimsaidia.
17 Ni­avotse mb’eo valoha’e i ajalahi’ o mpifehem-pokotaneo rey; aa le nañirake t’i Benehadade, le nitaliliañe ty hoe: Ey ondaty miakatse i Someroneo.
Wale maakida vijana waliokuwa wakiwasaidia maliwali wa wilaya walitangulia kwanza. Kisha Beni Hadadi alitaarifiwa na wanaskauti aliokuwa amewatuma kwamaba, “kuna watu wanakuja kutoka Samaria.”
18 Le hoe re, He niakatse an-kanintsiñe iereo, endeso veloñe; ke niakatse hifandrapake, endeso veloñe.
Beni Hadadi akasema, “wawe wamekuja kwa amani au kwa vita, wakamteni wakiwa hai.”
19 Aa le niavotse i rovay iereo, i ajalahi’ o mpifehem-pokotaneo rey naho nañorike iareo o lahindefoñeo.
Kwa hiyo wale vijvana wanaowatumikia maliwali wa wilaya wakaenda mjini na jeshi likawafuata kwa nyuma.
20 Songa zinevo’ iareo ty ondati’e; vaho nitri­ban-day o nte-Arameo, le nihoridañe’ Israele; nipoliotse an-tsoavala reke-pi­ningi-tsoavala t’i Benehadade mpanjaka’ i Arame.
Kila mmoja akaua adui wake na wale washami wakakimbia. Israeli ikawashinda. Beni Hadadi mfalme wa Shamu akatoroka kwa farasi pamoja na wapanda farasi.
21 Niavotse amy zao i mpanjaka’ Israeley le zinama’e o soavala-aman-tsareteo vaho zinevo’e o nte-Arameo am-pizamanam-bey.
Kisha mfalme wa Israeli akaenda akawashambulia farasi na magari, na kuwaua washami kwa mauaji makubwa.
22 Nimb’amy mpanjaka’ Israeley i mpitokiy, le nanoa’e ty hoe: Akia, mihaozara, le tsikarato naho hotsohotso o hanoe’oo; amy te hionjo-mb’etoa hiatreatre azo ty mpanjaka’ i Ara­me ami’ty fibalihan-taoñe.
Yule nabii akaja kwa mfalme wa Israeli akamwambia, “Nenda, ukajiimarishe mwenyewe, uelewa na kupanga kile unachofanya, kwa sababu mwakani mfalme wa Shamu atapanda dhidi yako tena.”
23 Fa nanao ty hoe amy mpanjaka’ i Ara­mey o mpitoro’eo: Andrianañahare’ o haboañeo t’i Andrianañahare’ iareo; aa le naozatse te aman-tika iereo; antao arè hialy ama’e amontoñe añe; fa toe haozatse te am’ iereo tika.
Wale watumishi wa mfalme wa Shamu wakamwambia, “Mungu wao ni mungu wa milimani. Hiyo ndiyo sababu walikuwa na nguvu kuliko tulivyokuwa. Lakini sasa hebu tupigane nao katika nchi tambarare, na kwa hakika tutakuwa na nguvu kuliko wao.
24 Le ano zao: Songa asitaho an-toe’e o mpanjakao vaho solò mpifeleke ty an-toe’ iareo;
Na ufanye hivi: waondoe wafalme; mwondoe kila mmoja mahali pake ukaweke majemedari mahali pao.
25 mamolilia valobohòke manahake i valobohòke nimotso ama’oy, soavala hasolo soavala, sarete hasolo sarete; hifandrapak’ am’ iereo amontoñe ao tika vaho toe ho fatratse te ama’e. Hinao’e ty feo’ iareo le nanoe’e.
Kisha ujihesabie jeshi kama lile jeshi ulilopoteza, farasi kwa farasi na gari kwa gari, nasi tutapigana nao katika nchi tambarare. Kwa hakika tutakuwa na nguvu kuliko walivyo.” Kwa hiyo Beni Hadadi akausikiliza ushauri huo naye akafanya kama alivyoshauriwa.
26 Aa ie nihereñe ty taoñe le natonto’ i Benehadade o nte-Arameo, vaho nionjomb’e Afeke mb’eo hialy am’ Israele.
Baada ya mwanzo wa mwaka mpya, Beni Hadadi akawahesabu Washami na akapanda Afeki kupigana na Israeli.
27 Tinendre amy zao o ana’ Israeleo naho nivatieñe vaho niavotse niatrek’ ama’e; le nitobe aolo’ iereo o ana’ Israeleo hoe mpirai-liam-bik’ ose roe kedekedeke, ie nañatseke i taney o nte-Arameo.
Watu wa Israeli walikuwa wamehesabiwa na walikuwa wamejipanga kupigana nao. Watu wa Israeli wakafanya kambi mbele yao kama makundi mawili madogo ya mbuzi, lakini Washami wakaujaza upande wa nchi.
28 Nitotoke mb’eo amy zao ty ‘ndatin’ Añahare ninday tsara amy mpanjaka’ Israeley, ami’ty hoe: Hoe ty nafè’ Iehovà: Kanao nanao ty hoe o nte-Arameo: Andrianañahare’ o haboañeo t’Iehovà, fa tsy Andrianañahare’ o vavataneo; le fonga hatoloko am-pità’o i valobohòke bey heneheney vaho ho fohi’o te Izaho Iehovà.
Ndipo mtu wa Mungu akaja karibu akaongea mfalme wa Israeli akamwambia, “BWANA anasema: 'Kwa kuwa Washami wamesema kuwa BWANA ni mungu wa milima, na wala si mungu wa mabondeni, nitaliweka hili jeshi kubwa mkononi mwako, nawe utajua kuwa mimi ni BWANA.'”
29 Aa le nitobe nifañatreke fito andro iereo. Ie amy andro faha-fitoy le nionjoñe ty hotakotake; vaho zinevo’ o ana’ Israeleo ami’ty andro raike ty rai-hetse amo nte-Arame am-pandiao.
Kwa hiyo majeshi yakaweka kambi yakikabiliana kwa muda wa siku saba. Kisha siku ya saba vita vikaanza. Watu wa Israeli wakawaua Washami 100, 000 wanajeshi wa ardhini kwa siku moja.
30 Le nitriban-day mb’e Afeke añe o ila’eo, mb’ an-drova ao; fe nikorovok’ am’ ondaty ro’ ale-tsi-fito-arivo sehanga’eo i kijoliy. Aa le nipolititse mb’ amy rovay t’i Benehadade, ami’ty efe’e am-po’e ao.
Waliobaki wakakimbilia Afeki, mjini, na ule ukuta ukaanguka juu ya watu ishiriinina saba elfu waliobaki. Naye Beni Hadadi akakimbilia mjini. akaingia kwenye chumba cha ndani.
31 Le hoe o mpitoro’eo ama’e: Maha­oniña, fa tsinano’ay te mpanjaka mpitretrè o mpanjakan’ anjomba’ Israeleo; antao arè, mihalaly ama’o te hidian-gony am-bania tika naho hanampe vahotse añ’ambonen-tika vaho hiavotse mb’ amy mpanjaka’ Israeley mb’eo; he havotso’e ty fiai’o.
Wale watumishi wa Beni Hadadi wakamwambia, “Tazama sasa, tumesikia kwamba wale wafalme wa nyumba ya Israeli ni wenye rehema. Tafadhali hebu tuvaeni magaunia viunoni mwetu na kamba vichwani mwetu, na twendeni kwa mfalme wa Israeli. Labda atakuokoa roho yako.”
32 Aa le nisikin-gony am-bania iereo naho nanampe vahotse añ’am­bone eo, vaho niavotse mb’amy mpanjaka’ Israeley mb’eo nanao ty hoe: Manao ty hoe ama’o i mpitoro’o Benehadadey: Miambane ama’o: angao ho velon-draho. Le hoe re: Toe mbe veloñe hao re? Rahalahiko ‘nio.
Kwa hiyo wakavaa magunia viunoni mwao na kujifunga kamba vichwani mwao na kisha wakaenda kwa mfalme wa Israeli wakamwambia, “Mtumishi wako Beni Hadadi, anasema, 'tafadhali niachie uhai wangu.” Ahabu akawaambia, “Je, bado yuko hai? Yeye ni ndugu yangu.”
33 Aa le rinambe’ indaty rey ho viloñe, ie tsinepak’ am-palie’e i saontsy zay vaho nanao ty hoe: I rahalahi’o Benehadadey ‘nio. Le hoe re: Akia hitrifo. Aa le niakatse mb’ama’e mb’eo t’i Benehadade naho najò’e an-tsarete’e ao,
Sasa wale watu walikuwa wakisikiliza ishara yeyote kutoka kwa Ahabu, kwa hiyo wakamjibu haraka, “Ndiyo ndugu yako Beni Hadadi bado yuko hai.” Ahabu akawaambia, “Nendeni mkamlete.” Ndipo Beni Hadadi alipokuja kwake, na Ahabu akamwacha aje kwenye gari lake.
34 vaho hoe t’i Benehadade ama’e: Hampoliko o rova rinamben-draeko aman-drae’oo naho hamboare’o dokany e Damesèk’ ao manahake o namboaren-draeko e Someroneo. Izaho ka, hoe t’i Akabe, havo­tsoko irehe amy fañina zay. Aa le nifañina’e vaho navotso’e.
Beni Hadadi akamwambia Ahabu, “Nitakurudishia miji yako ambayo baba yangu alichukua toka kwa baba yako, na unaweza kutengeneza masoko kwa ajili yako Dameski, kama baba yangu alivyofanya kule Samaria.” Ahabu akajibu, “Nitakuacha uende kwa agano hili.” Kwa hiyo Ahabu akafanya agano naye kisha akamwacha aende.
35 Teo amy zao t’indaty, ana-dahi’ o mpitokio, nisaontsy an-drañetse ty amy nitsara’ Iehovày, ty hoe: Ehe, lafao iraho. Fe tsy nimete handafa aze indatiy.
Mtu mmoja, mmoja wana wa wana wa manabii, akamwambia mmoja wa wale manabii wenzake kwa neno la BWANA, “Tafadhali nipige.” Lakini yule mtu akakataa kumpiga.
36 Le hoe re tama’e, Kanao tsy nihaoñe’o ty fiarañanaña’ Iehovà, Inao! vata’e mieng’ ahy irehe le ho zevoñe’ ty liona. Aa le vata’e niavotse re, tendrek’ aze ty liona nañe-doza ama’e.
Kisha yule nabii akamwambia nabii mwenzake, “Kwa sababu umekataa kutii sauti ya BWANA, mara tu utakaponiacha, simba atakuua.” na mara tu baad ya yule mtu kumwacha, simba akamkuta na kumwua.
37 Nanjo ondaty indraike re, le nanoa’e ty hoe: Ehe, Lafao iraho. Aa le linafa’ indatiy, finofo’e vaho nahafere aze.
Kisha yule nabii akamkuta mtu mwingine akamwambia, “Tafadhali nipige.”Yule mtu akampiga na kumwumiza.
38 Le nienga mb’eo i mpitokiy, nandiñe i mpanjakay añ’olon-dalañe eo, ie nihonohono am-bandy ambonem-pihaino’e.
Kisha yule nabii akaondoka akaenda kumsubiri yule mfalme barabarani; naye alikuwa amejibadilisha kwa kilemba machoni pake.
39 Aa ie niary eo i mpanjakay le kinanji’e i mpanjakay, nanoe’e ty hoe: Naneñateña i hotakotakey ty mpitoro’o, le teo te nivike t’indaty nanese t’indaty amako nanao ty hoe: Tano ondatio; fa ndra ino ty maha-tsi-eo aze, le ty fiai’o ho a’ ty fiai’e, ke hondroha’o volafoty talenta raike.
Ikawa mfalme alipokuwa akipita, Yule nabii akamwita mfalme na kumwambia, “Mtumishi wako alienda katikati ya pigano, na askari akasimama akamleta adui kwangu akasema, 'Mwangalie mtu huyu. Na ikiwa kwa vyovyote atatoroka, basi maisha yako yatatolewa kwa ajili ya maisha yake vinginevyo utalipa kilo thelathini za fedha.
40 Aa ie nitoloñe atoy naho aroy ty mpitoro’o, le nimosao re. Le hoe ty mpanjaka’ Israele ama’e: Aa le izay ty izakañ’ azo; izay ty linaha’o.
Lakini kwa kuwa mtumishi wako alikuwa na mambo mengi akienda huku na kule, yule askari adui akatoroka.” Basi mfalme wa Israeli akamwambia, Hivyo ndivyo itakavyokuwa hukukmu yako - umejihukumu mwenyewe.”
41 Nafaha’e amy zao i bandy am-pihaino’eoy; le napota’ i mpanjakay t’ie mpiamo mpitokio.
Ndipo yule nabii alipoondoa haraka kile kilemba machoni pake, na mfalme wa Israeli alipotambua kuwa huyo alikuwa mmoja wa manabii.
42 Le hoe re tama’e: Hoe ty nafè’ Iehovà; Kanao navo­tso’o am-pità’o indaty tinendreko ho rotsaheñey, le ty fiai’o ty amy fiai’ey vaho ondati’oo ty am’ ondati’eo.
Yule nabii akamwambia mfalme, “BWANA anasema, 'Kwa sababu umemwachia aende mtu yule niliyekuwa nimemhukumu kifo, maisha yako yatachukua nafasi ya maisha yake.'”
43 Aa le nimpoly mb’ añ’anjomba’e mb’eo i mpanjaka’ Israeley, nilonjetse naho nioremèñe t’ie nipoke e Somerone ao.
Kwa hiyo mfalme wa Israeli akaenda nyumbani kwake akiwa na moyo mzito na mwenye hasira, akafika Samaria.

< 1 Mpanjaka 20 >