< 1 Mpanjaka 14 >

1 Ie amy zao, natindri’ ty hasilofañe t’i Abià, ana’ Iarovame.
Wakati ule Abiya mwana wa Yeroboamu akaugua,
2 Le hoe t’Iarovame amy tañanjomba’ey: Ehe, Miongaha, mañonohonoa tsy ho oniñe t’ie vali’ Iarovame; le akia mb’e Silò mb’eo; añe t’i Ahià mpitoky, i ni­saontsy amakoy t’ie ho mpanjaka mifehe ondaty retoañe.
naye Yeroboamu akamwambia mke wake, “Nenda ukajibadilishe, ili watu wasijue kwamba wewe ni mke wa Yeroboamu. Kisha uende Shilo. Nabii Ahiya yuko huko, yule aliyeniambia kuwa nitakuwa mfalme juu ya watu hawa.
3 Añandeso boko-mofo folo, naho mokary, naho korobo tantele, le mionjona mb’ ama’e mb’eo; ho saontsie’e ama’o ty hifetsa­k’ amy ajajay.
Chukua mikate kumi, maandazi kadhaa na gudulia la asali na umwendee. Atakuambia kitakachotokea kwa kijana.”
4 Aa le nanoe’ i vali’ Iarovamey; niongake re nomb’e Silò añe vaho niheo mb’ amy anjomba’ i Ahiày mb’eo. Tsy nahaisake t’i Ahià, fa nifè-pihaino amy haantera’ey.
Basi mke wa Yeroboamu akafanya kama alivyosema mumewe, akaenda kwenye nyumba ya Ahiya huko Shilo. Wakati huu Ahiya alikuwa kipofu naye alishindwa kuona kwa sababu ya umri wake.
5 Aa le hoe t’Iehovà amy Ahià: Ingo mb’ama’o mb’etoa ty tañanjomba’ Iarovame hañontane i ana’ey fa siloke; aa le zao naho zao ty hisaontsia’o; fa ie mimoak’ ao le hanao sare rakemba ila’e.
Lakini Bwana alikuwa amemwambia Ahiya, “Mke wa Yeroboamu anakuja kukuuliza kuhusu mwanawe, kwa kuwa ni mgonjwa, nawe utamjibu hivi na hivi. Atakapowasili, atajifanya kuwa ni mtu mwingine.”
6 Aa ie nahajanjiñe ty figodoim-pandia’e an-tokonañe eo t’i Ahià, le hoe re tama’e: Mihovà mb’etoa ry tañanjomba’ Iarovame; manao akore t’ie mintse ho ila’e? Fa niraheñe ama’o iraho hinday enta mavesatse.
Hivyo Ahiya aliposikia kishindo cha hatua zake mlangoni, akasema, “Karibu ndani, mke wa Yeroboamu. Kwa nini kujibadilisha? Nimetumwa kwako nikiwa na habari mbaya.
7 Akia, saontsio am’Iarovame: Hoe ty nafè’ Iehovà Andrianañahare’ Israele: Kanao naonjoko am’ ondatio irehe, naho nanoeko mpifehe’ Israele-ondatikoo,
Nenda, ukamwambie Yeroboamu kwamba hivi ndivyo asemavyo Bwana, Mungu wa Israeli: ‘Nilikuinua miongoni mwa watu na kukufanya kiongozi juu ya watu wangu Israeli.
8 niriateko amy anjomba’ i Davidey i fifeheañey, le natoloko azo; f’ihe tsy manahake i Davide mpitoroko, ie nañambeñe o lilikoo naho nañorik’ ahy an-kaampon’ arofo’e vaho nanoe’e ze mahi­ty a masoko avao;
Nikararua ufalme kutoka kwa nyumba ya Daudi na kukupa wewe, lakini hukuwa kama mtumishi wangu Daudi, ambaye aliyashika maagizo yangu na kunifuata kwa moyo wake wote, akifanya tu lile lililokuwa sawa machoni pangu.
9 te mone haloloañe ambone’ ze fonga taolo’o ty anoe’o; nimb’eo irehe nandranjy ‘ndrahare ankafankafa naho saren-draha natranake, hanigìke o habosehakoo, ie nahifi’o amboho’o ao;
Umefanya maovu mengi kuliko wote waliokutangulia. Umejitengenezea miungu mingine, sanamu za chuma, umenighadhibisha na kunitupa nyuma yako.
10 toly ndra, hametsahako hankàñe ty anjom­ba’ Iarovame vaho haitoako amy Iarovame ze fonga ondaty mañary rano an-kijoly, ndra ty migabeñe ao ndra ty midada e Israele le ho faopaoheko ty sehanga’ i anjomba’ Iarovamey, manahake ty fipioha’ ondaty ty forompotse am-para’ t’ie fonga añe.
“‘Kwa sababu ya hili, nitaleta maafa juu ya nyumba ya Yeroboamu. Nitakatilia mbali kutoka kwa Yeroboamu kila mzaliwa wa mwisho wa kiume katika Israeli, mtumwa au mtu huru. Nitachoma nyumba ya Yeroboamu mpaka iteketee yote kama mtu achomaye kinyesi.
11 Ho hanen’ amboa ty hivalenkañe amy Iarovame an-drova ao, le ho hanem-boron-tioke ze miantantiritse an-kivok’ ao; fa nitsa­ra t’Iehovà.
Mbwa watawala wale walio wa nyumba ya Yeroboamu watakaofia ndani ya mji na ndege wa angani watajilisha kwa wale watakaofia mashambani. Bwana amesema!’
12 Miavota arè, akia mb’añ’ anjom­ba’o mb’eo; fe vata’e mimoak’ amy rovay o fandia’oo, ho simba i ajajay.
“Kukuhusu wewe, rudi nyumbani. Wakati utakapotia mguu katika mji wako, kijana atakufa.
13 Handala aze t’Israele iaby vaho handentek’ aze, fa ie avao amo tiri’ Iarovameo ty hagodoñe an-kibory ao, amy te, ie avao ty nahaoniña’ Iehovà Andrianañahare’ Israele raha soa añ’anjomba’ Iarovame ao.
Israeli yote itamwombolezea na kumzika. Kwa sababu ni yeye pekee wa nyumba ya Yeroboamu atakayezikwa, kwa sababu ni yeye peke yake ndani ya nyumba ya Yeroboamu ambaye Bwana, Mungu wa Israeli, ameona kitu chema kwake.
14 Le hatroa’ Iehovà hifehe Israele ty mpanjaka hañito ty anjomba’ Iarovame anito. Aa ino ty hanoeko henanekeo?
“Bwana atajiinulia mwenyewe mfalme juu ya Israeli ambaye ataikatilia mbali jamaa ya Yeroboamu. Siku ndiyo hii! Nini? Naam, hata sasa hivi.
15 toe ho fofohe’ Iehovà t’Israele, manahake ty fampitroetroean-drano ty vinda; le hombota’e amy tane soa natolo’e aman-droae’ iareoy t’Israele, vaho hampivarakaihe’e alafe’ i Sakay añe; ty amo hazomanga namboare’ iereoo hanigìke Iehovà, hiviñera’e.
Naye Bwana ataipiga Israeli, hata iwe kama unyasi unaosukwasukwa juu ya maji. Ataingʼoa Israeli kutoka nchi hii nzuri aliyowapa baba zao na kuwatawanya ngʼambo ya Mto Frati, kwa sababu wamemghadhibisha Bwana kwa kutengeneza nguzo za Ashera
16 Aa le ho farie’e t’Israele ty amo tahi’ Iarovameo, ie nanao hakeo vaho nampanan-tahiñe Israele.
Naye atawaacha Israeli kwa ajili ya makosa ya Yeroboamu aliyoyatenda na kusababisha Israeli kuyatenda.”
17 Niongak’ amy zao ty vali’ Iarovame, niavotse vaho nigodañe e Tirtsà ao; aa ie nisorogodañe an-tokonañe eo le nisimba i ajajay.
Kisha mke wa Yeroboamu akainuka, akaondoka kwenda Tirsa. Mara alipokanyaga kizingiti cha mlango, kijana akafa.
18 Nandeveñe naho nandala aze t’Israele iaby, ty amy tsara’ Iehovà nitsarae’e am-pità’ i Ahià mpitoky mpitoro’ey.
Wakamzika na Israeli yote ikamwombolezea, kama Bwana alivyokuwa amesema kupitia mtumishi wake, nabii Ahiya.
19 O fitoloña’ Iarovame ila’eo, o fialia’eo, i fifehea’ey, ingo, t’ie sinokitse am-boken-talili’ o mpanjaka’ Israeleo.
Matukio mengine ya utawala wa Yeroboamu, vita vyake na jinsi alivyotawala, vimeandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli.
20 O andro nifehea’ Iarovameo le taoñe roapolo-ro’amby; vaho nitrao-piròtse aman-droae’e ao; i Nadabe ana’ey ty nandimbe aze nifehe.
Yeroboamu akawatawala kwa miaka ishirini na miwili, kisha akalala na baba zake. Naye Nadabu mwanawe akawa mfalme baada yake.
21 Nifehe e Iehoda ao t’i Rekhavame ana’ i Selomò. Efa-polo-tao-raik’ amby t’i Rekhavame te niorotse nifeleke, le nifehe folo-tao-fito’ amby e Iero­salaime, i rova jinobo’ Iehovà amo hene fifokoa’ Israeleo, hampipoha’e i tahina’eiy; i Naamae nte-Amore ty tahinan-drene’e,
Rehoboamu mwana wa Solomoni alikuwa mfalme wa Yuda. Alikuwa na umri wa miaka arobaini na moja alipoanza kutawala, naye akatawala miaka kumi na saba huko Yerusalemu, mji ambao Bwana alikuwa ameuchagua kutoka makabila yote ya Israeli ili apate kuliweka humo Jina lake. Mama yake aliitwa Naama, ambaye alikuwa Mwamoni.
22 toe nanao haloloañe am-pivazohoa’ Iehovà t’Iehoda naho nampamarahy Aze amo hakeo nanoe’ iereo mandikoatse o nanoen-droae’ iareoo,
Yuda wakatenda maovu machoni pa Bwana. Kwa dhambi walizotenda wakachochea hasira yake yenye wivu zaidi kuliko baba zao walivyofanya.
23 amy te namboare’ iereo, ho am-bata’ iereo, ty toets’ abo naho hazomanga vaho Aserae ambone’ ze fonga haboañe naho ambane’ ze hene hatae mandrevake.
Pia wakajijengea mahali pa juu pa kuabudia miungu, mawe ya kuabudiwa na nguzo za Ashera juu ya kila kilima kilichoinuka na kila mti uliotanda.
24 Tamy taney ka o lahilahy nandeo-batañ’ an-dahilahio, le fanoe’ iereo ze fonga sata-lo’ o kilakila ondaty rinoa’ Iehovà aolo’ o ana’ Israeleo añeo.
Walikuwepo hata wanaume mahanithi wa mahali pa ibada za sanamu katika nchi; watu wakajiingiza katika kutenda machukizo ya mataifa ambayo Bwana aliyafukuza mbele ya Waisraeli.
25 Ie amy zao, nionjon-kanàme Ierosa­laime t’i Sisake mpanjaka’ i Mitsraime amy taom-paha lime’ i Rekhavamey
Katika mwaka wa tano wa utawala wa Mfalme Rehoboamu, Shishaki mfalme wa Misri akashambulia Yerusalemu.
26 le nivolose’e o vara añ’anjomba’ Iehovào naho o vara añ’ anjomba’ i mpanjakaio; fonga finao’e; tinava’e ka ze hene fikalan-defo volamena niranjie’ i Selo­mò.
Akachukua hazina za Hekalu la Bwana na hazina za jumba la kifalme. Akachukua kila kitu, pamoja na zile ngao zote za dhahabu ambazo Solomoni alikuwa amezitengeneza.
27 Aa le namboare’ i Rekhavame fikalan-defoñe torisike hasolo iareo, ze nafanto’e am-pità’ o mpifehem-pigaritse mpañambeñe ty lalambein’ anjomba’ i mpanjakaio.
Kwa hiyo Mfalme Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba badala ya zile za dhahabu na kuzikabidhi kwa majemadari wa ulinzi wa zamu kwenye ingilio la jumba la mfalme.
28 Ie amy zao, ndra mbia’ mbia ty nimoaha’ i mpanjakay añ’ anjomba’ Ieho­và le nitintine’ o mpigaritseo irezay vaho nabali’ iereo mb’añ’ efem-piga­ritse ao.
Kila wakati mfalme alipokwenda katika Hekalu la Bwana, walinzi walizichukua hizo ngao, na baadaye walizirudisha kwenye chumba cha ulinzi.
29 Ty ila’ o fitoloña’ i Rekhavameo, ze hene tolon-draha’e; tsy fa sinokitse amy bokem-pitoloña’ o mpanjaka’ Iehodaio hao?
Kwa matukio mengine ya utawala wa Rehoboamu na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?
30 Nitolom-pialy avao t’i Rekhavame naho Iarovame.
Kulikuwa na vita vinavyoendelea kati ya Rehoboamu na Yeroboamu.
31 Aa le nitrao-piròtse aman-droae’e t’i Rekhavame, naho nalenteke aman-droae’e an-drova’ i Davide ao; i Naamae nte-Amore ty tahinan-drene’e. Nandimbe aze nifehe t’i Abiiame, ana-dahi’e.
Naye Rehoboamu akalala na baba zake, na akazikwa pamoja nao katika Mji wa Daudi. Mama yake aliitwa Naama, ambaye alikuwa Mwamoni. Naye Abiya mwanawe akawa mfalme baada yake.

< 1 Mpanjaka 14 >