< 1 Jaona 3 >
1 Inao, ty hara’elahim-pikokoañe nitoloran-dRae, t’ie atao anak’ Andrianañahare! Toe izay ty foto’ tsy ahafohina’ ty voatse toy an-tika, amy t’ie tsy nahafohiñ’ aze.
Tazameni ni pendo kuu namna gani alilotupa Baba, kwamba sisi tuitwe wana wa Mungu! Na ndivyo tulivyo. Kwa sababu hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa haukumtambua yeye.
2 Ry rañetse, anan’ Añahare tika henaneo, fe mbe tsy nabentatse t’ie ho inoñe. Fe fohin-tika t’ie misodehañ’ eo, le ho hambañe ama’e tika, ie ho onin-tika ami’ty vinta’e.
Wapendwa, sasa tu wana wa Mungu, lakini bado haijadhihirika tutakavyokuwa, lakini twajua ya kwamba yeye atakapodhihirishwa, tutafanana naye, kwa maana tutamwona kama alivyo.
3 Aa ndra ia ia ty mitamañe izay, le mañalio vatañe, hambañe amy te ie ro malio.
Kila mmoja mwenye matumaini haya ndani yake hujitakasa, kama vile yeye alivyo mtakatifu.
4 Ndra ia ia mitolom-pandilatse ro mañota Hake; toe tahiñe ty fandilarañe Hake.
Kila mtu atendaye dhambi afanya uasi, kwa kuwa dhambi ni uasi.
5 Fa fohi’ areo t’ie niboake hañaha o hakeon-tikañeo; ie tsy aman-tahiñe.
Lakini mwajua ya kuwa yeye alidhihirishwa ili aziondoe dhambi, wala ndani yake hamna dhambi.
6 Tsy mitolon-kakeo ze mimoneñe ama’e ao. Tsy mitolom-pandilatse ze nahaisak’ aze naho mahafohiñ’aze.
Kila mtu akaaye ndani yake hatendi dhambi. Kila mtu atendaye dhambi hakumwona yeye wala hakumtambua.
7 O keleiakoo, asoao tsy ho fañahie’ ondaty. Vantañe ty mpitolon-kavantañañe, hambañe amy te Ie ro vantañe.
Watoto wapendwa, mtu yeyote asiwadanganye. Kila mtu atendaye haki ana haki, kama yeye alivyo na haki.
8 Mpiamy mpañìnjey ze mandilatse avao, amy te mpandilatse boak’ am-baloha’e i mpañìnjey. Niboake i Anan’ Añaharey handrotsake o sata’ i mpañijeio.
Yeye atendaye dhambi ni wa ibilisi, kwa sababu ibilisi amekuwa akitenda dhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili aziangamize kazi za ibilisi.
9 Tsy mitolon-kakeo ty nasaman’ Añahare, amy te mimoneñe ama’e ao i doria’ey, vaho tsy hai’e ty mandilatse, amy t’ie nasaman’ Añahare.
Yeyote aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi, kwa sababu uzao wa Mungu wakaa ndani yake, wala hawezi kutenda dhambi kwa sababu amezaliwa na Mungu.
10 Zao ty mampalange o anan’ Añahareo naho o ana’ i mpañìnjeio: tsy anan’ Añahare ty tsy mpanao havantañañe naho ty tsy mikoko rahalahy.
Kwa jinsi hii tunaweza kujua dhahiri watoto wa Mungu na pia watoto wa ibilisi. Yeyote asiyetenda haki hatokani na Mungu, wala yeye asiyempenda ndugu yake.
11 Inao i entañe jinanji’ areo am-baloha’ey: t’ie hifampikoko,
Hili ndilo neno mlilolisikia tangu mwanzo: Kwamba imetupasa tupendane sisi kwa sisi.
12 tsy manahak’ i Kaina nimpiamy ratiy, ie namono an-drahalahi’e. Aa ino ty talim-pamonoa’e aze? Ie niraty sata, vaho nivantañe o an-drahalahi’eo.
Msiwe kama Kaini aliyekuwa wa yule mwovu akamuua ndugu yake. Basi kwa nini alimuua? Ni kwa sababu matendo yake Kaini yalikuwa mabaya na ya ndugu yake yalikuwa ya haki.
13 Ko latsa, ry longo, naho malaiñe anahareo ty voatse toy.
Ndugu zangu, ninyi msistaajabu kama ulimwengu ukiwachukia.
14 Fohin-tika te, nienga i havilasiy homb’ an-kaveloñe ao tika mpikoko longo. Mimoneñe an-kavilasy ao ty tsy mikoko.
Sisi tunajua ya kwamba tumepita mautini kuingia uzimani, kwa sababu tunawapenda ndugu. Kila asiyempenda ndugu yake akaa mautini.
15 Ndra ia ia malain-dongo ro mpamono ondaty, le fohi’ areo te tsy imoneñan-kaveloñe nainai’e ty mpañoho-doza. (aiōnios )
Yeyote amchukiaye ndugu yake ni muuaji, nanyi mwajua ya kwamba muuaji hana uzima wa milele ndani yake. (aiōnios )
16 Inao ty aharendrehan-tika fikokoañe: toe ie namoe-ay ho an-tika. Aa le hamoe-ay ho an-drolongo ka tika.
Kwa namna hii twaweza kulijua pendo la Mungu: Kwa sababu Yesu Kristo aliutoa uhai wake kwa ajili yetu. Nasi imetupasa kuutoa uhai kwa ajili ya hao ndugu.
17 Ze manañe ty vara’ ty voatse toy, ie mahaoniñe ty paia’ i longo’ey, naho mampigaben-troke, aia te ho ama’e ty fikokoan’ Añahare.
Ikiwa mtu anavyo vitu vya ulimwengu huu na akamwona ndugu yake ni mhitaji lakini asimhurumie, upendo wa Mungu wakaaje ndani ya mtu huyo?
18 Ry keleiakoo, asoao tsy hikoko an-tsaontsy ndra am-pameleke avao, fa an-tsata naho hatò.
Watoto wapendwa, tusipende kwa maneno au kwa ulimi bali kwa tendo na kweli.
19 Inao ty aharendrehan-tika te mpiama’ ty hatò, hampazava troke añatrefa’e eo,
Basi hivi ndivyo tutakavyoweza kujua ya kuwa sisi tu wa kweli na hivyo twaithibitisha mioyo yetu mbele za Mungu
20 ie sisien-troke, jabajaba te amo arofon-tikañeo t’i Andrianañahare, kila arofoana’e.
kila mara mioyo yetu inapotuhukumu. Kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mioyo yetu, naye anajua kila kitu.
21 Ry rañetse, naho tsy mamàtse antika o tron-tikañeo, le mirearea mahafañatreke an’ Andrianañahare,
Wapendwa, kama mioyo yetu haituhukumu, tunao ujasiri mbele za Mungu,
22 le ndra inoñ’ inoñe ihalalian-tika, ho rambeseñe, amy t’ie mpañambeñe o lili’eo vaho manao ze mahafale am-pivazohoa’e.
lolote tuombalo, twalipokea kutoka kwake, kwa sababu tumezitii amri zake na kutenda yale yanayompendeza.
23 Inao ty lili’e: te atokisan-tika i tahinan’ Ana’e, Iesoà Norizañey, naho hifampikoko, hambañe amy nandilia’ey.
Hii ndiyo amri yake: kwamba tuliamini Jina la Mwanawe, Yesu Kristo, na kupendana sisi kwa sisi kama yeye alivyotuamuru.
24 Mimoneñe ama’e ao ze mpañambeñe o lili’eo, naho ie ro ama’e ao. Le ty ahafohinan-tika te imoneña’e, i Arofo’e natolo’e aman-tikañey.
Wale wote wanaozishika amri zake hukaa ndani yake na yeye ndani yao. Hivi ndivyo tunavyojua kwamba anakaa ndani yetu. Nasi twajua hili kwa njia ya Roho yule aliyetupa.