< 1 Jaona 2 >
1 Ry keleiakoo, isokirako o raha zao tsy handilara’ areo. Aa naho eo ty mandilatse, le manam-pañalañalañe aman-dRae tika, Iesoà Norizañey, i Vantañey.
Watoto wangu wapendwa, nawaandikia haya ili msitende dhambi. Lakini kama mtu yeyote akitenda dhambi, tunaye Mwombezi kwa Baba: ndiye Yesu Kristo, Mwenye Haki.
2 Ie ty fañeferañe o hakeon-tikañeo, tsy ty antikañ’ avao fa a ty voatse toy iaby.
Yeye ndiye dhabihu ya upatanisho kwa ajili ya dhambi zetu, wala si kwa ajili ya dhambi zetu tu, bali pia kwa ajili ya dhambi za ulimwengu wote.
3 Zao ty aharendrehañe t’ie mahafohiñe aze, le t’ie mañambeñe o lili’eo.
Basi katika hili twajua ya kuwa tumemjua, tukizishika amri zake.
4 Ie manao ty hoe: Fantako re, fe tsy mañambeñe o lili’eo ro remborake, vaho tsy ama’e ty hatò.
Mtu yeyote asemaye kuwa, “Ninamjua,” lakini hazishiki amri zake, ni mwongo, wala ndani ya mtu huyo hamna kweli.
5 Aa ndra ia ia mañambeñe o tsara’eo, le fonitse ama’e ao ty fikokoañe an’ Andrianañahare. Zao ty ahafohinañe t’ie ama’e:
Lakini mtu yeyote anayelitii neno lake, upendo wa Mungu umekamilika ndani yake kweli kweli. Katika hili twajua kuwa tumo ndani yake.
6 ze manao te mimoneñe ama’e ao, tsy mahay tsy mañavelo amy fañaveloa’ey.
Yeyote anayesema anakaa ndani yake hana budi kuenenda kama Yesu alivyoenenda.
7 O ry rañetseo, tsy isokirako lily vao, fa i lily haehae tama’ areo am-pifotorañ’ añey. I lily taoloy i tsara jinanji’ areoy.
Wapendwa, siwaandikii ninyi amri mpya bali ile ya zamani, ambayo mmekuwa nayo tangu mwanzo. Amri hii ya zamani ni lile neno mlilosikia.
8 Tovo’e, isokirako lily vao, ze tò ama’e naho ama’ areo, amy te mihelañ’ añe i ieñey vaho mireandreañe i toe hazàvañey.
Lakini nawaandikia amri mpya, yaani, lile neno lililo kweli ndani yake na ndani yenu, kwa sababu giza linapita na ile nuru ya kweli tayari inangʼaa.
9 Ze manao te an-kazavañe f’ie malain-dongo le mbe añ’ieñe ao.
Yeyote anayesema yumo nuruni lakini anamchukia ndugu yake bado yuko gizani.
10 Mimoneñe an-kazavañe ao ty mikoko rahalahy, le tsy ama’e ty hahatsikapy aze.
Yeye ampendaye ndugu yake anakaa nuruni, wala hakuna kitu chochote ndani yake cha kumkwaza.
11 Fe añ’ ieñe ao ty malain-dongo le an-kamoromoroñañe ao ty andenà’e, vaho alik’ ama’e ty hombà’e fa nigoà’ i ieñey o maso’eo.
Lakini yeyote amchukiaye ndugu yake, yuko gizani na anaenenda gizani, wala hajui anakokwenda, kwa sababu giza limempofusha macho.
12 Manokitse ama’ areo iraho ry keleiako, fa votso-kakeo añamy tahina’ey.
Nawaandikia ninyi, watoto wadogo, kwa sababu dhambi zenu zimesamehewa kwa ajili ya Jina lake.
13 Manokitse ama’ areo iraho ry aba, amy te fohi’ areo i boak’am-baloha’ey. Manokitse ama’ areo iraho ry ajalahio, fa nahagioke i ratiy. Nanokitse ama’ areo iraho ry kabìy, amy te mahafohiñe an-dRae.
Nawaandikia ninyi, akina baba, kwa sababu mmemjua yeye aliye tangu mwanzo. Nawaandikia ninyi vijana kwa sababu mmemshinda yule mwovu. Nawaandikia ninyi watoto wadogo, kwa sababu mmemjua Baba.
14 Nanokitse ama’ areo iraho, ry aba, amy te fohi’ areo i boak’am-baloha’ey. Nanokitse ama’ areo iraho ry ajalahy, amy te maozatse, naho mimoneñe ama’ areo ao o tsaran’ Añahareo, vaho fa nahareketse i ratiy.
Nawaandikia ninyi akina baba, kwa sababu mmemjua yeye aliye tangu mwanzo. Nawaandikia ninyi vijana, kwa sababu mna nguvu, na neno la Mungu linakaa ndani yenu, nanyi mmemshinda yule mwovu.
15 Ko mikoko ty voatse toy, ndra o raha ami’ty voatse toio. Naho eo ty mikoko ty voatse toy, tsy ama’e ty fikokoan-dRae.
Msiupende ulimwengu wala mambo yaliyo ulimwenguni. Kama mtu yeyote akiupenda ulimwengu, upendo wa Baba haumo ndani yake.
16 Toe tsy boak’ aman-dRae fa hirik’ ami’ty voatse toy ze an-tane atoy iaby—ty hadrao’ o nofotseo, ty fihañam-pihaino naho ty fisengean-kaveloñe.—
Kwa maana kila kitu kilichomo ulimwenguni, yaani tamaa ya mwili, tamaa ya macho na kiburi cha uzima, havitokani na Baba bali hutokana na ulimwengu.
17 Fa mihelañe añe ty voatse toy naho o ìna rati’eo, fe ho veloñe nainai’e ty manao o satrin’ Añahareo. (aiōn )
Nao ulimwengu unapita, pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu milele. (aiōn )
18 Ry keleiako, fa sa sahengaha’e toy; ie nahajanjiñe te ho avy i norizam-bìlañey, toe maro ty norizam-bìlañe pok’eo henaneo. Izay ty aharendrehañe t’ie fa sa honka’e.
Watoto wadogo, huu ni wakati wa mwisho! Kama mlivyosikia kwamba mpinga Kristo anakuja, hivyo basi wapinga Kristo wengi wamekwisha kuja. Kutokana na hili twajua kwamba huu ni wakati wa mwisho.
19 Nienga an-tika iereo, fa toe tsy nimpiaman-tika. Naho toe ni-mpitraok’ aman-tika le mbe ho ni-mpiaman-tikañ’ avao; fa izay ty mampidodea te tsy ni-mpiaman-tika.
Walitoka kwetu, lakini hawakuwa wa kwetu hasa. Kwa maana kama wangelikuwa wa kwetu, wangelikaa pamoja nasi, lakini kutoka kwao kulionyesha kwamba hakuna hata mmoja wao aliyekuwa wa kwetu.
20 Fa nanàvoñe anahareo i Masiñey, vaho hene fohi’areo.
Lakini ninyi mmetiwa mafuta na yeye Aliye Mtakatifu, nanyi nyote mnaijua kweli.
21 Tsy t’ie tsy mahafohiñe ty hatò ty nisokirako fa t’ie mahafohiñe, vaho tsy amam-bande ty hatò.
Siwaandikii kwa sababu hamuijui kweli, bali kwa sababu mnaijua, nanyi mnajua hakuna uongo utokao katika kweli.
22 Ia ty remborake naho tsy ty mandietse te Iesoà i Norizañey. Norizam-bìlan-dre, mpitety an-dRae naho i Anakey.
Je, mwongo ni nani? Mwongo ni mtu yule asemaye kwamba Yesu si Kristo. Mtu wa namna hiyo ndiye mpinga Kristo, yaani, yeye humkana Baba na Mwana.
23 Tsy aman-dRae ze mitety i Anakey; aman-dRae ka ze miantoke i Anakey.
Hakuna yeyote amkanaye Mwana aliye na Baba. Yeyote anayemkubali Mwana anaye na Baba pia.
24 Aa le ampimoneño ama’ areo ao i jinanji’ areo tam-baloha’ey. Ie imoneña’ i jinanjiñe am-baloha’ey, le himoneñe amy Anakey naho aman-dRae ao nahareo.
Hakikisheni kwamba lile mlilosikia tangu mwanzo linakaa ndani yenu. Kama lile mlilosikia tangu mwanzo linakaa ndani yenu, ninyi nanyi mtakaa ndani ya Mwana na ndani ya Baba.
25 Zao i nampitamae’e antikañey, le i haveloñe nainai’e tsy modoy. (aiōnios )
Hii ndiyo ahadi yake kwetu, yaani, uzima wa milele. (aiōnios )
26 Nisokireko ama’ areo irezao ty amo mipay hamañahio.
Nawaandikia mambo haya kuhusu wale watu ambao wanajaribu kuwapotosha.
27 F’ie, toe imoneña’ i Fanavonañe niazo’ areo ama’ey, le tsy ipaiañe ka te hatoro ondaty, fa hitoroa’ i Fanavona’ey ze he’e, ie ro to, fa tsy vande—aa ty amy nañòha’e anahareoy, le imoneño.
Nanyi, upako mlioupata kutoka kwake unakaa ndani yenu, wala ninyi hamna haja ya mtu yeyote kuwafundisha. Lakini kama vile upako wake unavyowafundisha kuhusu mambo yote nayo ni kweli wala si uongo, basi kama ulivyowafundisha kaeni ndani yake.
28 Ie amy zao ry keleiako, imoneño, hahatokisan-tika amy fiboaha’ey, tsy hitsolofìñe an-kasalarañe te totsake.
Sasa basi, watoto wapendwa, kaeni ndani yake, ili atakapofunuliwa, tuwe na ujasiri, wala tusiaibike mbele zake wakati wa kuja kwake.
29 Kanao rendre’ areo t’ie vantañe, le fohi’ areo te hene mitoloñe ami’ty fahiti’e ze anake nampiareñe’e.
Kama mkijua kuwa yeye ni mwenye haki, mwajua kwamba kila atendaye haki amezaliwa naye.