< 1 Korintiana 10 >

1 Tsy teako hamoea’ areo, ry longo, ie songa tambane’ i rahoñey naho sindre niranga i riakey o roaen-tikañeo,
Ndugu zangu, sitaki mkose kufahamu ukweli huu kwamba baba zetu walikuwa wote chini ya wingu na kwamba wote walipita katikati ya bahari.
2 naho fonga nalipotse amy Mosè ao amy rahoñey naho amy riakey,
Wote wakabatizwa kuwa wa Mose ndani ya lile wingu na ndani ya ile bahari.
3 songa nikama i hanen’ arofoy,
Wote walikula chakula kile kile cha roho,
4 sindre ninoñe amy ranon’ arofoy; ninoma’ iareo i vaton’ arofo nañorikey. Toe i Norizañey i vatoy.
na wote wakanywa kile kile kinywaji cha roho, kwa maana walikunywa kutoka ule mwamba wa roho uliofuatana nao, nao ule mwamba ulikuwa Kristo.
5 Fe tsy ninòn’ Añahare ty hamaroa’e, vaho binaibai’e an-dratraratra añe.
Lakini Mungu hakupendezwa na wengi wao, kwa hiyo miili yao ilitapakaa jangwani.
6 Ie fandrazañañe amantika, te tsy hañiry hatsivokarañe manahake o hadrao’ iareoo.
Basi mambo haya yalitokea kama mifano ili kutuzuia tusiweke mioyo yetu katika mambo maovu kama wao walivyofanya.
7 Le tsy hiato am-pahasive manahake ty ila’e. Hoe ty pinatetse: Niambesatse ondatio nikama naho ninoñe, vaho niongake hihisa.
Msiwe waabudu sanamu, kama baadhi yao walivyokuwa, kama ilivyoandikwa, “Watu waliketi chini kula na kunywa, kisha wakainuka kucheza na kufanya sherehe za kipagani.”
8 Asoao tika tsy hañarapilo manahake ty nanoe’ ty ila’ iereo vaho ro’ale-tsi-telo-arivo ty nizamañe ami’ty andro raike.
Wala tusifanye uzinzi kama baadhi yao walivyofanya, wakafa watu 23,000 kwa siku moja.
9 Asoao ka tika tsy hitsoke i Talè, manahake ty nitsoha’ iareo vaho nampihomaha’ o mereñeo.
Wala tusimjaribu Kristo, kama baadhi yao walivyofanya, wakafa kwa kuumwa na nyoka.
10 Le ko miñeoñeoñe manahake ty nanoe’ ty ila’e vaho rinotsa’ i mpandro­tsakey.
Msinungʼunike kama baadhi yao walivyofanya, wakaangamizwa na mharabu.
11 Toe nanoeñe ho fandrazañañe i nifetsake am’iereo rezay vaho sinokitse hañòke antika nitsa­toha’ o sa honka’e zao. (aiōn g165)
Mambo haya yote yaliwapata wao ili yawe mifano kwa wengine, nayo yaliandikwa ili yatuonye sisi ambao mwisho wa nyakati umetufikia. (aiōn g165)
12 Aa le mitaoà ry manao te mijohañe, tsy mone hikorovoke.
Hivyo, yeye ajidhaniaye amesimama, aangalie asianguke.
13 Tsy nifetsaham-panjiziañe ila’ ze mahazatse ondatio nahareo; migahiñe t’i Andrianañahare, tsy hapò’e ho zizieñe mandikoatse ze lefe, fa mindre amy fanjiziañey ro hitolora’e ty hihaha’ areo, hahafifeake.
Hakuna jaribu lolote lililowapata ambalo si la kawaida kwa wanadamu. Naye Mungu ni mwaminifu; hataruhusu mjaribiwe kupita mnavyoweza. Lakini mnapojaribiwa atawapa njia ya kutokea ili mweze kustahimili.
14 Ie amy zay ry longo, ibolitiro ty fahasive.
Kwa hiyo wapenzi wangu, zikimbieni ibada za sanamu.
15 Milañoñe hoe am’ ondaty mahihitse iraho: niniho o entako zao.
Nasema watu wenye ufahamu, amueni wenyewe kuhusu haya niyasemayo.
16 Tsy fitraofañe amy lio’ i Norizañeiy hao i fitovim-pañandriañañe andriañen-tikañey? tsy fitraofañe amy fañòva’ i Norizañeiy hao i mofo folahen-tikañey?
Je, kikombe cha baraka ambacho tunakibariki, si ushirika katika damu ya Kristo? Mkate tuumegao, si ushirika wa mwili wa Kristo?
17 Amy te itika maro ro vonga-mofo raike, naho fañòva raike, fa songa ifahana’ i vonga raikey.
Kwa kuwa mkate ni mmoja, sisi tulio wengi tu mwili mmoja, kwa kuwa wote twashiriki mkate mmoja.
18 Oniño t’Israele ty amo nofotseo: tsy mpitraoke amy kitreliy hao o mikama o nisoroñañeo?
Waangalieni watu wa Israeli: Je, wale wote walao dhabihu si ni wale watendao kazi madhabahuni?
19 Ino ty teako ho volañeñe: Amam-bente’e hao o fahasiveo, manjofake hao o raha soroñeñe amo samposampon-drahao?
Je, nina maana kwamba kafara iliyotolewa kwa sanamu ni kitu chenye maana yoyote? Au kwamba sanamu ni kitu chenye maana yoyote?
20 Inao o entakoo: ty fisoroña’ o kilakila’ ondatio ro isoroñañe aman-kokolampa fa tsy aman’ Añahare, vaho tsy teako t’ie hi­traok’ amo kokolampao.
La hasha! Lakini kafara za watu wasiomjua Mungu hutolewa kwa mashetani, wala si kwa Mungu. Nami sitaki ninyi mwe na ushirika na mashetani.
21 Tsy aharo finomañe ty fitovi’ i Talè naho ty korobon-kokolampa; tsy atraoke amy fandambaña’ i Talèy ty tihin-kokolampa.
Hamwezi kunywa katika kikombe cha Bwana na cha mashetani pia. Hamwezi kuwa na sehemu katika meza ya Bwana na katika meza ya mashetani pia.
22 Mampamarahy i Talè hao tika? Maozatse te ama’e hao tika?
Je, tunataka kuamsha wivu wa Bwana? Je, sisi tuna nguvu kuliko yeye?
23 Sindre azo anoeñe, fa tsy songa mahasoa; sambe mete, fe tsy hene mampitombo.
“Vitu vyote ni halali,” lakini si vitu vyote vilivyo na faida. “Vitu vyote ni halali,” lakini si vyote vinavyojenga.
24 Asoao tsy ho eo ty hipay hampiraorao ty vata’e, fa ty ila’e.
Mtu yeyote asitafute yaliyo yake mwenyewe, bali kila mtu atafute yale yanayowafaa wengine.
25 Kamao ze aletake an-tsena ao fa ko añontaneañe, hampimarimarihañe ty arofo.
Kuleni chochote kinachouzwa sokoni, bila kuuliza swali lolote kwa ajili ya dhamiri.
26 A i Talè ty tane toy naho ze halifora’e.
Kwa maana, “Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana.”
27 Ihe ambara’ ty tsi-miato, naho no’o ty homb’ ama’e ao, le ikamo ze azotso’e, fe ty amo hamarimarihañeo, ko mañontane.
Kama ukikaribishwa chakula na mtu asiyeamini nawe ukikubali kwenda, kula kila kitu kitakachowekwa mbele yako bila kuuliza maswali kwa ajili ya dhamiri.
28 Aa naho eo ty manao ama’o ty hoe: Nisoroñañe am-pahasive ‘n-itoy, le ko ikama’o kanao nisaontsia’e, naho ty amy fi­tsakoreañey.
Lakini kama mtu yeyote akikuambia, “Hiki kimetolewa kafara kwa sanamu,” basi usikile kwa ajili ya huyo aliyekuambia na kwa ajili ya dhamiri.
29 Fitsakoreañe, hoe iraho, tsy ty azo fa i azey. Fa ino ty izaka’ ty ereñeren-tro’ ondatio ty fidadàko?
Nina maana dhamiri ya huyo aliyekuambia, wala si kwa ajili ya dhamiri yako. Lakini kwa nini uhuru wangu uhukumiwe na dhamiri ya mtu mwingine?
30 Aa naho ikamako am-pañandriañañe le ino ty ifosàñ’ ahy amy nañandriañakoy?
Kama nikila kwa shukrani, kwa nini nashutumiwa kwa kile ambacho kwa hicho ninamshukuru Mungu?
31 Aa ke mikama he minoñe, hera inoñ’ inoñe ty anoe’ areo, hene anò handrengeañe an’ Andrianañahare.
Basi, lolote mfanyalo, kama ni kula au kunywa, fanyeni yote kwa utukufu wa Mungu.
32 Ko mampitorifike o Jiosio ndra o Grikao, ndra i Fivorin’ Añaharey,
Msiwe kikwazo kwa mtu yeyote, wawe Wayahudi au Wayunani, au kwa kanisa la Mungu,
33 hambañe ami’ty ampifaleko ze fonga ondaty amy ze raha iaby, ty tsy ipaiako tombo’e ho ahy, fa ho a i màroy, soa t’ie ho rombaheñe.
kama hata mimi ninavyojaribu kumpendeza kila mtu kwa kila namna. Kwa maana sitafuti mema kwa ajili yangu mwenyewe bali kwa ajili ya wengi, ili waweze kuokolewa.

< 1 Korintiana 10 >