< 1 Tantara 18 >
1 Ie añe izay, le linafa’ i Davide o nte-Pelistio naho nampiambanè’e vaho tinava’e am-pità’ o nte-Pelistio t’i Gate naho o tanà’eo.
Baada ya haya Daudi akawashambulia Wafilisti na kuwashinda. Alichukuwa Gathi na vijiji vyake katika utawala wa Wafilisti.
2 Linafa’e ka t’i Moabe vaho nimpitoro’ i Davide o nte-Moabeo, nandroroñe ama’e.
Kisha akamshinda Moabu, na Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi na wakamlipa ushuru maalumu.
3 Linafa’ i Davide t’i Hadadezere, mpanjaka’ i Tsobà pake Kamate, ie nionjoñe mb’ an-tsaka Perate añe hampijadoñe i fifehea’ey.
Daudi kisha akamshinda Hadadezeri, mfalme wa Zoba huko Hamathi, wakati Hadadezeri alipo kuwa akisafiri kuimarisha utawala wake kwa Mto wa Frati.
4 Tinava’ i Davide ama’e ty sarete arivo naho ty mpiningi-tsoavala fito arivo naho ty lahindefo ro’ale; vaho nanoe’ i Davide firasintake iaby o soavalao fe nahaja’e ty sarete zato.
Daudi akateka magari ya farasi elfu, wanaume wa farasi elfu saba, na wanajeshi wa miguu elfu ishirini. Daudi aliwajeruhi farasi wote wagari, lakini akahifadhi baadhi kwa ajili ya magari ya farasi mia moja.
5 Ie avy o nte Arame boak’e Damesèkeo hañolotse i Hadadezere mpanjaka’ i Tsobà, le zinama’ i Davide ty lahindefoñe ro’ale-tsi-ro’arivo amo nte Arameo.
Waaramia wa Damasko walipo kuja kumsaidia Hadadezeri mfalme wa Zoba, Daudi aliua wanaume elfu ishirini na mbili wa Kiaramia.
6 Nampijadoñe’ i Davide mpirimboñe amy zao t’i Damesèke’ i Arame; vaho ninjare mpitoro’ i Davide o nte-Arameo vaho nandroroñe ama’e. Tinolo’ Iehovà fandreketañe t’i Davide ndra aia aia ty nomba’e.
Kisha Daudi akaweka vikosi huko Aramu ya Damasko, na Waaramia wakawa watumishi wake na wakamletea ushuru maalaumu. Yahweh alimpatia Daudi ushindi popote alipoenda.
7 Rinambe’ i Davide o fikalan-defo volamena tamo mpitoro’ i Hadadezereo vaho nendese’e mb’e Ierosalaime añe.
Daudi alichukua ngao za dhahabu zilizo kuwa kwa watumishi wa Hadadezeri na kuleta Yerusalemu.
8 Boake Tibkate naho i Kone, rova’ i Hadadezere, ty nañandesa’ i Davide torisike tsy fotofoto, ie nanoe’ i Selomò i sajoabey torisìkey naho i fahañe rey naho o fanake torisìkeo.
Kutoka Tibhathi na Kuni, miji ya Hadadezeri, Daudi alichukuwa shaba nyingi sana. Ilikuwa shaba hii ambayo baadae Sulemani alifanya saani ya shaba, nguzo, na vifaa vya shaba.
9 Ie jinanji’ i Tô, mpanjaka’ i Kamate te zinevo’ i Davide ty valobohò’ i Hadadezere mpanjaka’ i Tsobà
Wakati Toi, mfalme wa Hamathi, alipo sikia kuwa Daudi ameshinda majeshi yote ya Hadadezeri mfalme wa Zoba,
10 le nirahe’e t’i Hadorame ana’e mb’ amy Davide mpanjaka mb’eo hañontane naho hañandriañe aze, ty amy nialia’e amy Hadadezere naho nanjevo aze; ie nimpialy amy Tô t’i Hadadezere; le nampindreza’e fanake volamena naho volafoty vaho torisìke maro karaza’e.
Toi akamtuma Hadoramu mwanae kwa Mfalme Daudi kumsalimia na kumbariki, kwasababu Daudi amepigana na Hadadezeri na kumshinda, na kwasababu Hadadezeri alifanya vita na Toi. Hadoramu alipeleka vifaa vya fedha, dhahabu, na shaba.
11 Noriza’ i Davide ho am’ Iehovà irezay, mitraok’ ami’ty volafoty naho volamena nakare’e amo fifeheañe iabio; amy Edome naho i Moabe naho amo ana’ i Amoneo naho amo nte-Pelistio vaho amy Amaleke.
Mfalme Daudi alivitenga hivi vitu kwa ajili ya Yahweh, pamoja na fedha na dhahabu aliyo ibeba kutoka kwa mataifa yote: Edomu, Moabu, watu wa Amoni, Wafilisti, na Waamaleki.
12 Mbore namofoke nte-Edome rai-ale-tsi-valo-arivo am-bavatanen-Tsira ao t’i Abisay ana’ i Tseroià.
Abishai mwana wa Zeruia akawaua Waedomi elfu kumi na nane katika Bonde la Chumvi.
13 Najado’e Edome ao ty mpirimboñe vaho fonga nimpitoro’ i Davide o nte-Edomeo. Izay ty nimbae’ Iehovà i Davide ndra aia aia ty nomba’e.
Alieka vikosi huko Edomu, na Waedomi wote wakawa watumishi wa Daudi. Yahweh alimpa Daudi ushindi pote alipoenda.
14 Aa le nifehè’ i Davide t’Israele iaby vaho hene nizaka’e an-kavantañañe ondati’eo.
Daudi alitawala Israeli yote, na alitenda haki na utaua kwa watu wote.
15 Ioabe ana’ i Tseroià ty mpifeleke i valobohòkey naho Iehosafate ana’ i Akilode ty mpamolily.
Yoabu mwana wa Zeruia walikuwa mkuu wa jeshi, na Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mtunza kumbukumbu.
16 Nimpisoroñe t’i Tsadoke ana’ i Akitobe naho i Abimelek’ ana’ i Abiatare vaho nimpitàn-tsokitse i Savsà;
Zadoki mwana wa Ahitubi na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani, na Shavisha alikuwa mwandishi.
17 Nimpifehe o nte-Kereteo naho o nte-Peleteo t’i Benaià ana’ Iehoiada; vaho lohàñe amo niariseho i mpanjakay o ana’ i Davideo.
Benaia mwana wa Yehoiada alikuwa mwangalizi wa Wakerethi na Wapelethi, na wana wa Daudi walikuwa washauri wakuu wa mfalme.