< Salamo 134 >
Njoni, mtukuzeni Yahwe, enyi nyote watumishi wa Yahwe, ninyi mnaotumika hekaluni mwa Yahwe wakati wa usiku.
2 Manandrata ny tananareo ho amin’ ny fitoerana masìna, Ka misaora an’ i Jehovah.
Inueni mikono yenu patakatifu pake na mtukuzeni Yahwe.
3 Hitahy anao avy ao Ziona anie Jehovah Mpanao ny lanitra sy ny tany.
Mungu na awabariki toka Sayuni, yeye aliye ziumba mbingu na nchi.