< मत्ती 28 >
1 आराम दिन को बाद हप्ता को पहिलो दिन भुन्सारे होतोच मरियम मगदलीनी अऊर दूसरी मरियम कब्र ख देखन आयी।
Baada ya Sabato, karibu na mapambazuko ya siku ile ya Jumapili, Maria Magdalene na yule Maria mwingine walikwenda kutazama lile kaburi.
2 अऊर देखो, एक बड़ो भूईडोल भयो, कहालीकि प्रभु को एक दूत स्वर्ग सी उतरयो अऊर जवर आय क ओन गोटा ख लुढ़काय दियो, अऊर ओको पर बैठ गयो।
Ghafla kutatokea tetemeko kubwa la nchi; malaika wa Bwana alishuka kutoka mbinguni, akalivingirisha lile jiwe, akalikalia.
3 ओको रूप बिजली को जसो चमकत होतो अऊर ओको कपड़ा बर्फ को जसो उज्वल होतो।
Alionekana kama umeme na mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji.
4 ओको डर सी पहरेदार काप उठ्यो, अऊर मरयो जसो भय गयो।
Walinzi wa lile kaburi wakatetemeka kwa hofu kubwa, hata wakawa kama wamekufa.
5 स्वर्गदूत न बाईयों सी कह्यो, “मत डरो, मय जानु हय कि तुम यीशु ख ढूंढय हय, जो क्रूस पर चढ़ायो गयो होतो।
Lakini yule malaika akawaambia wale wanawake, “Ninyi msiogope! Najua kwamba mnamtafuta Yesu aliyesulubiwa.
6 ऊ इत नहाय, पर अपनो वचन को अनुसार जीन्दो भय गयो हय। आवो, यो जागा देखो, जित प्रभु पड़्यो होतो,
Hayupo hapa maana amefufuka kama alivyosema. Njoni mkaone mahali alipokuwa amelala.
7 अऊर तुरतच जाय क ओको चेलावों सी कहो कि ऊ मरयो हुयो म सी जीन्दो भयो हय, अऊर ऊ तुम सी पहिले गलील ख जायेंन, उत ओको दर्शन पावों! देखो, मय न जो तुम्ख बतायो हय, ओख याद रखो।”
Basi, nendeni upesi mkawaambie wanafunzi wake kwamba amefufuka kutoka wafu, na sasa anawatangulieni kule Galilaya; huko mtamwona. Haya, mimi nimekwisha waambieni.”
8 हि डर अऊर बड़ो खुशी को संग कब्र सी तुरतच लौट क ओको चेलावों ख समाचार देन लायी दवड़ गयी।
Wakiwa wenye hofu na furaha kubwa, hao wanawake walitoka upesi kaburini, wakakimbia kwenda kuwaambia wanafunzi wake.
9 तब यीशु उन्ख मिल्यो। अऊर कह्यो, “नमस्कार।” उन्न जवर आय क अऊर ओको पाय पकड़ क ओख प्रनाम करयो।
Mara, Yesu akakutana nao, akawasalimu: “Salamu.” Hao wanawake wakamwendea, wakapiga magoti mbele yake, wakashika miguu yake.
10 तब यीशु न उन्को सी कह्यो, “मत डरो; मोरो भाऊवों सी जाय क कहो कि गलील ख चली जाये, उत हि मोख देखेंन।”
Kisha Yesu akawaambia, “Msiogope! Nendeni mkawaambie ndugu zangu waende Galilaya, na huko wataniona.”
11 हि जायच रही होती कि पहरेदारों म सी कुछ न नगर म आय क पूरो हाल मुख्य याजकों सी कह्यो जो कुछ भयो होतो।
Wale wanawake walipokuwa wanakwenda zao, baadhi ya walinzi wa lile kaburi walikwenda mjini kutoa taarifa kwa makuhani wakuu juu ya mambo yote yaliyotukia.
12 तब उन्न बुजूर्गों को संग जमा होय क सलाह करी अऊर सिपाहियों ख बहुत धन दियो,
Basi, wakakutana pamoja na wazee, na baada ya kushauriana, wakawapa wale askari kiasi kikubwa cha fedha
13 अऊर कह्यो “तुम यो कहनो चाहवय हय कि रात ख जब हम सोय रह्यो होतो, त ओको चेला आय क ओको शरीर चुराय ले गयो।
wakisema, “Ninyi mtasema hivi: Wanafunzi wake walikuja usiku, wakamwiba sisi tukiwa tumelala.
14 अऊर यदि यो बात शासक को कान तक पहुंचेंन, त हम ओख समझाय लेबो कि तुम निर्दोष हय, अऊर तुम्ख चिन्ता करनो सी बचाय लेबो।”
Na kama mkuu wa mkoa akijua jambo hili, sisi tutasema naye na kuhakikisha kuwa ninyi hamtapata matatizo.”
15 सिपाहियों न धन लियो अऊर उच करयो जो उन्ख करन लायी कह्यो गयो होतो। अऊर येकोलायी यो बात अज तक यहूदियों द्वारा फैलायी गयी हय।
Wale walinzi wakazichukua zile fedha, wakafanya kama walivyofundishwa. Habari hiyo imeenea kati ya Wayahudi mpaka leo.
16 ग्यारा चेला गलील म ऊ पहाड़ी पर गयो, जेक यीशु न उन्ख बतायो होतो।
Wale wanafunzi kumi na mmoja walikwenda Galilaya kwenye ule mlima aliowaagiza Yesu.
17 जब उन्न ओख देख्यो, त उन्न ओख प्रनाम करयो, तब भी उन्म सी कुछ ख शक भयो।
Walipomwona, wakamwabudu, ingawa wengine walikuwa na mashaka.
18 यीशु न उन्को जवर आय क कह्यो, “स्वर्ग अऊर धरती को पूरो अधिकार मोख दियो गयो हय।
Yesu akaja karibu, akawaambia, “Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
19 येकोलायी तुम जावो, सब लोगों ख चेला बनावो; अऊर उन्ख बाप, अऊर बेटा, अऊर पवित्र आत्मा को नाम सी बपतिस्मा देवो,
Nendeni basi, mkawafanye watu wa mataifa yote wawe wanafunzi wangu; mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu.
20 अऊर उन्ख सब बाते जो मय न तुम्ख आज्ञा दियो हय, माननो सिखावो: अऊर देखो, मय जगत को अन्त तक सदा तुम्हरो संग हय।” (aiōn )
Wafundisheni kushika maagizo yote niliyowapeni. Nami nipo pamoja nanyi siku zote; naam, mpaka mwisho wa nyakati.” (aiōn )