< Banzembo 98 >

1 Nzembo. Boyembela Yawe nzembo ya sika, pamba te asalaka makambo ya kokamwa! Na nguya mpe na bokonzi na Ye ya bonzambe, alongaki.
Zaburi. Mwimbieni Bwana wimbo mpya, kwa maana ametenda mambo ya ajabu; kitanga chake cha kuume na mkono wake mtakatifu umemfanyia wokovu.
2 Yawe atalisaki elonga na Ye, amonisaki bosembo na Ye epai ya bikolo.
Bwana ameufanya wokovu wake ujulikane na amedhihirisha haki yake kwa mataifa.
3 Akanisaki bolingo mpe bosembo na Ye mpo na libota ya Isalaele. Kino na suka ya mokili, elonga ya Nzambe na biso emonanaki.
Ameukumbuka upendo wake na uaminifu wake kwa nyumba ya Israeli; miisho yote ya dunia imeuona wokovu wa Mungu wetu.
4 Mokili mobimba, bobetela Yawe maboko, boyemba banzembo ya esengo mpe bobeta mindule!
Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote, ipaze sauti kwa nyimbo za shangwe na vinanda;
5 Bobetela Yawe lindanda, boyembela Ye banzembo na lokito ya nzenze!
mwimbieni Bwana kwa kinubi, kwa kinubi na sauti za kuimba,
6 Bobeta maboko liboso ya Yawe, Mokonzi, na lokito ya bakelelo mpe ya maseke.
kwa tarumbeta na mvumo wa baragumu za pembe za kondoo dume: shangilieni kwa furaha mbele za Bwana, aliye Mfalme.
7 Tika ete ebale monene elongo na nyonso oyo ezali kati na yango, mokili mpe bavandi na yango, bapesa lokito!
Bahari na ivume na kila kiliomo ndani yake, dunia na wote wakaao ndani yake.
8 Tika ete bibale ebeta maboko mpe bangomba nyonso eganga na esengo
Mito na ipige makofi, milima na iimbe pamoja kwa furaha,
9 liboso ya Yawe, pamba te azali koya kosambisa mabele! Akokata makambo na yango na bosembo.
vyote na viimbe mbele za Bwana, kwa maana yuaja kuhukumu dunia. Atahukumu dunia kwa haki na mataifa kwa haki.

< Banzembo 98 >