< Banzembo 93 >

1 Yawe azali kokonza, alati lokumu monene; Yawe alati penza lokumu monene mpe amizingeli na nguya. Solo, mokili etelema ngwi, eninganaka te.
Yahwe anatawala; amevikwa adhama; Yahwe amejivika na kujifunga nguvu. Ulimwengu umeimalishwa; hauwezi kusogezwa.
2 Kiti ya Bokonzi na Yo epikama wuta kala; seko na seko, ozali.
Kiti chako cha enzi kimeimarishwa nyakati za kale; umekuwepo siku zote.
3 Yawe, bibale egangaka! Bibale etombolaka lokito na yango; bibale etombolaka makelele na yango.
Bahari zimeinuka, Yahwe; zimemepaza sauti zao; mawimbi ya bahari yapiga ghasia na ngurumo.
4 Yawe azali monene makasi, na bisika ya likolo; aleki lokito ya mayi minene, mpe bambonge milayi ya ebale monene.
Zaidi ya ghasia ya mawimbi mengi, mawimbi ya bahari yenye nguvu, Yahwe aliye juu ni mwenye nguvu.
5 Yawe, malako na Yo ezali penza ya solo; bosantu elati Ndako na Yo mpo na libela.
Amri zako makini ni za kuaminika sana; utakatifu huipamba nyumba yako, Yahwe, milele.

< Banzembo 93 >