< Banzembo 76 >
1 Wuta na buku ya mokambi ya bayembi. Ezali ya koyemba na lindanda. Nzembo ya Azafi. Nzambe ayebani kati na Yuda; Kombo na Ye ezali monene kati na Isalaele.
Mungu amefanya mwenyewe kujulikana katika Yuda; jina lake ni kuu katika Israeli.
2 Ndako na Ye ya kapo ezali na Salemi; mpe esika na Ye ya kovanda ezali na Siona.
Hema yake iko salemu; makao yake yako yako Sayuni.
3 Ezali kuna nde abukaki makonga ya makasi, banguba, mipanga mpe bibundeli nyonso ya bitumba.
Huko ndiko alivunja mishale ya upinde, ngao, upanga, na silaha zingine za vita. (Selah)
4 Ozali kongenga lokola mwinda, otonda na lokumu koleka bangomba ya babotoli bomengo ya bitumba.
Wewe unang'aa sana na huufunua utukufu wako, ushukapo kutoka milimani, ambako uliwauwa mateka.
5 Bilombe nyonso ya mpiko bakweyisamaki, balalaki pongi na bango ya suka; basoda nyonso bakokaki lisusu te kotombola maboko.
Wenye moyo shujaa walitekwa nyara; walilala mauti. Mashujaa wote walikuwa wanyonge.
6 Nzambe ya Jakobi, na kanda na Yo, bato oyo babundaka likolo ya bampunda elongo na bampunda bakweyi na somo.
Kwa kukemea kwako, ewe Mungu wa Yakobo, wote gari na farasi walilala mauti.
7 Solo, ozali somo! Nani akokoka kotelema liboso na Yo soki osiliki?
Wewe, ndiyo wewe, ni wa kuogopwa; ni nani awezaye kusimama mbele yako wakati ukiwa na hasira?
8 Wuta na likolo, osalaka ete mokano na Yo eyokana na matoyi ya bato; mokili ekomaka na kobanga mpe evandaka kimia
Kutoka mbinguni wewe uliifanya hukumu yako isikike; nchi iliogopa na ikaa kimya
9 tango, Yo Nzambe, otelemaka mpo na kosambisa mpe kobikisa banyokolami nyonso ya mokili.
wakati wewe, Mungu, ulipoinuka kutekeleza hukumu na kuwaokoa wote wa nchi walio onewa. (Selah)
10 Pamba te kanda makasi ya bato esanzolaka Yo, mpe olataka kanda ya batikali.
Hakika hukumu ya hasira yako dhidi ya binadamu itakuletea wewe sifa; wewe hujifunga mwenyewe hasira yako iliyo baki.
11 Epai ya Yawe, Nzambe na bino, bopesa bilaka mpe bokokisa yango. Tika ete bato nyonso oyo bazingeli Ye bamemela Nzambe ya somo makabo!
Wekeni nadhiri kwa Yahwe Mungu wenu na kuzihifadhi. Nao wote wamzungukao yeye mleteeni zawadi yeye ambaye ni wa kuogopwa.
12 Abukaka lolendo ya bakambi, mpe bakonzi ya mokili babangaka Ye.
Yeye huzikata roho za wakuu; huogopwa na wafalme wa nchi.