< Banzembo 68 >

1 Wuta na buku ya mokambi ya bayembi. Nzembo ya Davidi. Loyembo. Soki Nzambe atelemi, banguna na Ye bapalanganaka, mpe bayini na Ye bakimaka mosika na Ye.
Mungu ainuke, maadui zake watawanyike; pia wale wamchukiao wakimbie mbele zake.
2 Liboso ya Nzambe, bato mabe bakufaka, ndenge milinga elimwaka, mpe mafuta enyangwamaka na moto.
Kama moshi uondoshwavyo, hivyo uwaondoshe wao; kama nta iyeyukavo mbele ya moto, hivyo waovu waangamizwe uweponi mwa Mungu.
3 Liboso ya Nzambe, bato ya sembo basepelaka, batondaka na esengo.
Bali wenye haki wafurahi; washangilie mbele za Mungu; washangilie na kufurahi.
4 Boyembela Nzambe, boyemba banzembo mpo na lokumu ya Kombo na Ye. Bofungola nzela mpo na Ye oyo atambolisaka mampinga na Ye kati na esobe. Kombo na Ye ezali Yawe. Botonda na esengo liboso na Ye.
Mwimbieni Mungu! Lisifuni jina lake! Msifuni yule aendeshaye farasi kwenye tambarare ya bonde la Mto Yordani! Yahwe ni jina lake! Shangilieni mbele zake!
5 Kati na Ndako na Ye ya bule, Nzambe azali Tata ya bana bitike, mpe molobeli ya basi bakufisa mibali.
Baba wa yatima, na mwamuzi wa wajane, ni Mungu anayeishi mahali patakatifu.
6 Nzambe apesaka libota epai ya bato oyo bavandaka bango moko, abimisaka bakangami wuta na minyololo; kasi batomboki batikalaka na mabele ekawuka.
Mungu huwaweka wakiwa katika familia; yeye huwafungua wafungwa kwa kuimba bali waasi huishi katika ardhi kavu.
7 Oh Nzambe, tango obimaki liboso ya bato na Yo, tango otambolaki na esobe,
Mungu, wewe ulipoenda mbele ya watu wako, ulipotembea kupitia jangwani, (Selah)
8 mabele eninganaki, likolo mpe esopaki mayi liboso ya Nzambe, Nzambe ya Sinai; liboso ya Nzambe, Nzambe ya Isalaele.
nchi ilitetemeka; mbingu pia zilidondosha mvua katika uwepo wa Mungu, uweponi mwa Mungu wakati alipokuja Sinai, uweponi mwa Mungu, Mungu wa Israeli.
9 Nzambe, osopaki mvula ya mapamboli, olendisaki libula na Yo mpo ete elembaki.
Wewe, Mungu, ulituma mvua nyingi; uliuimarisha urithi wako wakati ulipokuwa umechoka.
10 Oh Nzambe, bato na Yo bavandaka na mokili oyo obongisaki, na boboto na Yo, mpo na mobola.
Watu wako waliishi humo; Wewe, Mungu, uliutoa kwa wema wako kwa maskini.
11 Na liloba moko kowuta na Nkolo, basi oyo bamemaka sango basangani bato ebele,
Bwana alitoa amri, na wale walio zitangaza walikuwa ni jeshi kuu.
12 bakonzi ya mampinga bakimi, bapoti mbangu, mpe mwasi oyo atikali na ndako akaboli bomengo ya bitumba.
Wafalme wa majeshi wanakimbia, wanakimbia, na wanawake wakisubiri nyumbani kuvigawana wao na familia zao vilivyotekwa nyara.
13 Boni, bokokoba kolala pongi kati na bandako na bino? Mapapu ya ebenga ezipami na se ya palata, mpe bansala na yango ezipami na se ya wolo.
Njiwa walio vikwa fedha wakiwa na mabawa ya njano ya dhahabu. Wakati baadhi ya watu wakikaa kati ya mifugo ya kondoo, kwa nini umefanya haya?
14 Tango Nkolo-Na-Nguya-Nyonso abenganaki kuna bakonzi, anokisaki mvula ya pembe na ngomba Tsalimoni.
Mwenyezi Mungu aliwatawanya Wafalme huko, ilikuwa kama vile wakati wa theluji juu ya Mlima Salmoni.
15 Ngomba ya Bashani, ngomba ya Nzambe; ngomba ya Bashani, ngomba ya basonge ebele,
Mlima mkubwa ni milima wa mji wa Bashani; mlima mrefu ni mlima wa mji wa Bashani.
16 mpo na nini ozali kosala zuwa, ngomba ya basonge ebele, ngomba oyo Nzambe asepelaka kovanda? Nzokande Yawe akovanda kuna libela na libela.
Ewe mlima mrefu wa nchi, kwa nini unatazama kwa jicho la husuda, kwenye mlima ambao Mungu ameutaka kwa ajili ya mahali ambapo yeye ataishi? Hakika, Yahwe ataishi humo milele.
17 Motango ya bashar ya Nzambe ezali ebele, koleka minkoko; Nkolo azali kati na yango, kuna na Sinai, kati na Esika ya bule.
Magari ya Mungu ni ishirini elfu, maelfu juu ya maelfu; Bwana yu kati yao katika mahari patakatifu, kama katika Sinai.
18 Yawe Nzambe, tango omataki na likolo, omemaki bakangami, ozwaki makabo epai ya bato, ata epai ya batomboki, mpo ete okoma kovanda kuna.
Wewe umepaa juu; uliwaongoza mateka; umepokea zawadi kutoka kati ya watu, hata kutoka kwa wale waliopigana dhidi yako, ili kwamba wewe, Yahwe Mungu, uweze kuishi huko.
19 Tika ete Nkolo akumisama, mokolo na mokolo! Nzambe Mobikisi na biso alataka makambo na biso.
Abarikiwe Bwana, atubebeaye mizigo yetu, Mungu ambaye ni wokovu wetu. (Selah)
20 Mpo na biso, Nzambe yango azali Nzambe oyo abikisaka; mpe bikuke ya kufa ezali ya Nkolo Yawe.
Mungu wetu ni Mungu aokoaye; Yahwe Bwana ni yule awezaye kutuokoa sisi dhidi ya kifo.
21 Solo, Nzambe apanzaka mito ya banguna na Ye, oyo batambolaka kati na bomoi ya masumu, oyo mito na bango etonda na suki.
Lakini Bwana atapiga vichwa vya adui zake, mpaka kwenye ngozi ya kichwa yenye nywele ya wale watembeao katika makosa dhidi yake.
22 Nkolo alobi: « Wuta na Bashani, nakomema bango; wuta na mozindo ya ebale monene, nakomema bango,
Bwana alisema, “Nitawarudisha adui zangu kutoka Bashani; nitawarudisha kutoka katika kina cha bahari
23 mpo ete opanza lokolo na yo kati na makila, mpe mpo ete lolemo ya bambwa na yo ezwa eteni na yango. »
ili kwamba upate kuwaangamiza adui zako, ukichovya mguu wako katika damu, na ili kwamba ndimi za mbwa wako zipate mlo wao kutoka kwa adui zenu.”
24 Oh Nzambe, bazali komona ndenge ozali koya; koya ya Nzambe na ngai, ya Mokonzi na ngai, kati na Esika ya bule.
Mungu, wameona maandamano yako, maandamano ya Mungu wangu, Mfalme wangu, kwenye mahali patakatifu.
25 Bayembi bazali liboso; sima na bango, bato oyo bazali kobeta mandanda ya basinga kati na bilenge basi oyo bazali kobeta bambonda ya mike.
Waimbaji walitangulia, walifuatiwa na wapiga muziki, na katikati walikuwa wanawali wakicheza ngoma.
26 Bopambola Nzambe kati na mayangani, bopambola Yawe wuta na etima ya Isalaele.
Mtukuzeni Mungu katika kusanyiko; msifuni Yahwe, ninyi ukoo wa kweli wa Israeli.
27 Kuna, Benjame, leki ya suka, azali kotambolisa bakambi ya Yuda elongo na mampinga na bango, bakambi ya Zabuloni mpe ya Nefitali.
Kuna Benjamini kwanza, kabila dogo, kisha viongozi wa Yuda na watu wao, viongozi wa Zabuloni na viongozi wa Naftali.
28 Nzambe na yo apesi mitindo epai ya makasi na yo; zala makasi. Nzambe, osaleli biso penza makambo.
Mungu wenu, Israeli, ameamuru nguvu zenu; uzifunue kwetu nguvu zako, Mungu, kama ulivyo zifunua wakati uliopita.
29 Wuta na Tempelo na Yo ya Yelusalemi epai wapi bakonzi bamemelaka Yo makabo,
Uzifunue nguvu zako kwetu toka katika hekalu la Yerusalemu, ambako wafalme huleta zawadi kwako.
30 bengana ngando oyo ebombami kati na matiti, lisanga ya bangombe ya mibali elongo na bana ngombe ya bikolo oyo batambolaka kati na mbongo ya bibende ya palata, mpe panza bikolo oyo basepelaka na bitumba.
Pigeni kelele katika vita dhidi ya wanyama wa porini katika mianzi, dhidi ya watu, lile kundi la mafahari na ndama. Wafedhehesheni na kuwalazimisha wawaletee zawadi; watawanyeni watu wapendao kupigana vita.
31 Bazwi bakobimela na Ejipito; bato ya Kushi bakoya na lombangu, bakotombola maboko epai ya Nzambe.
Wakuu watatoka katika Misri; Ethiopia itafanya haraka kuufikisha mkono wake kwa Mungu.
32 Bino, babokonzi ya mabele, boyembela Nzambe; boyemba banzembo mpo na lokumu ya Nkolo!
Mwimbieni Mungu, enyi falme za nchi; (Selah) mwimbieni sifa Yahwe.
33 Boyembela Ye oyo atambolisaka mampinga kati na likolo, likolo ya libela; oyo, wuta na mongongo na Ye, agangaka makasi.
Kwake yeye apitaye juu ya mbingu za mbingu, zilizokuwepo tangu zama za kale; tazama, yeye hupiga kelele kwa nguvu
34 Bosakola ete nguya ezali ya Nzambe oyo nkembo na Ye ezali na Isalaele, mpe nguya na Ye ezali kati na mapata.
Tangazeni kuwa Mungu ni mwenye nguvu; enzi yake iko juu ya Israeli, na nguvu zake ziko angani.
35 Nzambe, wuta kati na bisika na Yo ya bule, obongi na botosi! Nzambe ya Isalaele apesaka na bato na Ye makasi mpe nguya. Tika ete Nzambe akumisama!
Mungu, mahali pako patakatifu panatisha; Mungu wa Israeli, yeye huwapa watu wake nguvu na uweza. Atukuzwe Mungu.

< Banzembo 68 >