< Banzembo 48 >
1 Nzembo ya bana ya Kore. Yawe azali monene mpe abongi na lokumu, kati na engumba ya Nzambe na biso, ngomba na Ye ya bule.
Yahwe ndiye aliye mkuu na mwenyekusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu kwenye mlima wake mtakatifu.
2 Ezali kitoko, ngomba moke oyo esalaka esengo ya mokili mobimba, ngomba Siona! Ngambo na yango ya Nor nde ezali engumba ya Mokonzi Monene.
Ni mzuri katika mwinuko wake, furaha ya nchi yote, ni mlima Sayuni, kwenye upande wa kaskazini, mji wa Mfalme mkuu.
3 Nzambe azali kati na bandako na yango ya bokonzi, amimonisi lokola ndako batonga makasi.
Mungu amejifunua mwenyewe katika jumba lake la kifahari kama kimbilio la usalama.
4 Pamba te bakonzi basanganaki, batambolaki nzela moko.
Maana, tazama, wafalme walikusanyika wenyewe; wote pamoja walipita.
5 Kasi tango kaka bamonaki yango, bakamwaki mpe bakimaki na somo.
Nao waliuona, wakashangaa; walifadhaika, na wakaharakisha kuondoka.
6 Mbala moko, bakomaki kolenga wana lokola mwasi oyo azali na pasi ya kobota
Pale pale tetemeko liliwashikilia, maumivu makali kama mwanamke anaye zaa.
7 to lokola mopepe ya Este oyo apanzaka masuwa ya Tarsisi.
Kwa upepo wa mashariki wewe huivunja meli ya Tarshishi.
8 Ndenge kaka bayebisaki biso, ndenge mpe tomonaki kati na engumba ya Yawe, Mokonzi ya mampinga, kati na engumba ya Nzambe na biso; Nzambe alendisaka yango seko na seko.
Kama tulivyo sikia, vivyo hivyo tumeona katika mji wa Yahwe wa majeshi, katika mji wa Mungu wetu; Mungu atautunza milele. (Selah)
9 Nzambe, kati na Tempelo na Yo, tokanisaka bolingo na Yo.
Tumeutafakari uaminifu wa agano lako, Mungu, katikati ya hekalu lako.
10 Nzambe, lokumu na Yo epanzani kino na suka ya mokili, ndenge moko na Kombo na Yo; loboko na Yo ya mobali etondi na bosembo.
Kama lilivyo jina lako, Mungu, hivyo ndivyo zilivyo sifa zako mpaka miisho ya dunia; mkono wako wa kuume umejaa haki.
11 Ngomba ya Siona ezali kosepela, bamboka ya Yuda etondi na esengo mpo na mikano na Yo.
Milma Sayuni na ufurahi, nao wana wa Yuda washangilie kwa sababu ya amri ya haki yako.
12 Botambola pembeni ya Siona, bokende zingazinga na yango, botanga bandako na yango ya milayi.
Tembeeni katika Mlima Sayuni, muuzungukie mji,
13 Botala lopango na yango, botala malamu bandako na yango mpo ete bopesa sango epai ya bato oyo bakoya na sima.
mzitazame kwa makini nguzo zake, na mtazame majumba yake ya kifahari ili kwamba muweze kuwasimulia kizazi kijacho.
14 Pamba te Nzambe wana azali Nzambe na biso seko na seko mpe libela na libela; akotambolisa biso, ezala kino na kufa.
Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; naye atakuwa kiongozi wetu mpaka kufa.