< Banzembo 34 >

1 Nzembo ya Davidi. Ayembaki yango tango akosanaki liboma liboso ya Abimeleki oyo abenganaki ye, mpe akendeki. Nakopambola Yawe tango nyonso, nakokumisa Ye mikolo nyonso na bibebu na ngai.
Nitamsifu Yahwe wakati wote, siku zote sifa zake zitakuwa mdomoni mwangu.
2 Tika ete bomoi na ngai emikumisa kati na Yawe; tika ete banyokolami bayoka mpe basepela!
Nitamsifu Yahwe! walio onewa wasikie na kufurahi.
3 Boya kosakola elongo na ngai ete Yawe azali monene! Tonetola Kombo na Ye, biso nyonso.
Msifuni Yahwe pamoja nami, kwa pamoja tuliinue jina lake.
4 Nalukaki Yawe, mpe ayanolaki ngai; akangolaki ngai na somo na ngai nyonso.
Nilimuomba Yahwe msaada naye akanijibu, akanipa ushindi juu ya hofu yangu yote.
5 Bato oyo batalaka epai na Ye bangengaka na esengo, mpe bayokisamaka soni ata moke te.
Wale wanao mtazama yeye wana furaha, na nyuso zao hazina aibu.
6 Mobola agangaki, mpe Yawe ayokaka ye; abikisaki ye na pasi na ye nyonso.
Huyu mtu aliye onewa alilia na Yahwe akamsikia na kumuokoa kwenye matatizo yake yote.
7 Anjelu ya Yawe atongaka molako na ye zingazinga ya bato oyo batosaka Yawe, mpe akangolaka bango.
Malaika wa Yahwe huweka kambi wakiwazunguka wale wanao muogopa yeye na kuwaokoa.
8 Bomeka elengi mpe botala ndenge nini Yawe azali malamu; Esengo na moto oyo azwaka Yawe lokola ebombamelo na ye!
Onjeni muone Yahwe ni mzuri. Amebarikiwa mtu yule ambaye Yahwe ni kimbilio lake.
9 Bino basantu ya Yawe, botosa Yawe; pamba te bato oyo batosaka Ye bazangaka eloko moko te.
Muogopeni Yahwe, ninyi watu watakatifu wake. Hakuna kupungukikwa kwa wale wanao mhofu yeye.
10 Bana ya nkosi ezangaka mpe ekufaka nzala, kasi bato oyo balukaka Yawe bakozanga eloko moko.
Simba wadogo wakati mwingine hukosa chakula na kuteseka kwa njaa, bali wale wamtafutao Yahwe hawatapungukiwa chochote kilicho kizuri.
11 Bana na ngai, boya, boyoka ngai; Nakolakisa bino kotosa Yawe.
Njoni, wana, mnisikilize mimi. nitawafundisha ninyi hofu ya Yahwe.
12 Nani asepelaka na bomoi? Nani alingaka kobika mikolo ebele ya esengo?
Mtu nani aliyepo ambaye anatamani maisha na anapenda kuwa na siku nyingi, ili kwamba aweze kuona vizuri?
13 Batela lolemo na yo mosika na mabe, mpe bibebu na yo ete eloba lokuta te.
Hivyo uepushe ulimi wako na uovu na uilinde midomo yako kuongea uongo.
14 Zala mosika na mabe mpe sala bolamu, luka kimia mpe koba na yango.
Uache uovu na utende mema. Uitafute amani na kuiendea amani.
15 Miso ya Yawe etalaka bato ya sembo, mpe matoyi na Ye eyokaka koganga na bango;
Macho ya Yahwe yako kwenye haki na masikio yake huelekea kulia kwao.
16 kasi Yawe apesaka bato mabe mokongo mpo ete bakanisa bango lisusu te kati na mokili.
Uso wa Yahwe uko kinyume na wale watendao uovu, kuikatilia mbali kumbukumbu yao duniani.
17 Tango bato ya sembo babelelaka, Yawe ayokaka mpe akangolaka bango na pasi na bango nyonso.
Wenye haki hulia na Yahwe husikia na kuwaokoa kwenye matatizo yao yote.
18 Yawe azali pene ya bato oyo bazoki na mitema mpe abikisaka ba-oyo balembi na milimo na bango.
Yahwe yu karibu nao waliovunjika moyo, naye huwaokoa waliogandamizwa rohoni.
19 Pasi mingi ekangaka moto ya sembo, kasi Yawe akangolaka ye na nyonso,
Mateso ya wenye haki ni mengi, bali Yahwe huwaokoa nayo yote.
20 abatelaka mikuwa na ye nyonso mpo ete moko te kati na yango ebukana.
Yeye huitunza mifupa yake yote, hakuna hata mmoja wao utavunjika.
21 Mabe ebomaka moto mabe, mpe bayini ya moto ya sembo bakozwa etumbu.
Uovu utawauwa waovu. Wale wachukiao haki watahukumiwa.
22 Yawe akangolaka bomoi ya basali na Ye; mpe bato nyonso oyo bazwaka Ye lokola ebombamelo na bango bakozwa etumbu te.
Yahwe huokoa maisha ya watumishi wake. Hakuna atakaye hukumiwa hata mmoja atafutaye usalama katika yeye.

< Banzembo 34 >