< Banzembo 29 >

1 Nzembo ya Davidi. Bopesa Yawe, bino ba-anjelu ya Nzambe, bopesa Yawe nkembo mpe makasi.
Mpeni sifa Yahwe, enyi wana wa Mungu! Mpeni sifa Yahwe kwa ajili ya utukufu wake na nguvu.
2 Bopesa Yawe nkembo oyo ekoki na lokumu ya Kombo na Ye; bogumbamela Yawe kati na kongenga ya bosantu na Ye.
Mpeni Yahwe utukufu ambao jina lake linastahili. Mpigieni magoti Yahwe katika mapambo ya utakatifu.
3 Mongongo ya Yawe eyokani na likolo ya mayi, Nzambe ya nkembo azali koleka elongo na lokito, Yawe azali koleka elongo na lokito na likolo ya mayi minene.
Sauti ya Yahwe imesikika zaidi ya maji; Mungu wa radi ya utukufu, radi yaYahwe i juu ya maji mengi.
4 Mongongo ya Yawe ezali na nguya; mongongo ya Yawe ezali na lokumu mingi.
Sauti ya Yahwe ina nguvu; sauti ya Yahwe ni kuu.
5 Mongongo ya Yawe ebukaka banzete ya sedele; Yawe abukaka banzete ya sedele ya Libani.
Sauti ya Yahwe huivunja mierezi; Yahwe huivunja vipande vipande mierezi ya Lebanon.
6 Apumbwisaka Libani lokola mwana ngombe, apumbwisaka Sirioni lokola mwana ya mpakasa.
Yeye huifanya Lebanoni kuruka kama ndama wa ng'ombe na Sirioni kama mwana wa nyati.
7 Mongongo ya Yawe ebimaka elongo na bakake ya moto.
Sauti ya Yahwe hutoa miale ya moto.
8 Mongongo ya Yawe elengisaka esobe; Yawe alengisaka Esobe ya Kadeshi.
Sauti ya Yahwe hutetemesha Jangwa; Yahwe hutetemesha jangwa la Kadeshi.
9 Mongongo ya Yawe esalaka ete mboloko ebota, esalaka mpe ete zamba etikala pamba. Kati na Tempelo ya Yawe, nyonso egangaka: « Nkembo! »
Sauti ya Yahwe huufanya miti mikubwa kutikisika na huipukutisha misitu. Kila mmoja katika hekalu lake husema, “Utukufu!”
10 Yawe avandaki na Kiti ya Bokonzi na likolo ya mpela; Yawe avandi na Kiti ya Bokonzi lokola Mokonzi mpo na libela.
Yahwe hukaa kama mfalme juu ya mafuriko; Yahwe hukaa kama mfalme milele.
11 Yawe apesaka bato na Ye makasi; Yawe apambolaka bato na Ye na nzela ya kimia.
Yahwe huwatia nguvu watu wake; Yahwe huwa bariki watu wake na amani.

< Banzembo 29 >