< Banzembo 2 >
1 Mpo na nini bikolo ezali kosala makelele mpe bato bazali kosala makita ya pamba?
Kwa nini mataifa wanafanya dhoruba, kwa nini watu wanafanya njama ambazo zitafeli?
2 Bakonzi ya mokili batomboki, mpe bakambi basangani mpo na kotelemela Yawe elongo na mopakolami na Ye.
Wafalme wa nchi kwa pamoja hushikilia misimamo yao na watawala kwa pamoja hufanya njama kinyume na Yahwe na kinyume na Masihi, wakisema,
3 Bazali koganga elongo: « Tokata minyololo na bango mpe tomikangola na bokonzi na bango! »
“Ngoja tuzikate pingu walizo tufingia sisi na kuzitupa pingu zao.”
4 Kasi Ye oyo avandi na Kiti na Ye ya Bokonzi kuna na likolo aseki, Yawe atioli bango.
Yeye aketie katika mbingu atacheka kwa dharau mbele yao; Bwana atawadhihaki wao.
5 Agangeli bango na kanda, apelisi kanda makasi na Ye mpo na bango, alobi:
Kisha ataongea nao katika hasira yake na kuwaogofya kwa gadhabu yake, akisema,
6 « Ezali Ngai nde natiaki mokonzi na Ngai na Siona, ngomba na Ngai ya bule. »
“Mimi mwenyewe nilimpaka mafuta mfalme wa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
7 Nakosakola mobeko ya Yawe. Alobaki na ngai: « Ozali Mwana na Ngai ya mobali, na mokolo ya lelo, nakomi Tata na Yo.
Nami nitatangaza amri ya Yahwe. Yeye aliniambia, “wewe ni mwanangu! Leo hii nimekuwa baba yako.
8 Senga Ngai, mpe nakokomisa bikolo libula na Yo, basuka ya mokili bozwi na Yo.
Uniombe, nami nitakupa wewe taifa kwa ajili ya urithi na mikoa ya nchi iliyo bora kwa ajili ya umiliki wako.
9 Okoyangela yango na bokonzi ya ebende, okopanza yango lokola mbeki ya mabele. »
Wewe utawavunja wao kwa fimbo ya chuma; kama vile mtungi wa mfinyanzi, wewe utawavunja wao vipande vipande.”
10 Yango wana, bino bakonzi, bozala na mayele; bino bayangeli ya mokili, boyoka likebisi oyo.
Hivyo sasa, ninyi wafalme; mchukue tahadhari; mjirekebishe.
11 Bosalela Yawe na kobanga mpe bosepela na kolenga.
Mwabuduni Yahwe kwa hofu na mfurahi mkitetemeka.
12 Bopesa Mwana na Ye beze, noki te akosilika mpe bokokufa na nzela na bino, pamba te kanda na Ye epelaka noki. Esengo na bato oyo bazwaka Ye lokola ebombamelo na bango.
Mumbusu mwana vinginevyo atawakasirikia, na mtakufa pale pale hasira yake ikiwaka. Ni jinsi gani wamebarikiwa wale wote watafutao usalama ndani yake.