< Banzembo 147 >

1 Bokumisa Yawe! Tala ndenge ezali malamu kosanzola Nzambe na biso, mpe ndenge ezali kitoko kokumisa Ye!
Msifuni Yahwe, kwa maana ni vyema kumwimbia sifa Mungu wetu, ni kuzuri, kusifu kwa faa sana.
2 Yawe azali kotonga lisusu Yelusalemi epai wapi akosangisa bato ya Isalaele oyo bakenda na bowumbu.
Yahwe huijenga tena Yerusalemu, huwakusanya pamoja watu wa Israeli waliotawanyika.
3 Abikisaka bato oyo batutami na mitema mpe akawusaka bapota na bango.
Huponya mioyo iliyopondeka na kuganga majeraha yao.
4 Ayebi motango ya minzoto mpe abengaka moko na moko na kombo na yango.
Huzihesabu nyota, naye huzipa majina zote.
5 Nkolo na biso azali monene mpe atonda na nguya; mayele na Ye ezali na mondelo te.
Ukuu ni wa Bwana wetu na nguvu zake ni za kutisha, ufahamu wake hauwezi kupimika.
6 Yawe asungaka babola, kasi akitisaka bato mabe kino na mabele.
Yahwe huwainua wanyonge, huwashusha chini wenye jeuri.
7 Boyembela Yawe nzembo ya matondi! Bobetela Nzambe na biso lindanda mpo na kosanzola Ye!
Mwimbieni Yahwe kwa shukurani, mwimbieni sifa Mungu wetu kwa kinubi.
8 Azipaka likolo na mapata, abongisaka mvula mpo na mokili mpe abotisaka matiti na bangomba.
Huzifunika mbingu kwa mawingu na huiandaa mvua kwa ajili ya nchi, akizifanya nyasi kukua juu ya milima.
9 Apesaka bilei epai ya bibwele mpe epai ya bana ya yanganga oyo ezali koganga mpo na nzala.
Huwapa wanyama chakula na wana kunguru waliapo.
10 Asepelaka na makasi ya mpunda te mpe alingaka te nguya ya moto;
Hapati furaha katika nguvu ya farasi, wala haridhii miguu imara ya mwanadamu.
11 kasi Yawe asepelaka na bato oyo batosaka Ye, ba-oyo batielaka bolingo na Ye motema.
Yahwe huridhia katika wale wanao muheshimu yeye, watumainio katika uaminifu wa agano lake.
12 Yelusalemi, pesa nkembo na Yawe! Siona, kumisa Nzambe na yo!
Msifuni Yahwe, Yerusalemu, msifuni Mungu wenu, Sayuni.
13 Alendisaka bikangelo ya bikuke na yo mpe apambolaka bana na yo epai na yo.
Maana yeye huyakaza mapingo ya malango yako, huwabariki watoto wako kati yako.
14 Atiaka kimia na etuka na yo mpe atondisaka yo na farine.
Huletamafanikio ndani ya mipaka yako, hukutosheleza kwa ngano bora.
15 Atindaka mitindo na Ye na mokili, mpe maloba na Ye epanzanaka mbala moko!
Huipeleka amri yake juu ya nchi, amri zake hupiga mbio sana.
16 Anokisaka mvula ya pembe lokola bapwale ya meme mpe apanzaka mvula ya mabanga lokola putulu;
Huifanya theluji kama sufu, huitawanya barafu kama majivu.
17 akweyisaka mabanga ya mvula yango lokola mabanga ya mike-mike; nani akoki kotelema na malili na yango?
Hutupa mvua ya mawe kama makombo, ni nani awezaye kuhimili baridi aitumayo?
18 Soki kaka atindi liloba, malili ekomaka kosila moke-moke; mpe soki atindi mopepe, mayi ekomaka kotiola.
Hutuma amri zake na kuziyeyusha, huvumisha upepo wake na hutiririsha maji.
19 Asakolaki liloba na Ye epai ya Jakobi, mibeko mpe malako na Ye epai ya Isalaele.
Hutangaza neno lake kwa Yakobo, amri zake na hukumu zake kwa Israeli.
20 Asalaki bongo na ekolo ata moko te; boye eyebaka mpe mibeko na Ye te. Bokumisa Yawe!
Hajafanya hivyo kwa taifa linginelo lolote, na kama ilivyo amri zake, hawazijui. Msifuni Yahwe.

< Banzembo 147 >