< Banzembo 136 >

1 Bosanzola Yawe, mpo ete azali malamu;
Oh, mshukuruni Yahwe; kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
2 Bosanzola Nzambe ya banzambe;
Oh, Mshukuruni Mungu wa miungu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
3 Bosanzola Nkolo na bankolo;
Oh, mshukuruni Bwana wa mabwana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
4 Ye kaka nde asalaka bikamwa ya minene;
Mshukuruni yeye ambaye peke yake hufanya maajabu makuu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
5 Akelaki likolo na mayele na Ye;
Yeye aliyezifanya mbingu kwa hekima zake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
6 Atandaki mabele na likolo ya mayi;
Mshukuruni yeye alitetandaza nchi juu ya maji, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
7 Akelaki biloko minene oyo ebimisaka pole;
Yeye aliyefanya mianga mikubwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
8 moyi mpo na kongengisa mokolo;
Mshukuruni yeye alipaye jua kutawala mchana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
9 sanza mpe minzoto mpo na kongengisa butu;
Mwezi na nyota vitawale usiku, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
10 Abomaki bana mibali ya liboso ya Ejipito;
Mshukuruni yeye aliyewaua wazaliwa wa kwanza wa Misri, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
11 Abimisaki Isalaele wuta na Ejipito;
Akawatoa Waisraeli kati yao, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
12 na nguya monene ya loboko na Ye;
Kwa mkono hodari na mkono ulio nyooshwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
13 Akabolaki ebale monene ya Barozo na biteni mibale;
Mshukuruni yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
14 Alekisaki Isalaele na kati-kati ya ebale monene ya Barozo;
Na kuwapitisha Waisraeli katikati yake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
15 Azindisaki Faraon elongo na mampinga na ye kati na ebale monene ya Barozo;
Lakini akamtupa Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
16 Atambolisaki bato na Ye kati na esobe;
Mshukuruni yeye aliye waongoza watu wake jangwani, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wa milele.
17 Abetaki bakonzi minene;
Yeye aliyewaua wafalme wakuu, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wadumu milele.
18 Abomaki bakonzi ya nguya;
Mshukuruni yeye aliyewaua wafalme maarufu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
19 Sikoni, mokonzi ya bato ya Amori;
Sihoni mfalme wa Waamori, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
20 mpe Ogi, mokonzi ya Bashani;
Na Ogu, mfalme wa Bashani, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
21 Akabaki mabele na bango lokola libula;
Mshukuruni yeye aliyewapa nchi yao kama urithi, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
22 lokola libula epai ya Isalaele, mosali na Ye;
Urithi wa Israel mtumishi wake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
23 Akanisaki biso tango basambwisaki biso;
Yeye aliyetukumbuka na kutusaidia katika unyonge wetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
24 Akangolaki biso wuta na maboko ya banguna na biso;
Mshukuruni yeye ambaye ametupa ushindi juu ya aui zetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
25 Apesaka bilei na bikelamu nyonso;
Yeye awapaye chakula viumbe hai wote, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
26 Bosanzola Nzambe ya likolo;
Oh, mshukuruni Mungu wa mbinguni, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.

< Banzembo 136 >