< Banzembo 135 >
1 Bokumisa Yawe! Bokumisa Kombo ya Yawe! Bokumisa Ye, bino basali ya Yawe,
Msifuni Bwana. Lisifuni jina la Bwana, msifuni, enyi watumishi wa Bwana,
2 oyo botelemaka kati na Ndako ya Yawe, kati na lopango ya Ndako ya Nzambe na biso!
ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
3 Bokumisa Yawe! Pamba te Yawe azali malamu! Boyembela Kombo na Ye, pamba te ezali kitoko makasi.
Msifuni Bwana, kwa kuwa Bwana ni mwema, liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.
4 Pamba te Yawe aponaki Jakobi, Isalaele, mpo ete azala ya Ye moko.
Kwa maana Bwana amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe, Israeli kuwa mali yake ya thamani.
5 Solo, ngai nayebi malamu ete Yawe azali monene, ete Nkolo na biso aleki banzambe nyonso.
Ninajua ya kuwa Bwana ni mkuu, kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.
6 Yawe asalaka nyonso oyo alingi, kuna na likolo mpe awa na mabele, kati na bibale minene mpe kati na mozindo nyonso.
Bwana hufanya lolote apendalo, mbinguni na duniani, katika bahari na vilindi vyake vyote.
7 Amatisaka mapata wuta na suka ya mokili, atindaka mikalikali elongo na mvula, abimisaka mopepe wuta na bibombelo na yango.
Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia; hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua na huleta upepo kutoka ghala zake.
8 Ye nde abomaki bana ya liboso ya Ejipito, kobanda na bato kino na banyama;
Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri, mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.
9 atindaki bilembo ya kokamwa mpe bikamwa kati na yo, Ejipito, mpo na kotelemela Faraon mpe basali na ye nyonso;
Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
10 abebisaki bikolo ebele mpe abomaki bakonzi ya nguya:
Aliyapiga mataifa mengi, na akaua wafalme wenye nguvu:
11 Sikoni, mokonzi ya bato ya Amori; Ogi, mokonzi ya Bashani; mpe bakonzi nyonso ya Kanana.
Mfalme Sihoni na Waamori, Ogu mfalme wa Bashani na wafalme wote wa Kanaani:
12 Mpe akabaki mikili na bango lokola libula, lokola libula epai ya bato na Ye, Isalaele.
akatoa nchi yao kuwa urithi, urithi kwa watu wake Israeli.
13 Oh Yawe, sango ya Kombo na Yo ewumelaka libela na libela! Yawe, bakopanza sango ya Kombo na Yo seko na seko!
Ee Bwana, jina lako ladumu milele, kumbukumbu za fahari zako, Ee Bwana, kwa vizazi vyote.
14 Pamba te Yawe akolimbisa bato na Ye, akoyokela basali na Ye mawa.
Maana Bwana atawathibitisha watu wake, na kuwahurumia watumishi wake.
15 Banzambe ya bikolo ezali ya palata mpe ya wolo, esalema na maboko ya bato.
Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
16 Ezali na minoko, kasi elobaka te; ezali na miso, kasi emonaka te;
Zina vinywa, lakini haziwezi kusema, zina macho, lakini haziwezi kuona;
17 ezali na matoyi, kasi eyokaka te; ezali ata na pema te kati na minoko na yango.
zina masikio, lakini haziwezi kusikia, wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.
18 Bato oyo basalaka yango mpe bato nyonso oyo batielaka yango motema bakokani na yango.
Wale wanaozitengeneza watafanana nazo, vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
19 Bato ya Isalaele, bopambola Yawe! Bakitani ya Aron, bopambola Yawe!
Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana; ee nyumba ya Aroni, msifuni Bwana;
20 Bakitani ya Levi, bopambola Yawe! Bino nyonso oyo botosaka Yawe, bopambola Yawe!
ee nyumba ya Lawi, msifuni Bwana; ninyi mnaomcha, msifuni Bwana.
21 Tika ete, wuta na Siona, Yawe apambolama, Ye oyo avandaka na Yelusalemi! Bokumisa Yawe!
Msifuni Bwana kutoka Sayuni, msifuni yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Bwana.