< Mitango 33 >

1 Tala bisika oyo bana ya Isalaele batongaki milako na bango tango bazalaki na mobembo wuta na mokili ya Ejipito. Bazalaki kotambola na molongo ya bitumba na bokambami ya Moyize mpe Aron.
Hivi ndivyo vituo katika safari ya Waisraeli walipotoka Misri kwa vikosi chini ya uongozi wa Mose na Aroni.
2 Moyize akomaki na mokanda bisika nyonso oyo bazalaki koleka na etinda ya Yawe. Tala bakombo ya moko na moko ya bisika yango:
Kwa agizo la Bwana, Mose aliweka kumbukumbu ya vituo katika safari yao. Hivi ndivyo vituo katika safari yao:
3 Bana ya Isalaele balongwaki na Ramisesi na mokolo ya zomi na mitano, na sanza ya liboso; ezalaki mokolo oyo elandaki mokolo ya Pasika. Babimaki na matata te na miso ya bato nyonso ya Ejipito,
Waisraeli walisafiri kutoka Ramesesi katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa kwanza, siku iliyofuata Pasaka. Walitembea kwa ujasiri wazi mbele ya Wamisri wote,
4 wana bato ya Ejipito bazalaki kokunda bibembe ya bana mibali na bango ya liboso oyo Yawe abetaki mpo na kopesa etumbu na banzambe na bango.
waliokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza wote, ambao Bwana alikuwa amewaua katikati yao, kwa kuwa Bwana alikuwa ameleta hukumu juu ya miungu yao.
5 Tango balongwaki na Ramisesi, bana ya Isalaele bakendeki kotonga molako na bango na Sukoti.
Waisraeli waliondoka Ramesesi na kupiga kambi huko Sukothi.
6 Kolongwa na Sukoti, bakendeki kotonga molako na bango na Etami, pene ya mondelo ya esobe.
Wakaondoka Sukothi na kupiga kambi huko Ethamu, pembeni mwa jangwa.
7 Tango balongwaki na Etami, bazongaki na ngambo ya Pi-Ayiroti oyo etalana na Bala-Tsefoni, mpe batongaki molako na bango liboso ya Migidoli.
Wakaondoka Ethamu, wakageuka wakarudi Pi-Hahirothi, hadi mashariki ya Baal-Sefoni, wakapiga kambi yao karibu na Migdoli.
8 Kolongwa na Pi-Ayiroti, bakatisaki ebale monene mpe bakomaki na esobe; batambolaki mikolo misato na esobe ya Etami mpe batongaki molako na bango, na Mara.
Wakaondoka Pi-Hahirothi wakapita katikati ya bahari mpaka jangwani, na baada ya kusafiri kwa siku tatu katika Jangwa la Ethamu, walipiga kambi huko Mara.
9 Kolongwa na Mara, bakomaki na Elimi epai wapi bakutaki bitima zomi na mibale mpe banzete ya mbila tuku sambo; batongaki molako na bango kuna.
Wakaondoka Mara wakaenda Elimu, mahali ambapo palikuwa na chemchemi kumi na mbili na mitende sabini, huko wakapiga kambi.
10 Kolongwa na Elimi, bakendeki kotonga molako na bango pene ya ebale monene ya barozo.
Wakaondoka Elimu na kupiga kambi kando ya Bahari ya Shamu.
11 Kolongwa na ebale monene ya barozo, bakendeki kotonga molako na bango na esobe ya Tsini.
Wakaondoka kando ya Bahari ya Shamu na kupiga kambi katika Jangwa la Sini.
12 Kolongwa na esobe ya Tsini, bakendeki kotonga molako na bango na Dofika.
Wakaondoka katika Jangwa la Sini, wakapiga kambi huko Dofka.
13 Kolongwa na Dofika, bakendeki kotonga molako na bango na Alushi.
Wakaondoka Dofka, wakapiga kambi huko Alushi.
14 Kolongwa na Alushi, bakendeki kotonga molako na bango na Refidimi epai wapi bato bazangaki mayi ya komela.
Wakaondoka Alushi, wakapiga kambi Refidimu, mahali ambapo hapakuwa na maji kwa ajili ya watu kunywa.
15 Kolongwa na Refidimi, bakendeki kotonga molako na bango na esobe ya Sinai.
Wakaondoka Refidimu na kupiga kambi katika Jangwa la Sinai.
16 Kolongwa na esobe ya Sinai, bakendeki kotonga molako na bango na Kibiroti-Atava.
Wakaondoka katika Jangwa la Sinai na kupiga kambi huko Kibroth-Hataava.
17 Kolongwa na Kibiroti-Atava, bakendeki kotonga molako na bango na Atseroti.
Wakaondoka Kibroth-Hataava na kupiga kambi huko Haserothi.
18 Kolongwa na Atseroti, bakendeki kotonga molako na bango na Ritima.
Wakaondoka Haserothi na kupiga kambi huko Rithma.
19 Kolongwa na Ritima, bakendeki kotonga molako na bango na Rimoni-Peretsi.
Wakaondoka Rithma na kupiga kambi huko Rimon-Peresi.
20 Kolongwa na Rimoni-Peretsi, bakendeki kotonga molako na bango na Libina.
Wakaondoka Rimon-Peresi na kupiga kambi huko Libna.
21 Kolongwa na Libina, bakendeki kotonga molako na bango na Risa.
Wakaondoka Libna na kupiga kambi huko Risa.
22 Kolongwa na Risa, bakendeki kotonga molako na bango na ngomba Keyelata.
Wakaondoka Risa na kupiga kambi huko Kehelatha.
23 Kolongwa na ngomba Keyelata, bakendeki kotonga molako na bango na ngomba Seferi.
Wakaondoka Kehelatha na kupiga kambi kwenye mlima Sheferi.
24 Kolongwa na ngomba Seferi, bakendeki kotonga molako na bango na Arada.
Wakaondoka kwenye mlima Sheferi na kupiga kambi huko Harada.
25 Kolongwa na Arada, bakendeki kotonga molako na bango na Makeyeloti.
Wakaondoka Harada na kupiga kambi huko Makelothi.
26 Kolongwa na Makeyeloti, bakendeki kotonga molako na bango na Taati.
Wakaondoka Makelothi na kupiga kambi huko Tahathi.
27 Kolongwa na Taati, bakendeki kotonga molako na bango na Tera.
Wakaondoka Tahathi na kupiga kambi huko Tera.
28 Kolongwa na Tera, bakendaki kotonga molako na bango na Mitika.
Wakaondoka Tera na kupiga kambi huko Mithka.
29 Kolongwa na Mitika, bakendaki kotonga molako na bango na Ashimona.
Wakaondoka Mithka na kupiga kambi huko Hashmona.
30 Kolongwa na Ashimona, bakendeki kotonga molako na bango na Moseroti.
Wakaondoka Hashmona na kupiga kambi Moserothi.
31 Kolongwa na Moseroti, bakendeki kotonga molako na bango na Bene-Yaakani.
Wakaondoka Moserothi na kupiga kambi huko Bene-Yakani.
32 Kolongwa na Bene-Yaakani, bakendeki kotonga molako na bango na Ori-Gidigadi.
Wakaondoka Bene-Yakani na kupiga kambi huko Hor-Hagidgadi.
33 Kolongwa na Ori-Gidigadi, bakendeki kotonga molako na bango na Yotibata.
Wakaondoka Hor-Hagidgadi na kupiga kambi huko Yotbatha.
34 Kolongwa na Yotibata, bakendeki kotonga molako na bango na Abrona.
Wakaondoka Yotbatha na kupiga kambi huko Abrona.
35 Kolongwa na Abrona, bakendeki kotonga molako na bango na Etsioni-Geberi.
Wakaondoka Abrona na kupiga kambi huko Esion-Geberi.
36 Kolongwa na Etsioni-Geberi, bakendeki kotonga molako na bango na Kadeshi, na esobe ya Tsini.
Wakaondoka Esion-Geberi na kupiga kambi huko Kadeshi katika Jangwa la Sini.
37 Kolongwa na Kadeshi, bakendeki kotonga molako na bango na ngomba Ori, na mondelo ya Edomi.
Wakaondoka Kadeshi na kupiga kambi kwenye Mlima Hori, mpakani mwa Edomu.
38 Ezali kuna na ngomba Ori nde, kolanda etinda ya Yawe, Nganga-Nzambe Aron amataki mpe akufaki na mokolo ya liboso ya sanza ya mitano, sima na mibu tuku minei wuta bana ya Isalaele babimaki na Ejipito.
Kwa amri ya Bwana, kuhani Aroni alipanda Mlima Hori, mahali alipofia katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano, mwaka wa arobaini baada ya Waisraeli kutoka Misri.
39 Aron azalaki na mibu ya mbotama nkama moko na tuku mibale na misato tango akufaki likolo ya ngomba Ori.
Aroni alikufa juu ya Mlima Hori akiwa na umri wa miaka 123.
40 Boye, mokonzi ya Aradi, moto ya mboka Kanana, oyo azalaki kovanda na Negevi ya mboka Kanana, ayokaki sango ya koya ya bana ya Isalaele.
Mfalme Mkanaani wa Aradi, ambaye aliishi huko Negebu ya Kanaani, akasikia kwamba Waisraeli wanakuja.
41 Tango balongwaki na ngomba Ori, bakendeki kotonga molako na bango na Tsalimona.
Wakaondoka kwenye mlima Hori na kupiga kambi huko Salmona.
42 Kolongwa na Tsalimona, bakendeki kotonga molako na bango na Punoni.
Wakaondoka Salmona, wakapiga kambi huko Punoni.
43 Kolongwa na Punoni, bakendeki kotonga molako na bango na Oboti.
Wakaondoka Punoni, wakapiga kambi huko Obothi.
44 Kolongwa na Oboti, bakendeki kotonga molako na bango na Iye-Abarimi, na mondelo ya Moabi.
Wakaondoka Obothi, wakapiga kambi huko Iye-Abarimu, mipakani mwa Moabu.
45 Kolongwa na Iye-Abarimi, bakendeki kotonga molako na bango na Diboni-Gadi.
Wakaondoka Iye-Abarimu, wakapiga kambi huko Dibon-Gadi.
46 Kolongwa na Diboni-Gadi, bakendeki kotonga molako na bango na Alimoni-Dibilatayimi.
Wakaondoka Dibon-Gadi na kupiga kambi huko Almon-Diblathaimu.
47 Kolongwa na Alimoni-Dibilatayimi, bakendeki kotonga molako na bango na bangomba Abarimi, pembeni ya Nebo.
Wakaondoka Almon-Diblathaimu na kupiga kambi katika milima ya Abarimu, karibu na Nebo.
48 Kolongwa na bangomba Abarimi, bakendeki kotonga molako na bango na bitando ya Moabi, pembeni ya Yordani oyo etalana na Jeriko.
Wakaondoka kwenye milima ya Abarimu na kupiga kambi kwenye tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.
49 Batongaki molako na bango pembeni ya Yordani, kolongwa na Beti-Yeshimoti kino na Abele-Shitimi, na etando ya Moabi.
Huko kwenye tambarare za Moabu walipiga kambi kandokando ya Mto Yordani, kuanzia Beth-Yeshimothi mpaka Abel-Shitimu.
50 Na bitando ya Moabi, pembeni ya Yordani oyo etalana na Jeriko, Yawe alobaki na Moyize:
Katika tambarare za Moabu kando ya Yordani kuvukia Yeriko, Bwana akamwambia Mose,
51 « Loba na bana ya Isalaele, mpe yebisa bango: ‹ Tango bokokatisa ebale Yordani mpo na kokota na mokili ya Kanana,
“Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Mtakapovuka Mto Yordani kuingia Kanaani,
52 bokobengana bato nyonso oyo bavandaka na mboka yango, bokosilisa kobuka banzambe nyonso ya bikeko oyo basala na mabanga, na bibende banyangwisa na moto mpe bokobebisa bisambelo na bango nyonso ya likolo ya bangomba.
wafukuzeni wakazi wote wa nchi iliyo mbele yenu. Haribuni sanamu zao zote za kuchongwa, na sanamu zilizotengenezwa kwa kuyeyusha chuma, na kupabomoa mahali pao pa ibada.
53 Bokobotola mokili yango mpe bokokoma kovanda kuna, pamba te napesi bino mokili yango mpo ete bobotola yango.
Mtaimiliki nchi hiyo na kukaa huko, kwa kuwa nimewapeni ninyi kuimiliki.
54 Bokokabola na kobeta zeke mabele ya mokili oyo ezali libula na bino: libota oyo eleki monene ekozwa mpe eteni ya mabele oyo eleki monene; libota ya moke, ekozwa mpe eteni ya mabele ya moke. Libota moko na moko ekozwa eteni na yango ya mabele na esika oyo zeke ekokweya. Bokokabola yango kolanda masanga ya bituka na bino.
Mtaigawanya nchi hiyo kwa kupiga kura, kufuatana na koo zenu. Kwa kundi kubwa zaidi toa urithi mkubwa zaidi, na kwa kundi dogo zaidi urithi mdogo zaidi. Chochote kinachowaangukia kwa kura kitakuwa chao. Mtaigawanya nchi kufuatana na makabila ya babu zenu.
55 Kasi soki bobengani te bavandi ya mokili yango, ba-oyo bakotikala bakokoma lokola banzube na miso na bino mpe lokola basende na mipanzi na bino. Bakomonisa bino pasi na mokili oyo bokovanda.
“‘Lakini kama hamkuwafukuza wenyeji wakaao katika nchi hiyo, wale mtakaowaruhusu wabaki watakuwa kama sindano kwenye macho yenu na miiba kwenu kila upande. Watawasumbua katika nchi mtakayoishi.
56 Boye, nakosala bino ndenge nakanaki kosala bango. › »
Kisha nitawatenda ninyi kile ambacho nimepanga kuwatenda wao.’”

< Mitango 33 >