< Yobo 36 >

1 Eliwu abakisaki lisusu:
Elihu aliendelea na kusema,
2 « Yokela ngai nanu moke, nalingi koteya yo, nazali na makambo mingi mosusu ya koloba na tina na Nzambe.
“Niruhusu niseme kidogo zaidi, nami nitakuonesha baadhi ya mambo kwasababu nina maneno machache ya kusema kwa ajili ya Mungu.
3 Tala, nazali kozwa mosika boyebi na ngai mpo na kobundela mpe kolongisa Mokeli na ngai.
Nitapata maarifa yangu kutoka mbali; nitatambua kwamba haki ni ya Muumba wangu.
4 Yeba malamu ete maloba na ngai ezali ya lokuta te, ezali moto na boyebi ya solo nde azali pene na yo.
Kwa kweli, maneno yangu hayatakuwa ya uongo; mtu fulani aliyekomaa katika maarifa yu pamoja nawe.
5 Tala monene ya Nzambe! Kasi atiolaka na Ye bato te, nguya na Ye emonanaka na nzela ya mikano na Ye ya makasi. Azali na nguya, mpe mikano na Ye ebongwanaka te.
Angalia, Mungu ni mwenye nguvu, na hamdharau mtu yeyote; yeye ni mwenye nguvu katika uweza wa ufahamu.
6 Atikaka moto mabe te kozala na bomoi, alongisaka banyokolami,
Yeye huwa hayahifadhi maisha ya watu waovu bali badala yake hufanya yaliyo ya haki kwa wale wanaoteseka.
7 alongolaka miso na Ye te likolo ya bayengebene, avandisaka bango na kiti ya bokonzi elongo na bakonzi mpe atombolaka bango mpo na libela.
Haondoi macho yake kwa wenye haki bali badala yake huwaweka juu ya viti vya enzi kama wafalme milele, nao wameinuliwa juu.
8 Kasi soki bato bakangami na minyololo to na basinga ya minyoko,
Ikiwa wamefungwa minyororo na kunaswa katika kamba za mateso,
9 atalisaka bango mabe oyo basali, mpe masumu oyo basalaka mpo na lolendo na bango.
kisha huwafunulia kile walichokifanya, na maovu yao na kiburi chao.
10 Afungolaka bango matoyi mpo na kokebisa bango mpe atindaka bango kotika mabe.
Hufungua pia masikio yao kwa ajili ya agizo lake, na huwaamuru wageuke kutoka katika uovu.
11 Soki batosi mpe basaleli Ye, bakolekisa mikolo na bango oyo etikali na bomengo, mpe mibu na bango na esengo.
Ikiwa watamsikiliza na kumwabudu yeye, wataishi katika mafanikio katika siku zao, na miaka yao katika hali ya kuridhika.
12 Kasi soki batosi Ye te, bakokufa na mopanga mpe bakosila mpo na kozanga boyebi.
Hata hivyo, kama hawatasikiliza, wataangamia kwa upanga; watakufa kwasababu hawana maarifa.
13 Bato oyo bayebi Nzambe te mpe mitema na bango etondisami na kanda, babelelaka Nzambe te tango akangaka bango minyololo.
Na wale wasiomjua Mungu hutunza hasiria zao katika mioyo; hawaombi msaada hata wakati ambapo Mungu huwafunga.
14 Bakufaka na bolenge, basukisaka bomoi na bango kati na mibali oyo bamipesaka na kindumba ya bule.
Hawa hufa katika ujana wao; na maisha yao hukoma kati ya makahaba.
15 Kasi bato oyo bazali konyokwama, akangolaka bango na nzela ya minyoko na bango, afungolaka bango matoyi na nzela ya pasi.
Mungu huwainua watu walioonewa kwa njia ya mateso yao; hufungua masikio yao kwa njia ya uonevu wao.
16 Yo mpe, Nzambe alekisi yo na nzela ya nkaka mpe ya pasi mpo na kovandisa yo na esika ya pole, esika oyo ezangi mitungisi; akotondisa mesa na yo na biloko ya kitoko.
Kwa hakika, yeye angependa kuwatoa ninyi katika mateso na kuwaweka katika sehemu pana ambapo hakuna masumbufu na mahali ambapo meza yenu ingewekwa ikiwa na chakula kilichojaa mafuta.
17 Kasi soki sik’oyo ozali kosala lokola moto mabe, etumbu mpe kosambisama ekokweyela yo.
Lakini wewe umejaa hukumu juu ya watu waovu; hukumu na haki umeziachilia.
18 Tika ete elakeli mabe oyo etelemeli yo etinda yo te na kotomboka! Boni, okoki kopesa kanyaka na bato ebele? Kasi kopengwa te!
Usiuache utajiri ukuvute katika udanganyifu; na sehemu kubwa ya rushwa isikugeuze upande kutoka katika haki.
19 Boni, bozwi na yo ezali solo na motuya mpo na kokangola yo? Ezala mabanga na yo ya wolo to makasi na yo nyonso, boni, ekokoka solo kokangola yo?
Je utajiri wako waweza kukunufaisha, ili kwamba usiwe katika taabu, au nguvu zako zote za uwezo zaweza kukusaidia?
20 Kozala na posa te ya butu oyo elongolaka bato kati na bandako na bango.
Usiutamani usiku ili utende dhambi dhidi ya wengine wakati ambapo mataifa hukatiliwa mbali katika nafasi zao.
21 Mibatela ete okweya na mabe te, pamba te osepeli na mabe koleka minyoko.
Uwe mwangalifu ili kwamba usigeukie dhambi kwasababu unajaribiwa kwa mateso ili kwamba ukae mbali na dhambi.
22 Tala, Nzambe azali Mokonzi ya nguya na Ye, nani ateyaka koleka Ye?
Angalia, Mungu ameinuliwa katika nguvu zake; ni nani aliye mwalimu kama yeye?
23 Nani akengelaka etamboli na Ye? Nani akoki koloba na Ye: ‹ Ozali kosala mabe? ›
Ni nani alishamwalekeza njia yake? Nani anayeweza kumwambia, 'Wewe umetenda mambo yasiyo ya haki?'
24 Kanisa kokumisa misala na Ye, misala oyo bato bazali kokumisa na banzembo.
Kumbuka kuyasifu matendo yake, ambayo watu wameyaimba.
25 Bato nyonso bamonaka yango, batalaka yango na mosika.
Watu wote wameshayatazama hayo matendo, lakini wanayaona tu matendo hayo kwa mbali sana.
26 Tala ndenge nini Nzambe azali monene! Tososolaka yango te. Moto moko te akoki kotanga motango ya mibu na Ye.
Tazama, Mungu ni mkuu, lakini sisi hatumfahamu yeye vizuri; hesabu ya miaka yake haihesabiki.
27 Abendaka mayi epai na Ye, na mapata; akomisaka yango mvula, mvula oyo enokaka mpe etondisaka bibale.
Kwa kuwa yeye huvuta matone ya maji ili kuyachuja kama mvua katka mvuke wake,
28 Mapata ekweyisaka yango, mpe enokisaka yango likolo na ebele ya bato.
ambayo mawingu yake huyamwaga chini na kuyandondosha kwa wingi kwa mwanadamu.
29 Nani akoki kososola ndenge Nzambe apanzaka mapata mpe ndenge bakake ebimaka wuta na ndako na Ye?
Hakika, kuna hata mmoja awezaye kuelewa kwa undani kusambaa kwa mawingu na radi kutoka katika nyumba yake?
30 Tala ndenge abetisaka bakake likolo ya bato mpe atondisaka mozindo ya ebale monene.
Angalia, hueneza mwanga wake kumzunguka na kufunika mizizi ya bahari.
31 Na nzela ya biloko oyo nyonso, Nzambe asambisaka bikolo mpe apesaka bilei ebele.
Kwa namna hii huyahukumu mataifa na kuwapa chakula kwa wingi.
32 Atondisaka maboko na Ye mibale na mikalikali, akotinda yango na esika oyo Ye aponi.
Yeye huuijaza mikono yake kwa mwanga mpaka pale anapouamuru kupiga shabaha yake.
33 Makelele ya bakake epesaka sango ya koya na Ye, ata kutu bibwele esosolaka koya na Ye.
Na muungurumo wake huonya kwa dhoruba, wanyama wanaweza kusikia kuja kwake.

< Yobo 36 >