< Yobo 18 >
1 Bilidadi, moto ya Shuwa, azwaki maloba mpe alobaki:
Ndipo Bildadi Mshuhi alijibu na kusema, “
2 « Kino tango nini okoloba maloba ya boye? Kanisa nanu malamu, bongo tokosolola.
Je, lini utaacha kusema kwako? Fikiri, na baadaye tutazungumza.
3 Mpo na nini komona biso lokola banyama? Boni, tozali nde bazoba na miso na yo?
Kwa nini sisi tumehesabiwa kama wanyama mwitu; kwa nini tumekuwa wapumbavu machoni pako?
4 Awa, likolo ya kanda na yo, ozali komipasola na biteni, basundola mokili to balongola mabanga na bisika na yango likolo na yo?
Wewe ambaye wajirarua mwenyewe katika hasira yako, nchi haipaswi kuachwa kwa ajili yako au miamba inapaswa kuondolewa kutoka mahali pake?
5 Solo, mwinda ya moto mabe ekufaka, moto na yango etikaka kopela.
Ni dhahiri, nuru ya watu waovu itawekwa nje; cheche ya moto wake haitanga'ra.
6 Pole ekomaka molili kati na ndako na ye, mpe mwinda oyo epelaka pembeni na ye ekufaka.
Nuru itakuwa giza katika hema yake; taa yake juu yake yeye itawekwa nje.
7 Makasi ya matambe na ye esilaka, makanisi na ye moko ekweyisaka ye.
Hatua za nguvu zake yeye zitafanywa kuwa fupi; mipango yake yeye mwenyewe itamwangusha yeye chini.
8 Makolo na ye ekangisaka ye na monyama, bongo abundaka-bundaka kati na madusu na yango.
Kwa maana yeye atatupwa katika mtego kwa miguu yake mwenyewe; yeye atatembea katika mahangaiko.
9 Motambo ekangaka matambe na ye, mpe singa na yango ekangaka ye makasi.
Tanzi litamchukua yeye kwa kisigino; mtego utabaki kushikilia juu yake.
10 Singa ya motambo ebombama na se ya mabele mpo na ye, mpe batia motambo na nzela na ye.
Tanzi limefichwa kwa ajili yake chini ya ardhi; na mtego kwa ajili yake katika njia.
11 Somo elandaka ye bisika nyonso oyo atambolaka.
Watishao watamfanya yeye aogope juu ya sehemu zote; wao watamkimbiza yeye kwenye visigino vyake.
12 Nzala esilisaka makasi na ye, mpe pasi ya ndenge na ndenge ezalaka pembeni na ye soki akweyi.
Utajiri wake utageuka kuwa njaa, na majanga yatakuwa tayari upande wake.
13 Pasi eliaka poso ya nzoto na ye mpe bokono oyo ebomaka ebebisaka biteni ya nzoto na ye.
Sehemu za mwili wake zitakuwa zimemezwa; Hakika, mzaliwa wa kwanza wa kifo atazila sehemu zake yeye.
14 Balongolaka kati na ndako na ye biloko nyonso ya motuya, oyo atielaka motema, mpe akendaka kokutana na bakonzi ya kufa.
Yeye ameraruliwa kutoka kwenye usalama wa hema yake na hakuweza kutembea kwenda kwa mfalme mwenye utisho.
15 Ndako na ye etikalaka na eloko moko te, mpe fofolo ezalaka ya kopanzana kati na ndako yango.
Watu ambao siyo wa kwake wataishi kwenye hema yake baada ya kuona ule moto mesambaa ndani ya nyumba yake yeye.
16 Misisa na ye ekawukaka na se ya mabele, mpe, na likolo, bitape na ye elembaka.
Mizizi yake itanyauka chini yake; juu tawi lake yeye litakatwa.
17 Bakanisaka ye lisusu te na mokili, kombo na ye etangamaka lisusu te na mabele.
Kumbukumbu lake yeye litapotea kutoka katika nchi; yeye hatakuwa na jina katika mtaa.
18 Babenganaka ye na pole mpo ete akende na molili, mpe balongolaka ye na mokili.
Yeye atafukuzwa kutoka katika nuru mpaka kwenye giza na kuwa amefukuzwa nje na ulimwengu huu.
19 Azalaka na bana to bakitani te kati na bato na ye, azalaka ata na moto moko te oyo atikala na bomoi, na esika oyo avandaka.
Hatakuwa na mtoto wa kiume wala mjukuu miongonni mwa watu wake, wala kizazi chochote kitakachobakia mahali alipokuwa amekaa.
20 Bato ya weste bazalaka na somo ya kotala bomoi na ye, mpe bato ya este batondaka na kobanga.
Wale wanaoishi upande wa magharibi watakuwa wametiwa hofu kwa kile kitakachotokea kwake siku moja; wale wanaoishi upande wa mashariki watakuwa wameogopeshwa kwa hicho.
21 Tala, solo, ndenge suka ya moto mabe ezalaka, mpe bomoi ya moto oyo ayebi Nzambe te. »
Hakika hizo ni nyumba za watu wasio haki, ni sehemu ya wale wasiomjua Mungu.”