< 1 Masolo ya Kala 8 >
1 Bana mibali ya Benjame: Bela, mwana ya liboso; Ashibeli, mwana ya mibale; Ara, mwana ya misato;
Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
2 Noa, mwana ya minei; mpe Rafa, mwana ya mitano.
Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
3 Bana mibali ya Bela: Adari, Gera, Abiwudi,
Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
4 Abishuwa, Namani, Aowa,
Abishua, Naamani, Ahoa,
5 Gera, Shefufani mpe Urami.
Gera, Shefufani na Huramu.
6 Tala bana mibali ya Ewudi oyo bazalaki bakambi ya bituka ya bavandi ya Geba, mpe bamemaki bato ya Geba na Manaati:
Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
7 Namani, Ayiya mpe Gera. Ezalaki Gera, tata ya Uza mpe ya Ayiwudi, nde moto amemaki bango na bowumbu.
Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
8 Shaarayimi abotaki bana na mokili ya Moabi, sima na ye kobengana basi na ye mibale: Ushimi mpe Baara.
Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
9 Na nzela ya Odeshi, mwasi na ye ya sika, abotaki: Yobabi, Tsibia, Mesha, Malikami,
Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
10 Yeutsi, Sakia mpe Mirima. Bango nde bazalaki bana mibali ya Shaarayimi, oyo bakomaki bakambi ya bituka.
Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
11 Elongo na Ushimi, mwasi na ye, Shaarayimi abotaki: Abitubi mpe Elipaali.
Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
12 Bana mibali ya Elipaali: Eberi, Misheami mpe Shemeri oyo atongaki bingumba Ono mpe Lodi elongo na bamboka na yango ya mike.
Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
13 Beria mpe Shema oyo bazalaki bakambi ya bituka ya bavandi ya Ayaloni babenganaki bato ya Gati.
na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
14 Bana mibali ya Beria: Ayiyo, Shashaki, Yeremoti,
Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
15 Zebadia, Aradi, Ederi,
Zebadia, Aradi, Ederi,
16 Mikaeli, Yishipa mpe Yoa, bana mibali ya Beria.
Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
17 Zebadia, Meshulami, Iziki, Eberi,
Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
18 Yishimerayi, Yiziliya mpe Yobabi bazalaki bana mibali ya Elipaali.
Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
19 Yakimi, Zikiri, Zabidi,
Yakimu, Zikri, Zabdi,
20 Elienayi, Tsilitai, Elieli,
Elienai, Silethai, Elieli,
21 Adaya, Beraya mpe Shimirati bazalaki bana mibali ya Shimei.
Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
22 Yishipani, Eberi, Elieli,
Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
23 Abidoni, Zikiri, Anani,
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 Anania, Elami, Anitotiya,
Hanania, Elamu, Anthothiya,
25 Yifidea mpe Penueli bazalaki bana mibali ya Shashaki.
Ifdeya na Penueli.
26 Shamisherayi, Shearia, Atalia,
Shamsherai, Sheharia, Athalia,
27 Yaareshia, Eliya mpe Zikiri bazalaki bana mibali ya Yeroami.
Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
28 Bango nyonso bazalaki bakambi ya bituka ndenge bakomama na buku ya mabota na bango, mpe bazalaki kovanda na Yelusalemi.
Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
29 Yeyeli, tata ya Gabaoni, azalaki kovanda na Gabaoni. Kombo ya mwasi na ye ezalaki « Maaka. »
Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
30 Abidoni azalaki mwana na ye ya liboso ya mobali; sima, Tsuri, Kishi, Bala, Nadabi,
Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
31 Gedori, Ayiyo mpe Zekeri.
Gedori, Ahio, Zekeri,
32 Mikiloti abotaki mwana mobali, Shimea. Bango mpe bazalaki kovanda na Yelusalemi elongo na mabota na bango.
na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
33 Neri abotaki Kishi; Kishi abotaki Saulo; Saulo abotaki Jonatan, Maliki-Shuwa, Abinadabi mpe Eshibala.
Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
34 Jonatan abotaki Meriba-Bala; Meriba-Bala abotaki Mishe.
Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
35 Mishe abotaki: Pitoni, Meleki, Taereya mpe Akazi.
Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
36 Akazi abotaki Yeoyada; Yeoyada abotaki Alemeti, Azimaveti mpe Zimiri, tata ya Motsa.
Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
37 Zimiri abotaki Motsa; Motsa abotaki Bineya; Bineya abotaki Rafa; Rafa abotaki Eleasa; mpe Elasa abotaki Atseli.
Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
38 Atseli abotaki bana mibali motoba: Azirikami, Bokuru, Isimaeli, Shearia, Abidiasi mpe Anani. Bango nyonso nde bazalaki bana mibali ya Atseli.
Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
39 Bana mibali ya Esheki, ndeko mobali ya Atseli: Ulami, mwana na ye ya liboso; Yewushi, mwana ya mibale; mpe Elifeleti, mwana ya misato.
Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
40 Bana mibali ya Ulami bazalaki basoda ya mpiko oyo bayebaki kosalela tolotolo. Bazalaki na bana mibali mpe bakoko ya mibali ebele: nkama moko na tuku mitano. Bango nyonso bazalaki bakitani ya Benjame.
Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.