< Psalmi 97 >

1 Tas Kungs ir ķēniņš, - lai priecājās zeme, un salas lai līksmojās lielā pulkā.
Bwana anatawala, nchi na ifurahi, visiwa vyote vishangilie.
2 Padebesis un krēslība ir ap Viņu, taisnība un tiesa ir Viņa godības krēsla stiprums.
Mawingu na giza nene vinamzunguka, haki na hukumu ndio msingi wa kiti chake cha enzi.
3 Uguns iet Viņa priekšā un iededzina visapkārt Viņa pretiniekus.
Moto hutangulia mbele zake na huteketeza adui zake pande zote.
4 Viņa zibeņi apgaismo pasauli; zemes virsas to redz un dreb.
Umeme wake wa radi humulika dunia, nchi huona na kutetemeka.
5 Kalni izkūst kā vaski Tā Kunga priekšā, tā visas pasaules Kunga priekšā.
Milima huyeyuka kama nta mbele za Bwana, mbele za Bwana wa dunia yote.
6 Debesis izstāsta Viņa taisnību, un visi ļaudis redz Viņa godu.
Mbingu zinatangaza haki yake, na mataifa yote huona utukufu wake.
7 Kaunā top visi, kas bildēm kalpo un lielās ar elkiem; pielūdziet Viņu, visi dievi.
Wote waabuduo sanamu waaibishwa, wale wajisifiao sanamu: mwabuduni yeye, enyi miungu yote!
8 Ciāna klausās un priecājās, Jūda meitas līksmojās, Kungs, kad Tu tiesā.
Sayuni husikia na kushangilia, vijiji vya Yuda vinafurahi kwa sababu ya hukumu zako, Ee Bwana.
9 Jo Tu, Kungs, esi tas Visuaugstākais pār visu pasauli, ļoti paaugstināts pār visiem dieviem.
Kwa kuwa wewe, Ee Bwana, ndiwe Uliye Juu Sana kuliko dunia yote; umetukuka sana juu ya miungu yote.
10 Ienīstiet ļaunu, jūs, kas To Kungu mīļojiet; Viņš pasargā Savu svēto dvēseles, no bezdievīgo rokas Viņš tos izglābs.
Wale wanaompenda Bwana na wauchukie uovu, kwa maana yeye hulinda maisha ya waaminifu wake na kuwaokoa kutoka mkononi mwa mwovu.
11 Taisnam aust gaišums, un prieks sirdsskaidriem.
Nuru huangaza wenye haki na furaha kwa watu wanyofu wa moyo.
12 Priecājaties iekš Tā Kunga, jūs taisnie, un teiciet Viņa svēto vārdu.
Furahini katika Bwana, ninyi mlio wenye haki, lisifuni jina lake takatifu.

< Psalmi 97 >