< Psalmi 92 >
1 Dziesma svētdienā dziedama. Laba lieta ir, To Kungu slavēt un dziedāt Tavam Vārdam, Tu Visuaugstākais,
Zaburi. Wimbo wa siku ya Sabato. Ni vyema kumshukuru Bwana na kuliimbia jina lako, Ee Uliye Juu Sana,
2 Rītos izteikt Tavu žēlastību un naktīs Tavu uzticību,
kuutangaza upendo wako asubuhi, na uaminifu wako wakati wa usiku,
3 Uz tām desmit stīgām un uz stabulēm, ar spēlēšanu uz koklēm.
kwa zeze yenye nyuzi kumi na kwa sauti ya kinubi.
4 Jo, Kungs, Tu mani iepriecini ar Saviem darbiem; es gavilēju par to, ko Tava roka dara.
Ee Bwana, kwa kuwa matendo yako yamenifurahisha, nitaziimba kwa shangwe kazi za mikono yako.
5 Ak Kungs, cik lieli ir Tavi darbi, cik ļoti dziļas Tavas domas!
Ee Bwana, tazama jinsi yalivyo makuu matendo yako, tazama jinsi yalivyo ya kina mawazo yako!
6 Nejēga to neatzīst, un ģeķis to nesaprot.
Mjinga hafahamu, mpumbavu haelewi,
7 Gan bezdievīgie zaļo kā zāle, un visi ļauna darītāji zeļ; tomēr tie top izdeldēti mūžīgi mūžam.
ingawa waovu huchipua kama majani na wote watendao mabaya wanastawi, wataangamizwa milele.
8 Bet Tu, Kungs, esi tas augstākais mūžīgi.
Bali wewe, Ee Bwana, utatukuzwa milele.
9 Jo redzi, Tavi ienaidnieki, ak Kungs, redzi, Tavi ienaidnieki iet bojā, visi ļaundarītāji top izkaisīti.
Ee Bwana, hakika adui zako, hakika adui zako wataangamia. Wote watendao mabaya watatawanyika.
10 Bet Tu paaugstini manu ragu kā vērša ragu; es esmu apliets ar jaunu eļļu.
Umeitukuza pembe yangu kama ile ya nyati dume, mafuta mazuri yamemiminwa juu yangu.
11 Un manas acis uzlūko ar prieku manus nicinātājus, manas ausis iepriecinājās par tiem, kas ļaunā prātā pret mani ceļas.
Macho yangu yamewaona adui zangu wakishindwa, masikio yangu yamesikia maangamizi ya adui zangu waovu.
12 Taisnais zaļo kā palma koks, viņš aug kā ciedru koks uz Lībanus.
Wenye haki watastawi kama mtende, watakuwa kama mwerezi wa Lebanoni,
13 Kas Tā Kunga namā ir stādīti, tie zaļo mūsu Dieva pagalmos.
waliopandwa katika nyumba ya Bwana, watastawi katika nyua za Mungu wetu.
14 Vēl pašā vecumā tie nes augļus, tie ir auglīgi un zaļi,
Wakati wa uzee watakuwa bado wanazaa matunda, watakuwa wabichi tena wamejaa nguvu,
15 Un stāsta, ka Tas Kungs, mans patvērums, ir taisns, un netaisnības nav pie Viņa.
wakitangaza, “Bwana ni mkamilifu; yeye ni Mwamba wangu, na ndani yake hamna uovu.”