< Psalmi 6 >
1 Dāvida dziesma. Dziedātāju vadonim uz koklēm ar astoņām stīgām. Ak Kungs, nesodi mani Savā dusmībā, un nepārmāci mani Savā bardzībā!
Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Mtindo wa sheminithi. Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, usinikemee katika hasira yako, wala usiniadhibu katika ghadhabu yako.
2 Kungs, esi man žēlīgs, jo es esmu noguris, dziedini mani, Kungs, jo mani kauli ir iztrūkušies,
Unirehemu Bwana, kwa maana nimedhoofika; Ee Bwana, uniponye, kwa maana mifupa yangu ina maumivu makali.
3 Un mana dvēsele ir ļoti iztrūkusies, bet Tu, Kungs, cik ilgi?
Nafsi yangu ina uchungu mwingi. Mpaka lini, Ee Bwana, mpaka lini?
4 Griezies atpakaļ, Kungs, izglābi manu dvēseli, atpestī mani Tavas žēlastības dēļ.
Geuka Ee Bwana, unikomboe, uniokoe kwa sababu ya fadhili zako.
5 Jo nāvē Tevi nepiemin; kas kapā Tevi slavēs? (Sheol )
Hakuna mtu anayekukumbuka akiwa amekufa. Ni nani awezaye kukusifu akiwa kuzimu? (Sheol )
6 Es esmu piekusis no savas vaidēšanas, uz savas gultas es raudu cauru nakti, mana guļama vieta plūst no asarām,
Nimechakaa kwa kulia kwa huzuni; usiku kucha nafurikisha kitanda changu kwa machozi; nimelowesha viti vyangu vya fahari kwa machozi.
7 Mana acs ir noģindusi no skumības, un ir novītusi manu ienaidnieku dēļ.
Macho yangu yamedhoofika kwa kuhuzunika, yamedhoofika kwa sababu ya adui zangu wote.
8 Atkāpjaties no manis, visi ļauna darītāji, jo Tas Kungs klausa manu raudu balsi.
Kaeni mbali nami, ninyi nyote mtendao mabaya, kwa maana Bwana amesikia kulia kwangu.
9 Tas Kungs klausa manu lūgšanu, manu pielūgšanu Tas Kungs pieņem.
Bwana amesikia kilio changu kwa huruma, Bwana amekubali sala yangu.
10 Visi mani ienaidnieki paliks kaunā, tie ļoti iztrūksies, atkāpsies un paliks kaunā piepeši.
Adui zangu wote wataaibika na kufadhaika, watarudi nyuma kwa aibu ya ghafula.