< Psalmi 52 >
1 Dāvida mācības dziesma dziedātāju vadonim, Kad Doēgs, tas Edomietis, nāca un Saulam sludināja un tam sacīja: Dāvids ir nācis Aķimeleka namā. Ko tu lielies ar ļaunumu, tu varmāka? Dieva žēlastība pastāv vienmēr.
Kwa mwimbishaji. Utenzi wa Daudi. Baada ya Doegi, Mwedomu kumwendea Sauli na kumjulisha kuwa: “Daudi amekwenda nyumbani kwa Ahimeleki.” Ewe jitu, mbona unajivunia ubaya? Kwa nini unajivuna mchana kutwa, wewe ambaye ni fedheha mbele za Mungu?
2 Tava mēle meklē postu kā trīts dzenams nazis, tu viltus perētājs.
Ulimi wako hupanga mashauri mabaya ya maangamizi. Ni kama wembe mkali, ninyi mfanyao hila.
3 Tu mīļo ļaunumu vairāk nekā labumu, un melus vairāk nekā taisnību. (Sela)
Unapenda mabaya kuliko mema, uongo kuliko kusema kweli.
4 Tu labprāt runā posta vārdus, tu viltus mēle.
Unapenda kila neno lenye kudhuru, ewe ulimi wenye hila!
5 Tad Dievs arī tevi postīs mūžīgi, Viņš tevi sagrābs un tevi izraus no dzīvokļa, un izsakņos no dzīvības zemes. (Sela)
Hakika Mungu atakushusha chini kwa maangamizi ya milele: atakunyakua na kukuondoa kwa nguvu kutoka hema yako, atakungʼoa kutoka nchi ya walio hai.
6 Un tie taisnie to redzēs un bīsies un smiesies par viņu:
Wenye haki wataona na kuogopa, watamcheka, wakisema,
7 Redzi, tas ir tas vīrs, kas Dievu neturēja par savu spēku, bet paļāvās uz savu lielo bagātību; tas bija varens savā ļaunumā.
“Huyu ni yule mtu ambaye hakumfanya Mungu kuwa ngome yake, bali alitumainia wingi wa utajiri wake, na akawa hodari kwa kuwaangamiza wengine!”
8 Bet es būšu kā zaļš eļļas koks Dieva namā, es paļaujos uz Dieva žēlastību mūžīgi mūžam.
Lakini mimi ni kama mti wa mzeituni unaostawi katika nyumba ya Mungu, nautegemea upendo wa Mungu usiokoma milele na milele.
9 Es Tev pateikšos mūžam, ka Tu to esi darījis, un gaidīšu uz Tavu Vārdu, jo tas ir labs priekš Taviem svētiem.
Nitakusifu milele kwa yale uliyoyatenda, nitatumaini jina lako, kwa kuwa jina lako ni jema. Nitakusifu mbele ya watakatifu wako.