< Psalmi 5 >
1 Dāvida dziesma. Dziedātāju vadonim uz stabulēm. Ak Kungs, klausies uz maniem vārdiem, ņem vērā manas domas.
Sikiliza nikuitapo, Yahweh; tazama kuugua kwangu.
2 Samani manas kliegšanas balsi, mans ķēniņ un mans Dievs, jo es Tevi gribu pielūgt.
Sikiliza sauti yangu nikuitapo, Ee Mfalme wangu na Mungu wangu, kwa kuwa ni kwako Bwana naomba.
3 Rītos, ak Kungs, klausi manu balsi, rītos es uz Tevi gribu sataisīties un skatīties.
Yahweh; sikia kilio changu asubuhi; na asubuhi nitaleta dua yangu kwako na kungoja kwa matarajio.
4 Jo Tu neesi tāds Dievs, kam bezdievība patīk; kas ir ļauns, tas pie Tevis nepaliek.
Hakika wewe ni Mungu usiye kubaliana na uovu; watu waovu hawawezi kuwa wageni wako.
5 Trakotāji nepastāvēs priekš Tavām acīm, Tu ienīsti visus ļauna darītājus.
Wenye kiburi hawata simama katika uwepo wako; wewe unawachukia wote wanaofanya maovu.
6 Tu nomaitā melkuļus, asins vainīgie un viltnieki Tam Kungam ir negantība.
Nawe utawaharibu waongo; Yahweh huwadharau vurugu na watu wadanganyifu.
7 Bet es iešu Tavā namā caur Tavu lielo žēlastību, es pielūgšu Tava svētuma mājoklī, Tevi bīdamies.
Lakini kwangu mimi, kwa sababu ya ukuu na uaminifu wa agano lako, nitakuja nyumbani mwako; na kwa heshima nitakuinamia mbele ya hekalu lako takatifu.
8 Kungs, vadi mani pēc Savas taisnības, manu glūnētāju dēļ, dari līdzenu Savu ceļu manā priekšā.
Oh Bwana, uniongoze katika haki yako kwa sababu ya adui zangu; usawazishe njia yako mbele yangu.
9 Jo viņu mutē nav nekādas patiesības, viņu sirdīs ir ļaunums, viņu rīkle ir atvērts kaps, ar savu mēli tie glauda.
Kwa kuwa midomoni mwao hamna ukweli; utu wao wa ndani ni mwovu; makoo yao ni kaburi lililo wazi; husifu kinafiki kwa ulimi wao.
10 Sodi tos, ak Dievs, lai tie krīt no saviem padomiem; atstum tos viņu lielos noziegumos, jo tie pret Tevi sacēlušies,
Mungu, wafanye kuwa na hatia; mipango yao iwe kuanguka kwao! Kwa ajili ya makosa yao mengi uwatoe nje, kwa kuwa wamekuasi wewe.
11 Bet lai priecājās visi, kas uz Tevi cerē, mūžīgi lai tie gavilē, jo Tu tos pasargi; lai līksmojās iekš Tevis, kas Tavu vārdu mīļo.
Bali wale wanao kukimbilia wafurahi; uwafanye wapige kelele kwa shangwe siku zote kwa sababu unawapigania; uwafanye wenye furaha ndani yako, wale walipendao jina lako.
12 Jo Tu, Kungs, svētīsi to taisno, un to pušķosi ar žēlastību kā ar bruņām.
Kwa maana utawabariki wenye haki, Yahweh; utawazunguka kwa neema kama ngao.