< Psalmi 42 >

1 Koraha bērnu mācība, dziedātāju vadonim. Kā briedis brēc pēc ūdens upēm, tā mana dvēsele brēc, ak Dievs, pēc Tevis!
Kwa mwimbishaji. Utenzi wa wana wa Kora. Kama vile ayala aoneavyo shauku vijito vya maji, ndivyo nafsi yangu ikuoneavyo shauku, Ee Mungu.
2 Manai dvēselei slāpst pēc Dieva, pēc tā dzīvā Dieva; kad nākšu turp un parādīšos priekš Dieva vaiga?
Nafsi yangu inamwonea Mungu kiu, Mungu aliye hai. Ni lini nitaweza kwenda kukutana na Mungu?
3 Manas asaras ir mana barība dienām naktīm, tāpēc ka vienmēr uz mani saka: kur ir tavs Dievs?
Machozi yangu yamekuwa chakula changu usiku na mchana, huku watu wakiniambia mchana kutwa, “Yuko wapi Mungu wako?”
4 To es pieminu un izgāžu savu dvēseli pie sevis paša, jo es gribētu labprāt noiet ar to draudzi un ar tiem uz Dieva namu staigāt, ar priecīgām dziesmām un teikšanām tai pulkā, kas svētkus tur.
Mambo haya nayakumbuka ninapoimimina nafsi yangu: Jinsi nilivyokuwa nikienda na umati wa watu, nikiongoza maandamano kuelekea kwenye nyumba ya Mungu, kwa kelele za shangwe na za shukrani katikati ya umati uliosherehekea.
5 Ko tu bēdājies, mana dvēsele, un esi tik nemierīga iekš manis? Cerē uz Dievu, jo es viņam vēl pateikšu par viņa vaiga pestīšanu.
Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka? Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu? Weka tumaini lako kwa Mungu, kwa sababu bado nitamsifu, Mwokozi wangu na
6 Mans Dievs, mana dvēsele ir noskumusi, tāpēc es Tevi pieminu no Jardānes un Hermona zemes, no Micar kalna.
Mungu wangu. Nafsi yangu inasononeka ndani yangu; kwa hiyo nitakukumbuka kutoka nchi ya Yordani, katika vilele vya Hermoni, kutoka Mlima Mizari.
7 Tavi plūdi šņāc, un jūra uz jūru rūc, visas Tavas bangas un Tavi viļņi iet pāri pār manu galvu.
Kilindi huita kilindi, katika ngurumo za maporomoko ya maji yako; mawimbi yako yote pamoja na viwimbi vimepita juu yangu.
8 Dienā Tas Kungs ir cēlis savu žēlastību, un naktī es viņam dziedu, es pielūdzu savas dzīvības Dievu,
Mchana Bwana huelekeza upendo wake, usiku wimbo wake uko nami: maombi kwa Mungu wa uzima wangu.
9 Un saku uz Dievu, savu akmens kalnu: kāpēc Tu mani esi aizmirsis? Kāpēc man būs staigāt noskumušam, kad ienaidnieks spaida?
Ninamwambia Mungu Mwamba wangu, “Kwa nini umenisahau? Kwa nini niendelee kuomboleza, nikiwa nimeonewa na adui?”
10 Manu pretinieku mēdīšana ir kā nāve manos kaulos, kad tie uz mani vienmēr saka: kur ir tavs Dievs?
Mifupa yangu inateseka kwa maumivu makali adui zangu wanaponidhihaki, wakiniambia mchana kutwa, “Yuko wapi Mungu wako?”
11 Ko tu bēdājies, mana dvēsele, un esi tik nemierīga iekš manis? Cerē uz Dievu, jo es Viņam vēl pateikšos, ka tas manam vaigam par pestīšanu un mans Dievs.
Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka? Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu? Weka tumaini lako kwa Mungu, kwa sababu bado nitamsifu, Mwokozi wangu na Mungu wangu.

< Psalmi 42 >