< Psalmi 41 >

1 Dāvida dziesma. Dziedātāju vadonim. Svētīgs tas, kas nabagu apgādā; to Tas Kungs izglābs ļaunā dienā.
Amebarikiwa mtu yule amkumbukaye mnyonge; katika siku ya taabu, Yahwe atamuokoa.
2 Tas Kungs to pasargās un uzturēs pie dzīvības, Viņš tam liks labi klāties virs zemes un to nenodos viņa ienaidnieku prātam.
Yahwe atamuhifadhi na kumuweka hai, naye atabarikiwa duniani; Yahwe hata mrudisha kwenye mapenzi ya adui zake.
3 Tas Kungs to atspirdzinās uz neveselības gultas; Tu viņam palīdzēsi guļā no visas viņa sērgas.
Awapo kwenye kitanda cha mateso Yahwe atamsaidia; nawe utakifanya kitanda cha ugonjwa kuwa kitanda cha uponyaji.
4 Es sacīju: ak Kungs, esi man žēlīgs, dziedini manu dvēseli, jo es pret Tevi esmu grēkojis.
Nami nilisema, “Yahwe unihurumie! Uniponye, kwa maana nimekutenda dhambi wewe.”
5 Mani ienaidnieki runā ļaunu no manis: kad viņš nomirs un viņa vārds ies bojā?
Adui zangu huongea maovu dhidi yangu, wakisema, 'Atakufa lini na jina lake lipotee?'
6 Un kad tie nāk, mani apraudzīt, tad tie viltu runā; ar savu sirdi tie sameklē niekus, iziet ārā un izplukšķ.
Adui yangu ajapo kuniona, huongea mambo yasiyo na maana; moyo wake hukusanya maafa yangu kwa ajili yake mwenyewe; na aondokapo kwangu, yeye huwaambia watu wengine kuhusu hayo.
7 Visi, kas mani ienīst, musina kopā pret mani, un domā ļaunu pret mani.
Wale wote wanaonichukia kwa pamoja hunon'gona dhidi yangu; nao wanafarijika kwa ajili ya maumivu yangu.
8 Blēņu darbu tie apņēmušies savā prātā: kad tas guļ, tad viņš vairs necelsies!
Wakisema, “Gonjwa baya limemshikilia yeye haswa; na sasa kuwa amelala kitandani, hatainuka kamwe.”
9 Un pat mans draugs, kam es uzticējos, kas manu maizi ēda, mani min pa kājām.
Kweli, hata rafiki yangu wa karibu, ambae nilimuamini, aliye kula mkate wangu, ameinua kisigino chake dhidi yangu.
10 Bet Tu, ak Kungs, esi man žēlīgs, un uzcel mani, tad es tiem to maksāšu!
Bali wewe, Yahwe, unihurumie na uniinue ili kwamba niwalipizie kisasi.
11 Pie tam es zinu, ka Tev labs prāts pie manis, ka mans ienaidnieks par mani negavilēs.
Na hivi nitajua kuwa unafurahishwa nami, kwa kuwa adui yangu hatafurahia kunishinda.
12 Bet Tu mani uzturi manā nenoziedzībā, un mani iecel Savā priekšā mūžīgi.
Kwangu mimi, wewe unanisaidia katika uadilifu wangu na utaniweka mbele ya uso wako milele.
13 Slavēts lai ir Tas Kungs, Israēla Dievs, mūžīgi mūžam! Āmen, Āmen.
Yahwe, Mungu wa Israeli asifiwe milele na milele. Amen na Amen. Kitabu ya Pili

< Psalmi 41 >