< Psalmi 25 >

1 Dāvida dziesma. Mana dvēsele ilgojās, Kungs, pēc Tevis.
Zaburi ya Daudi. Kwako wewe, Ee Bwana, nainua nafsi yangu,
2 Mans Dievs, uz Tevi es cerēju, nepamet mani kaunā, lai mani ienaidnieki par mani nepriecājās.
ni wewe ninayekutumainia, Ee Mungu wangu. Usiniache niaibike, wala usiache adui zangu wakanishinda.
3 Jo neviens, kas uz Tevi gaida, nepaliek kaunā; tie top kaunā, kas velti dodas uz viltību.
Kamwe hakuna hata mmoja anayekutegemea atakayeaibishwa, bali wataaibishwa wafanyao hila bila sababu.
4 Kungs, dari man zināmus Tavus ceļus, māci man Tavas tekas.
Nionyeshe njia zako, Ee Bwana, nifundishe mapito yako,
5 Vadi mani Tavā patiesībā un māci mani, jo Tu esi mans Dievs un Pestītājs; cauru dienu es Tevi gaidu.
niongoze katika kweli yako na kunifundisha, kwa maana wewe ni Mungu Mwokozi wangu, nalo tumaini langu liko kwako wakati wote.
6 Piemini, Kungs, Savu apžēlošanu un Savu žēlastību, kas no mūžības.
Kumbuka, Ee Bwana, rehema zako kuu na upendo, kwa maana zimekuwepo tangu zamani.
7 Nepiemini manas jaunības grēkus nedz manas pārkāpšanas, bet piemini mani pēc Tavas žēlastības, Tavas lēnības dēļ ak Kungs!
Usizikumbuke dhambi za ujana wangu wala njia zangu za uasi, sawasawa na upendo wako unikumbuke, kwa maana wewe ni mwema, Ee Bwana.
8 Tas Kungs ir labs un taisns, tāpēc Viņš grēciniekiem māca to ceļu.
Bwana ni mwema na mwenye adili, kwa hiyo huwafundisha wenye dhambi njia zake.
9 Pazemīgos Viņš vada taisnībā, un māca pazemīgiem Savu ceļu.
Huwaongoza wanyenyekevu katika haki, naye huwafundisha njia yake.
10 Tā Kunga ceļi visi ir žēlastība un patiesība tiem, kas tur Viņa derību un liecību.
Njia zote za Bwana ni za upendo na uaminifu kwa wale wanaoshika shuhuda za agano lake.
11 Tava vārda dēļ, ak Kungs! piedod manu noziegumu, jo tas ir liels.
Ee Bwana, kwa ajili ya jina lako, unisamehe uovu wangu, ijapokuwa ni mwingi.
12 Kas ir tas, kas To Kungu bīstas? tam Viņš mācīs to ceļu, kas uzņemams.
Ni nani basi, mtu yule anayemcha Bwana? Atamfundisha katika njia atakayoichagua kwa ajili yake.
13 Viņa dvēsele mitīs labumā, un viņa dzimums iemantos zemi.
Mtu huyo atafanikiwa maishani mwake, nao wazao wake watairithi nchi.
14 Tā Kunga noslēpums ir pie tiem, kas Viņu bīstas, un Viņa derība tiem dod saprašanu.
Siri ya Bwana iko kwa wale wamchao, yeye huwajulisha agano lake.
15 Manas acis vienmēr raugās uz To Kungu, jo Viņš izvilks manu kāju no tīkla.
Macho yangu humwelekea Bwana daima, kwa kuwa yeye peke yake ndiye ataitoa miguu yangu kutoka mtego.
16 Griezies pie manis un esi man žēlīgs, jo es esmu vientulis un bēdīgs.
Nigeukie na unihurumie, kwa maana mimi ni mpweke na mwenye kuteseka.
17 Mana sirds bailība ir varen liela, izved mani no manām bēdām.
Shida za moyo wangu zimeongezeka, niokoe katika dhiki yangu.
18 Uzlūko manas bēdas un manas mokas, un piedod visus manus grēkus.
Uangalie mateso na shida zangu na uniondolee dhambi zangu zote.
19 Redzi, ka daudz ir manu ienaidnieku, un ka tie ar briesmīgu nīdēšanu mani ienīst.
Tazama adui zangu walivyo wengi, pia uone jinsi wanavyonichukia vikali!
20 Pasargi manu dvēseli un izglāb mani, nepamet mani kaunā, jo es paļaujos uz Tevi.
Uyalinde maisha yangu na uniokoe, usiniache niaibike, kwa maana nimekukimbilia wewe.
21 Sirds skaidrība un taisnība lai mani pasargā, jo es gaidu uz Tevi.
Uadilifu na uaminifu vinilinde, kwa sababu tumaini langu ni kwako.
22 Ak Dievs, izpestī Israēli no visām viņa bēdām.
Ee Mungu, wakomboe Israeli, katika shida zao zote!

< Psalmi 25 >