< Psalmi 23 >

1 Dāvida dziesma. Tas Kungs ir mans gans, man netrūks nenieka.
Yahwe ni mchungaji wangu; sita pungukiwa na kitu.
2 Viņš man liek ganīties uz zālainām ganībām, Viņš mani vada pie palēna ūdens.
Yeye hunilaza katika majani mabichi; huniongoza kando ya maji matulivu.
3 Viņš atspirdzina manu dvēseli, Viņš mani ved uz taisnības ceļiem Sava Vārda dēļ.
Yeye huurejesha uhai wangu; huniongoza katika njia iliyo sahihi kwa ajili ya jina lake.
4 Jebšu es arī staigātu nāves ēnas ielejā, taču ļaunuma nebīstos; jo Tu esi pie manis, Tavs koks(ganu vēzda) un Tavs zizlis mani iepriecina.
Hata ijapokuwa nikipita katika bonde la uvuli na giza nene, sitaogopa kudhurika kwa kuwa wewe uko pamoja nami; fimbo yako na gongo lako vya nifariji.
5 Tu sataisi manā priekšā galdu pret maniem ienaidniekiem, Tu svaidi manu galvu ar eļļu, mans biķeris ir papilnam pieliets.
Wewe waandaa meza mbele yangu katika uwepo wa maadui zangu; umenipaka mafuta kichwa changu na kikombe changu kinafurika.
6 Tiešām, labums un žēlastība mani pavadīs visu manu mūžu, un es palikšu Tā Kunga namā vienmēr.
Hakika wema na uaminifu wa agano vitaniandama siku zote za maisha yangu; nami nitaishi katika nyumba ya Yahwe milele!

< Psalmi 23 >