< Psalmi 16 >

1 Dāvida sirds dziesma. Pasargi mani, ak Dievs! jo es paļaujos uz Tevi.
Unilinde, Mungu, kwa kuwa nakimbilia kwako kwa ajili ya usalama.
2 Es saku uz To Kungu: Tu esi Tas Kungs, bez Tevis man labuma nav.
Nami ninasema kwa Yahwe, “Wewe ni Bwana wangu; wema wangu ni bure pasipo wewe.
3 Pie tiem svētiem, kas virs zemes, un tiem godīgiem ir viss mans labais prāts.
Kama kwa watakatifu walioko duniani, ndio walio bora; furaha yangu yote iko kwao.
4 Tiem, kas pieņem citu dievu, būs lielas sāpes; es neupurēšu viņu asiņu dzeramos upurus, un neņemšu savā mutē viņu vārdu.
Taabu yao itaongezeka, wale watafutao miungu mingine. Sitamimina sadaka ya damu kwa miungu yao. Wala kuyainua majina yao kwa midomo yao.
5 Tas Kungs ir mana tiesa un mana daļa, Tu glabā manu mantas tiesu.
Yahwe, wewe ni sehemu ya chaguo langu na kikombe changu. Unaishikilia kesho yangu.
6 Man daļa tikusi jaukā vietā, tiešām, man ir nākusi skaista manta.
Mistari iliyo pimwa imelelazwa mahari pa kufurahisha kwa ajili yangu; hakika urithi ufurahishao ni wangu.
7 Es slavēšu To Kungu, kas man dod padomu, pat naktī mana sirds mani pamāca.
Nitakubariki Yahwe, wewe unishauliye; hata wakati wa usiku akili zangu za nielekeza.
8 Es turu To Kungu bez mitēšanās savā priekšā, jo Viņš man ir pa labai rokai, - es nešaubīšos.
Nimemuweka Yahwe mbele yangu kila wakati, ili nisitikisike kutoka mkono wake wa kuume.
9 Tādēļ mana sirds priecājās, un mans gods līksmojās, un pat mana miesa dzīvos droši.
Kwa hiyo moyo wangu unafuraha, utukufu wangu washangilia. Hakika nitaishi katika usalama.
10 Jo Tu manu dvēseli nepametīsi kapā, Savam Svētam Tu neliksi redzēt satrūdēšanu. (Sheol h7585)
Kwa kuwa hautaiacha roho yangu kuzimuni. Wewe hautamuacha mwaminifu wako kuliona shimo. (Sheol h7585)
11 Tu man dari zināmu dzīvības ceļu, priekš Tava vaiga ir līksmošanās pilnība, un prieks un jaukums pie Tavas labās rokas mūžīgi.
Wewe hunifundisha njia ya maisha; furaha tele inakaa katika uwepo wako; furaha inakaa katika mkono wako wa kuume milele!”

< Psalmi 16 >