< Psalmi 16 >

1 Dāvida sirds dziesma. Pasargi mani, ak Dievs! jo es paļaujos uz Tevi.
Utenzi wa Daudi. Ee Mungu, uniweke salama, kwa maana kwako nimekimbilia.
2 Es saku uz To Kungu: Tu esi Tas Kungs, bez Tevis man labuma nav.
Nilimwambia Bwana, “Wewe ndiwe Bwana wangu; pasipo wewe sina jambo jema.”
3 Pie tiem svētiem, kas virs zemes, un tiem godīgiem ir viss mans labais prāts.
Kwa habari ya watakatifu walioko duniani, ndio walio wa fahari ambao ninapendezwa nao.
4 Tiem, kas pieņem citu dievu, būs lielas sāpes; es neupurēšu viņu asiņu dzeramos upurus, un neņemšu savā mutē viņu vārdu.
Huzuni itaongezeka kwa wale wanaokimbilia miungu mingine. Sitazimimina sadaka zao za damu au kutaja majina yao midomoni mwangu.
5 Tas Kungs ir mana tiesa un mana daļa, Tu glabā manu mantas tiesu.
Bwana umeniwekea fungu langu na kikombe changu; umeyafanya mambo yangu yote yawe salama.
6 Man daļa tikusi jaukā vietā, tiešām, man ir nākusi skaista manta.
Alama za mipaka zimeniangukia mahali pazuri, hakika nimepata urithi mzuri.
7 Es slavēšu To Kungu, kas man dod padomu, pat naktī mana sirds mani pamāca.
Nitamsifu Bwana ambaye hunishauri, hata wakati wa usiku moyo wangu hunifundisha.
8 Es turu To Kungu bez mitēšanās savā priekšā, jo Viņš man ir pa labai rokai, - es nešaubīšos.
Nimemweka Bwana mbele yangu daima. Kwa sababu yuko mkono wangu wa kuume, sitatikisika.
9 Tādēļ mana sirds priecājās, un mans gods līksmojās, un pat mana miesa dzīvos droši.
Kwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia; mwili wangu nao utapumzika salama,
10 Jo Tu manu dvēseli nepametīsi kapā, Savam Svētam Tu neliksi redzēt satrūdēšanu. (Sheol h7585)
kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Mtakatifu Wako kuona uharibifu. (Sheol h7585)
11 Tu man dari zināmu dzīvības ceļu, priekš Tava vaiga ir līksmošanās pilnība, un prieks un jaukums pie Tavas labās rokas mūžīgi.
Umenijulisha njia ya uzima; utanijaza na furaha mbele zako, pamoja na furaha za milele katika mkono wako wa kuume.

< Psalmi 16 >