< Psalmi 16 >
1 Dāvida sirds dziesma. Pasargi mani, ak Dievs! jo es paļaujos uz Tevi.
Utenzi wa Daudi. Ee Mungu, uniweke salama, kwa maana kwako nimekimbilia.
2 Es saku uz To Kungu: Tu esi Tas Kungs, bez Tevis man labuma nav.
Nilimwambia Bwana, “Wewe ndiwe Bwana wangu; pasipo wewe sina jambo jema.”
3 Pie tiem svētiem, kas virs zemes, un tiem godīgiem ir viss mans labais prāts.
Kwa habari ya watakatifu walioko duniani, ndio walio wa fahari ambao ninapendezwa nao.
4 Tiem, kas pieņem citu dievu, būs lielas sāpes; es neupurēšu viņu asiņu dzeramos upurus, un neņemšu savā mutē viņu vārdu.
Huzuni itaongezeka kwa wale wanaokimbilia miungu mingine. Sitazimimina sadaka zao za damu au kutaja majina yao midomoni mwangu.
5 Tas Kungs ir mana tiesa un mana daļa, Tu glabā manu mantas tiesu.
Bwana umeniwekea fungu langu na kikombe changu; umeyafanya mambo yangu yote yawe salama.
6 Man daļa tikusi jaukā vietā, tiešām, man ir nākusi skaista manta.
Alama za mipaka zimeniangukia mahali pazuri, hakika nimepata urithi mzuri.
7 Es slavēšu To Kungu, kas man dod padomu, pat naktī mana sirds mani pamāca.
Nitamsifu Bwana ambaye hunishauri, hata wakati wa usiku moyo wangu hunifundisha.
8 Es turu To Kungu bez mitēšanās savā priekšā, jo Viņš man ir pa labai rokai, - es nešaubīšos.
Nimemweka Bwana mbele yangu daima. Kwa sababu yuko mkono wangu wa kuume, sitatikisika.
9 Tādēļ mana sirds priecājās, un mans gods līksmojās, un pat mana miesa dzīvos droši.
Kwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia; mwili wangu nao utapumzika salama,
10 Jo Tu manu dvēseli nepametīsi kapā, Savam Svētam Tu neliksi redzēt satrūdēšanu. (Sheol )
kwa maana hutaniacha kaburini, wala hutamwacha Mtakatifu Wako kuona uharibifu. (Sheol )
11 Tu man dari zināmu dzīvības ceļu, priekš Tava vaiga ir līksmošanās pilnība, un prieks un jaukums pie Tavas labās rokas mūžīgi.
Umenijulisha njia ya uzima; utanijaza na furaha mbele zako, pamoja na furaha za milele katika mkono wako wa kuume.