< Psalmi 120 >

1 Svētku dziesma. Es piesaucu To Kungu savās bēdās, un Viņš mani paklausa.
Wimbo wa kwenda juu. Katika dhiki yangu namwita Bwana, naye hunijibu.
2 Kungs, izglāb manu dvēseli no melkuļu lūpām un viltnieku mēlēm.
Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo na ndimi za udanganyifu.
3 Ko viltīgā mēle Tev dos, jeb ko viņa Tev pieliks?
Atakufanyia nini, au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?
4 Tā ir kā varoņa asas bultas, kā degošas paegļu ogles.
Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa, kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.
5 Ak vai, man, ka esmu svešinieks iekš Mešeha, un ka man jādzīvo Kedara dzīvokļos.
Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki, kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!
6 Par ilgu manai dvēselei dzīvot pie tiem, kas mieru ienīst.
Nimeishi muda mrefu mno miongoni mwa wale wanaochukia amani.
7 Es turu mieru, bet tikko es runāju, tad tie ceļ ķildu.
Mimi ni mtu wa amani; lakini ninaposema, wao wanataka vita.

< Psalmi 120 >