< Psalmi 112 >

1 Alleluja! Svētīgs ir tas vīrs, kas To Kungu bīstas, kam pie Viņa baušļiem labs prāts.
Msifuni Bwana. Heri mtu yule amchaye Bwana, mtu yule apendezwaye sana na amri zake.
2 Tā dzimums būs varens virs zemes; taisno cilts taps svētīta.
Watoto wake watakuwa wenye uwezo katika nchi, kizazi cha watu waadilifu kitabarikiwa.
3 Padoms un bagātība ir viņa namā, un viņa taisnība pastāv mūžīgi.
Nyumbani mwake kuna mali na utajiri, haki yake hudumu milele.
4 Taisniem tumsībā aust gaišums; jo Viņš ir žēlīgs, sirds žēlīgs un taisns.
Hata gizani nuru humzukia mtu mwadilifu, yule mwenye rehema, huruma na haki.
5 Labi tam cilvēkam, kas apžēlojās un aizdod, tiesā tas savu lietu vedīs galā.
Mema yatamjia mtu yule aliye mkarimu na mwenye kukopesha bila riba, anayefanya mambo yake kwa haki.
6 Jo tas nešaubīsies ne mūžam; taisnais paliks mūžīgā piemiņā.
Hakika hatatikisika kamwe, mtu mwenye haki atakumbukwa milele.
7 No ļaunas slavas tas nebīstas viņa sirds ir stipra un paļaujas uz To Kungu.
Hataogopa habari mbaya, moyo wake ni thabiti, ukimtegemea Bwana.
8 Viņa sirds ir droša un nebīstas; tiekams ar prieku skatās uz saviem pretiniekiem.
Moyo wake ni salama, hatakuwa na hofu, mwishoni ataona ushindi dhidi ya adui zake.
9 Viņš izdala un dod nabagiem; viņa taisnība paliek mūžīgi, viņa rags top paaugstināts ar godu.
Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini; haki yake hudumu milele; pembe yake itatukuzwa kwa heshima.
10 Bezdievīgais to redzēs un apskaitīsies, viņš sakodīs savus zobus un iznīks; ko bezdievīgie kāro, ies bojā.
Mtu mwovu ataona na kuchukizwa, atasaga meno yake na kutoweka, kutamani kwa mtu mwovu kutaishia patupu.

< Psalmi 112 >