< Psalmi 11 >
1 Dāvida dziesma. Dziedātāju vadonim. Es paļaujos uz To Kungu. Kā tad jūs sakāt uz manu dvēseli: skrej uz saviem kalniem kā putns!
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Kwa Bwana ninakimbilia, unawezaje basi kuniambia: “Ruka kama ndege kwenye mlima wako.
2 Jo redzi, bezdievīgie uzvelk stopu, tie liek savas bultas uz auklām, slepeni šaut tos, kas sirds taisni.
Hebu tazama, waovu wanapinda pinde zao, huweka mishale kwenye uzi wake, wakiwa gizani ili kuwapiga wale wanyofu wa moyo.
3 Jo pamati top nopostīti; ko darīs taisnais?
Wakati misingi imeharibiwa, mwenye haki anaweza kufanya nini?”
4 Tas Kungs ir Savā svētā namā, Tā Kunga godības krēsls ir debesīs, Viņa acis skatās, Viņa acu skati pārmana cilvēku bērnus.
Bwana yuko ndani ya Hekalu lake takatifu; Bwana yuko kwenye kiti chake cha enzi mbinguni. Huwaangalia wana wa watu, macho yake yanawajaribu.
5 Tas Kungs pārbauda taisno, bet bezdievīgo un varas darbu mīļotāju Viņa dvēsele ienīst.
Bwana huwajaribu wenye haki, lakini waovu na wanaopenda jeuri, nafsi yake huwachukia.
6 Pār bezdievīgiem Viņš liks līt valgiem, ugunij un sēram, un varena vētra būs viņu daļa.
Atawanyeshea waovu makaa ya moto mkali na kiberiti kinachowaka, upepo wenye joto kali ndio fungu lao.
7 Jo Tas Kungs ir taisns, Viņš mīļo taisnību, Viņa vaigs uzlūko taisno.
Kwa kuwa Bwana ni mwenye haki, yeye hupenda haki. Wanyofu watauona uso wake.