< Salamana Pamācības 15 >
1 Lēna atbilde klusina bardzību, bet rūgta valoda ceļ dusmas.
Jawabu la upole huondoa ghadhabu, bali neno la ukatili huchochea hasira.
2 Gudra mēle dara mācību mīlīgu, bet ģeķu mute izverd ģeķību.
Ulimi wa watu mwenye hekima husifu maarifa, bali kinywa cha wapumbavu humwaga upuuzi.
3 Tā Kunga acis ir visās malās un ņem vērā ļaunus un labus.
Macho ya Yehova yapo kila mahali, yakiwatazama juu ya waovu na wema.
4 Mēle, kas mierina, ir dzīvības koks, bet netikla lauž sirdi.
Ulimi unaoponya ni mti wa uzima, bali ulimi wa udanganyifu huvunja moyo.
5 Ģeķis smejas par sava tēva pamācīšanu, bet kas mācību pieņem, pieaugs gudrībā.
Mpumbavu hudharau marudi ya baba yake, bali yeye anayejifunza kutokana na masahihisho ni mwenye hekima.
6 Taisna namā ir liela svētība, bet pie bezdievīga ienākuma posts.
Katika nyumba ya wale watendao haki kuna hazina kubwa, bali mapato ya watu waovu huwapa taabu.
7 Gudro lūpas sēj atzīšanu, bet ģeķu sirds tāda vis nav.
Midomo ya wenye hekima husambaza maarifa, bali mioyo ya wapumbavu haifanyi hivyo.
8 Bezdievīgo upuris Tam Kungam ir negantība, bet taisno lūgšana viņam labi patīk.
Yehova anachukia sadaka za watu waovu, bali maombi ya watu waadilifu ndiyo furaha yake.
9 Bezdievīga ceļš Tam Kungam ir negantība, bet kas pēc taisnības dzenās, to viņš mīl.
Yehova anachukia njia ya watu waovu, bali anampenda yule ambaye huandama haki.
10 Grūta pārmācīšana būs tam, kas no ceļa atstājās; kas pamācīšanu ienīst, tas nomirs.
Marudi ya ukatili hungojea kwa yeyote ambaye huiacha njia na yule ambaye huchukia masahihisho atakufa.
11 Elle un viņas bezdibenis ir Tā Kunga priekšā, vai tad ne jo vairāk cilvēku bērnu sirdis! (Sheol )
Kuzimu na uharibifu vipo wazi mbele za Yehova; je si zaidi sana mioyo ya wana wa wanadamu? (Sheol )
12 Mēdītājs nemīl to, kas viņu pamāca, viņš nemetās pie gudriem.
Mwenye mzaha huchukia masahihisho; hatakwenda kwa wenye hekima.
13 Priecīga sirds dara vaigu priecīgu, bet sirdēsti nospiež garu.
Moyo wenye furaha husababisha uchangamfu wa uso, bali huzuni huvunja moyo.
14 Prātīga vīra sirds meklē atzīšanu, bet ģeķu vaigs ganās ģeķībā.
Moyo wa mwenye ufahamu hutafuta maarifa, bali kinywa cha wapumbavu hujilisha kwenye upuuzi.
15 Bēdīga cilvēka dienas ir visas līdz ļaunas, bet priecīgai sirdij ir dzīres bez mitēšanās.
Siku zote za watu waliokandamizwa ni taabu, bali moyo wenye furaha unakaramu daima.
16 Labāk ir mazumiņš ar Tā Kunga bijāšanu, nekā liela manta, kur raizes klāt.
Bora kitu kidogo pamoja na kumcha Mungu kuliko hazina kubwa pamoja na ghasia.
17 Kāpostu virums ar mīlestību ir labāks, nekā barots vērsis ar naidu.
Bora mlo wenye mboga kukiwa na upendo kuliko kuandaliwa ndama aliyenona kwa chuki.
18 Sirdīgs(dusmīgs) vīrs ceļ ķildu, bet lēnprātīgais klusina bāršanos.
Mtu mwenye hasira huchochea mabishano, bali mtu ambaye hukawia kukasirika hutuliza ugomvi.
19 Sliņķa ceļš ir kā ērkšķu krūms, bet taisno tekas ir līdzenas.
Mapito ya mtu goigoi ni kama sehemu yenye uwa wa miiba, bali mapito ya mtu mwadilifu ni njia kuu iliyojengwa imara.
20 Gudrs dēls iepriecina tēvu, bet ģeķīgs cilvēks pulgo savu māti.
Mwana mwenye busara huleta furaha kwa baba yake, bali mtu mpumbavu humdharau mama yake.
21 Ģeķība neprātīgiem ir prieks, bet prātīgs vīrs staigā pareizi.
Upuuzi humfurahia mtu ambaye amepungukiwa akili, bali mwenye ufahamu hutembea katika njia nyofu.
22 Kur padoma nav, tur nodoms netiek galā, bet caur daudz padoma devējiem tas izdodas.
Mipango huharibika ambapo hakuna ushauri, bali washauri wengi wanafanikiwa.
23 Vīrs priecājās par savas mutes atbildi, un vārds īstenā laikā, cik tas labs!
Mtu anapata furaha wakati anapotoa jibu la kufaa; je ni zuri kiasi gani neno kwa wakati muafaka!
24 Gudram dzīvības ceļš iet uz augšu, lai izbēg no elles apakšā. (Sheol )
Njia ya uzima huwapeleka juu watu wenye hekima, ili waondoke kutoka chini kuzimu. (Sheol )
25 Lepniem Tas Kungs namu noposta, bet uztaisa atraitnes ežas.
Yehova hurarua urithi wa mwenye kiburi, bali huzilinda mali za mjane.
26 Ļauna vīra nodomi Tam Kungam ir negantība, bet laipnīga valoda šķīsta.
Yehova huyachukia mawazo ya watu waovu, bali maneno ya upole ni safi.
27 Rautin raujot cilvēks izposta savu namu, bet kas kukuļus ienīst, tas dzīvos.
Mporaji huleta shida kwenye familia yake, bali yeye ambaye huchukia rushwa ataishi.
28 Taisna sirds apdomā, ko atbildēt, bet bezdievīgo mute izverd ļaunumu.
Moyo wa yule atendaye haki hutafakari kabla ya kujibu, bali kinywa cha watu waovu humwanga ubaya wake wote.
29 Tas Kungs ir tālu no bezdievīgiem, bet taisno lūgšanu viņš paklausa.
Yehova yupo mbali na watu waovu, bali husikia maombi ya wale watendao haki.
30 Spožas acis iepriecina sirdi; laba vēsts stiprina kaulus.
Nuru ya macho huleta furaha moyoni na habari njema ni afya kwenye mwili.
31 Auss, kas klausa dzīvības mācībai, mājos gudro vidū.
Kama utazingatia wakati mtu anapokurekebisha jinsi ya kuishi, utabaki miongoni mwa watu wenye busara.
32 Kas mācību atmet, tas zaudē dvēseli; bet kas mācībai klausa, ņemas gudrībā.
Yeye anayekataa karipio hujidharau mwenyewe, bali yule asikilizaye masahihisho hujipatia ufahamu.
33 Tā Kunga bijāšana ir pamācīšana uz gudrību, un pazemība ved godā.
Kumcha Yehova hufundisha hekima na unyenyekevu huja kabla ya heshima.