< Ceturtā Mozus 26 >

1 Un notikās pēc tās mocības, tad Tas Kungs runāja uz Mozu un uz Eleazaru, priestera Ārona dēlu, un sacīja:
Baada ya hiyo tauni, Bwana akamwambia Mose na Eleazari mwana wa kuhani Aroni,
2 Skaiti visas Israēla bērnu draudzes pulku, kas ir divdesmit gadu un pāri, pēc viņu tēvu namiem, visus, kas iekš Israēla var iet karā.
“Hesabu jumuiya yote ya Kiisraeli kwa jamaa zao, wale wote wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, ambao wanaweza kutumika katika jeshi la Israeli.”
3 Tad Mozus un Eleazars, tas priesteris, ar tiem runāja Moaba klajumos, pie Jardānes pret Jēriku un sacīja:
Hivyo Mose na kuhani Eleazari wakazungumza na watu kwenye nchi tambarare ya Moabu, ngʼambo ya Yordani kutokea Yeriko, wakasema,
4 (Lai top skaitīti) kas ir divdesmit gadu un pāri, itin kā Tas Kungs Mozum pavēlējis. Bet Israēla bērni, kas no Ēģiptes zemes izgājuši, bija:
“Hesabuni wanaume wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, kama Bwana alivyomwagiza Mose.” Hawa ndio Waisraeli waliotoka Misri:
5 Rūbens Israēla pirmdzimtais. Rūbena dēli bija Hanoks, no tā ir Hanoka cilts; no Pallus ir Pallus cilts,
Wazao wa Reubeni, mwana mzaliwa wa kwanza wa Israeli, walikuwa: kutoka kwa Hanoki, ukoo wa Wahanoki; kutoka kwa Palu, ukoo wa Wapalu;
6 No Hecrona ir Hecrona cilts, no Karmus ir Karmus cilts.
kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni; kutoka kwa Karmi, ukoo wa Wakarmi.
7 Šās ir Rūbena ciltis, un viņu skaits bija četrdesmit trīs tūkstoši septiņsimt un trīsdesmit.
Hizi zilikuwa ndizo koo za Reubeni; wale waliohesabiwa walikuwa 43,730.
8 Un Pallus dēls bija Eliabs.
Mwana wa Palu alikuwa Eliabu,
9 Un Eliaba dēli bija Nemuēls un Datans un Abirams. Šis Datans un Abirams bija tās draudzes virsnieki, kas pret Mozu un Āronu sacēlās Koraha pulkā, kad tas sacēlās pret To Kungu.
nao wana wa Eliabu walikuwa Nemueli, Dathani na Abiramu. Hawa wawili Dathani na Abiramu ndio walikuwa maafisa wa jumuiya ambao walimwasi Mose na Aroni, na walikuwa miongoni mwa wafuasi wa Kora wakati walimwasi Bwana.
10 Un zeme atdarīja savu muti un tos aprija līdz ar Korahu, ka tas pulks nomira; tur uguns divsimt un piecdesmit vīrus aprija, un tie tapa par biedēkli.
Ardhi ilifunua kinywa chake na kuwameza pamoja na Kora, ambaye wafuasi wake walikufa wakati moto ulipowateketeza wanaume 250. Nao walikuwa kama alama ya onyo.
11 Bet Koraha dēli nenomira.
Pamoja na hayo, hao ukoo wa Kora hawakufa.
12 Sīmeana dēli pēc savām ciltīm: no Nemuēļa ir Nemuēļa cilts, no Jāmina ir Jāmina cilts, no Jākina ir Jākina cilts,
Wazao wa Simeoni kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli; kutoka kwa Yamini, ukoo wa Wayamini; kutoka wa Yakini, ukoo wa Wayakini;
13 No Zerus ir Zerus cilts, no Saulus ir Saulus cilts.
kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera; kutoka kwa Shauli, ukoo wa Washauli.
14 Šās ir Sīmeana ciltis, divdesmit un divi tūkstoši un divi simti.
Hizi ndizo koo za Simeoni; walikuwa 22,200.
15 Gada dēli pēc savām ciltīm: no Cevona ir Cevona cilts, no Hagus ir Hagus cilts, no Zūnus ir Zūnus cilts,
Wazao wa Gadi kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Sifoni, ukoo wa Wasifoni; kutoka kwa Hagi, ukoo wa Wahagi; kutoka kwa Shuni, ukoo wa Washuni;
16 No Oznus ir Oznus cilts, no Erus ir Erus cilts,
kutoka kwa Ozni, ukoo wa Waozni; kutoka kwa Eri, ukoo wa Waeri;
17 No Aroda ir Aroda cilts, no Ariēļa ir Ariēļa cilts.
kutoka kwa Arodi, ukoo wa Waarodi; kutoka kwa Areli, ukoo wa Waareli.
18 Šās ir Gada dēlu ciltis, pēc sava skaita četrdesmit tūkstoši un piecsimt.
Hizi ndizo zilizokuwa koo za Gadi; wale waliohesabiwa walikuwa 40,500.
19 Jūda dēli bija Ģers un Onans, bet Ģers un Onans nomira Kanaāna zemē.
Eri na Onani walikuwa wana wa Yuda, lakini walifia huko Kanaani.
20 Tad Jūda bērni bija pēc savām ciltīm: no Šelus Šelus cilts, no Pereca Pereca cilts, no Zerus Zerus cilts.
Wazao wa Yuda kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Shela, ukoo wa Washela; kutoka kwa Peresi, ukoo wa Waperesi; kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera.
21 Un Pereca dēli bija Hecrons, no tā ir Hecrona cilts, no Hamula ir Hamula cilts.
Wazao wa Peresi walikuwa: kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni; kutoka kwa Hamuli, ukoo wa Wahamuli.
22 Šās ir Jūda ciltis, pēc sava skaita septiņdesmit un seši tūkstoši un piecsimt.
Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda; wale waliohesabiwa walikuwa 76,500.
23 Īsašara dēli pēc savām ciltīm bija: Tolus, no tā ir Tolus cilts, no Pūvus ir Pūvus cilts,
Wazao wa Isakari kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Tola, ukoo wa Watola; kutoka kwa Puva, ukoo wa Wapuva;
24 No Jašuba ir Jašuba cilts, no Šimrona ir Šimrona cilts.
kutoka kwa Yashubu, ukoo wa Wayashubu; kutoka kwa Shimroni, ukoo wa Washimroni.
25 Šās ir Īsašara ciltis, pēc sava skaita sešdesmit un četri tūkstoši un trīssimt.
Hizi ndizo zilizokuwa koo za Isakari; wale waliohesabiwa walikuwa 64,300.
26 Zebulona dēli pēc savām ciltīm bija: Sereds, no tā ir Sereda cilts, no Elona ir Elona cilts, no Jaleēļa ir Jaleēļa cilts.
Wazao wa Zabuloni kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Seredi, ukoo wa Waseredi; kutoka kwa Eloni, ukoo wa Waeloni; kutoka kwa Yaleeli, ukoo wa Wayaleeli.
27 Šās ir Zebulona ciltis, pēc sava skaita sešdesmit tūkstoši un piecsimt.
Hizi ndizo zilizokuwa koo za Zabuloni, wale waliohesabiwa walikuwa 60,500.
28 Jāzepa dēli pēc savām ciltīm bija Manasus un Efraīms.
Wazao wa Yosefu kwa koo zao kutoka kwa Manase na kwa Efraimu walikuwa:
29 Manasus dēli bija: Mahirs, no tā ir Mahira cilts, un Mahirs dzemdināja Gileādu, no Gileāda ir Gileāda cilts.
Wazao wa Manase: kutoka kwa Makiri, ukoo wa Wamakiri (Makiri alikuwa baba wa Gileadi); kutoka kwa Gileadi, ukoo wa Wagileadi.
30 Šie ir Gileāda dēli: Jēzers no tā ir Jēzera cilts, Heleks, no tā ir Heleka cilts,
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Gileadi: kutoka kwa Iezeri, ukoo wa Waiezeri; kutoka kwa Heleki, ukoo wa Waheleki;
31 Un no Asriēla ir Asriēla cilts, no Šehema ir Šehema cilts,
kutoka kwa Asirieli, ukoo wa Waasirieli; kutoka kwa Shekemu, ukoo wa Washekemu;
32 Un no Šemida ir Šemida cilts, un no Hefera ir Hefera cilts.
kutoka kwa Shemida, ukoo wa Washemida; kutoka kwa Heferi, ukoo wa Waheferi.
33 Bet Celofehadam, Hefera dēlam, nebija dēlu, bet meitas, un Celofehada meitu vārdi bija Maēla un Noa, Hagla, Milka un Tirca.
(Selofehadi mwana wa Heferi hakuzaa wana, bali alikuwa na watoto wa kike tu, ambao majina yao yalikuwa Mahla, Noa, Hogla, Milka na Tirsa.)
34 Šās ir Manasus ciltis, un viņu skaits piecdesmit un divi tūkstoši un septiņsimt.
Hizi ndizo zilizokuwa koo za Manase; wale waliohesabiwa walikuwa 52,700.
35 Šie ir Efraīma bērni pēc savām ciltīm: no Šūtelus ir Šūtelus cilts, no Bekera Bekera cilts, no Taāna Taāna cilts.
Hawa walikuwa wazao wa Efraimu kwa koo zao: kutoka kwa Shuthela, ukoo wa Washuthela; kutoka kwa Bekeri, ukoo wa Wabekeri; kutoka kwa Tahani, ukoo wa Watahani;
36 Un šie ir Šūtelus dēli: no Erana ir Erana cilts.
Hawa ndio walikuwa wazao wa Shuthela: kutoka kwa Erani, ukoo wa Waerani.
37 Šās ir Efraīma dēlu ciltis, pēc sava skaita trīsdesmit divi tūkstoši un piecsimt. Šie ir Jāzepa dēli pēc savām ciltīm.
Hizi ndizo zilizokuwa koo za Efraimu; wale waliohesabiwa walikuwa 32,500. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yosefu kwa koo zao.
38 Benjamina dēli pēc savām ciltīm: no Belus ir Belus cilts, no Ašbela Ašbela cilts, no Ahirus Ahirus cilts,
Wazao wa Benyamini kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Bela, ukoo wa Wabela; kutoka kwa Ashbeli, ukoo wa Waashbeli; kutoka kwa Ahiramu, ukoo wa Waahiramu;
39 No Šūpus Šūpus cilts, no Hūpus Hūpus cilts.
kutoka kwa Shufamu, ukoo wa Washufamu; kutoka kwa Hufamu, ukoo wa Wahufamu.
40 Un Belus dēli bija: Ards un Naēmans: no viņa ir Arda cilts, no Naēmana ir Naēmana cilts.
Wazao wa Bela kutoka kwa Ardi na Naamani walikuwa: kutoka kwa Ardi, ukoo wa Waardi; kutoka kwa Naamani, ukoo wa Wanaamani.
41 Šie ir Benjamina dēli pēc savām ciltīm, un viņu skaits bija četrdesmit pieci tūkstoši un sešsimt.
Hizi ndizo zilizokuwa koo za Benyamini; wale waliohesabiwa walikuwa 45,600.
42 Šie ir Dana dēli pēc savām ciltīm: no Šuhāma ir Šuhāma cilts.
Hawa ndio waliokuwa wazao wa Dani kwa koo zao: kutoka kwa Shuhamu, ukoo wa Washuhamu. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Dani:
43 Šās ir Dana ciltis pēc savām ciltīm, visi Šuhāma radi pēc sava skaita sešdesmit četri tūkstoši un četrsimt.
Wote walikuwa koo za Washuhamu; wale waliohesabiwa walikuwa 64,400.
44 Ašera dēli pēc savām ciltīm: no Jemna ir Jemna cilts, no Jisvus ir Jisvus cilts, no Berius ir Berius cilts,
Wazao wa Asheri kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Imna, ukoo wa Waimna; kutoka kwa Ishvi, ukoo wa Waishvi; kutoka kwa Beria, ukoo wa Waberia;
45 No Berius bērniem, no Hebera ir Hebera cilts, no Melķiēļa ir Melķiēļa cilts.
kutoka kwa wazao wa Beria: kutoka kwa Heberi, ukoo wa Waheberi; kutoka kwa Malkieli, ukoo wa Wamalkieli.
46 Un Ašera meitas vārds bija Sāra.
(Asheri alikuwa na binti aliyeitwa Sera.)
47 Šās ir Ašera bērnu ciltis, pēc sava skaita piecdesmit trīs tūkstoši un četrsimt.
Hizi ndizo zilizokuwa koo za Asheri; wale waliohesabiwa walikuwa 53,400.
48 Naftalus dēli pēc savām ciltīm: no Jaēciēļa ir Jaēciēļa cilts, no Gunus ir Gunus cilts,
Wazao wa Naftali kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Yaseeli, ukoo wa Wayaseeli; kutoka kwa Guni, ukoo wa Waguni;
49 No Jecera ir Jecera cilts, no Šilema ir Šilema cilts.
kutoka kwa Yeseri, ukoo wa Wayeseri; kutoka kwa Shilemu, ukoo wa Washilemu.
50 Šie ir Naftalus dēli pēc savām ciltīm, un viņu skaits bija četrdesmit pieci tūkstoši un četrsimt.
Hizi ndizo zilizokuwa koo za Naftali; wale waliohesabiwa walikuwa 45,400.
51 Šie ir Israēla bērnu skaitītie, sešsimt tūkstoši viens tūkstotis septiņsimt un trīsdesmit.
Jumla ya hesabu ya wanaume wa Israeli ilikuwa 601,730.
52 Un Tas Kungs runāja uz Mozu un sacīja:
Bwana akamwambia Mose,
53 Šiem lai tā zeme top izdalīta par mantu pēc tā vārdu skaita.
“Watagawiwa nchi kama urithi kwa kulingana na hesabu ya majina.
54 Kuru ir daudz, tiem tev to daļu būs vairot, un, kuru ir mazāk, tiem būs mazāk dot par daļu, ikvienam tā daļa lai top dota pēc tā skaitīta pulka.
Kundi kubwa zaidi lipe urithi mkubwa zaidi, na kundi dogo zaidi lipewe urithi mdogo zaidi; kila kundi litapokea urithi wake kulingana na hesabu ya wale walioorodheshwa.
55 Bet tā zeme caur īpašu meslošanu lai top izdalīta, pēc viņu tēvu cilts vārdiem tiem būs mantot.
Hakikisha kuwa nchi inagawanywa kwa kura. Kile kitakachorithiwa na kila kikundi kitakuwa kwa kulingana na majina ya kabila la babu yao.
56 Kā tā meslošana rādīs, tā lai ikviena daļa top dota pēc tā lielā vai tā mazā skaita.
Kila urithi utagawanywa kwa kura miongoni mwa makundi makubwa na madogo.”
57 Šie nu ir tie skaitītie Leviti pēc savām ciltīm: no Geršona ir Geršona cilts, no Kehāta ir Kehāta cilts, no Merarus ir Merarus cilts.
Hawa walikuwa Walawi ambao walihesabiwa kwa koo zao: kutoka kwa Gershoni, ukoo wa Wagershoni; kutoka kwa Kohathi, ukoo wa Wakohathi; kutoka kwa Merari, ukoo wa Wamerari.
58 Šās ir Levja ciltis: Libnus cilts, Hebrona cilts, Maēlus cilts, Muzus cilts, Koraha cilts.
Hizi pia zilikuwa koo za Walawi: ukoo wa Walibni; ukoo wa Wahebroni; ukoo wa Wamahli; ukoo wa Wamushi; ukoo wa wana wa Kora. (Kohathi alikuwa baba aliyemzaa Amramu;
59 Un Kehāts dzemdināja Amramu, un Amrama sievas vārds bija Joķebete, Levja meita, kas Levjam Ēģiptes zemē dzimusi, un šī dzemdēja Amramam Āronu un Mozu un Mirjami, viņa māsu.
jina la mke wa Amramu ni Yokebedi, naye pia alikuwa mzao wa Lawi, ambaye alizaliwa kwa Walawi nchini Misri. Alimzalia Amramu: Aroni, Mose na dada yao Miriamu.
60 Un Āronam piedzima Nadabs un Abijus, Eleazars un Ītamars.
Aroni alikuwa baba yake Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.
61 Bet Nadabs un Abijus bija nomiruši, kad tie svešu uguni Tam Kungam pienesa.
Lakini Nadabu na Abihu walikufa wakati walitoa sadaka mbele za Bwana kwa moto usioruhusiwa.)
62 Un viņu skaits bija divdesmit trīs tūkstoši, visi vīrieši, kas vienu mēnesi veci un pāri; jo tie netapa skaitīti pie Israēla bērniem, tāpēc ka tiem nekāda daļa nebija dota starp Israēla bērniem.
Wanaume wote wa Walawi wa umri wa mwezi mmoja na zaidi walikuwa 23,000. Wao hawakuhesabiwa pamoja na Waisraeli wengine kwa sababu hawakupokea urithi miongoni mwao.
63 Šie ir skaitīti no Mozus un priestera Eleazara, kas Israēla bērnus skaitīja Moaba klajumos, pie Jardānes pret Jēriku.
Hawa ndio walioorodheshwa na Mose na kuhani Eleazari wakati waliwahesabu Waisraeli kwenye nchi tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.
64 Un starp tiem nebija neviena no tā Israēla bērnu skaita, ko Mozus un Ārons, tas priesteris, bija skaitījuši Sinaī tuksnesī.
Hakuna hata mmoja wao aliyekuwa miongoni mwa wale waliohesabiwa na Mose na kuhani Aroni wakati waliwahesabu Waisraeli katika Jangwa la Sinai.
65 Jo Tas Kungs uz tiem bija sacījis: tie mirtin mirs tuksnesī, un no tiem neviens nebija atlicies kā vien Kālebs, Jefunna dēls, un Jozuas, Nuna dēls.
Kwa maana Bwana alikuwa amewaambia hao Waisraeli hakika wangekufa huko jangwani, wala hakuna mmoja wao aliyeachwa, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.

< Ceturtā Mozus 26 >