< Nachuma 2 >

1 Postītājs ceļas pret tevi, - sargi pili, lūko uz ceļu, stiprini gurnus un centies spēcīgi!
Mshambuliaji anasogea dhidi yako, Ninawi. Linda ngome, chunga barabara, jitieni nguvu wenyewe, kusanya nguvu zako zote!
2 Jo Tas Kungs atkal uzceļ Jēkaba godību, tā kā Israēla godību, jo laupītāji tos aplaupījuši un maitājuši viņu vīna stīgas.
Bwana atarudisha fahari ya Yakobo, kama fahari ya Israeli, ingawa waangamizi wamewaacha ukiwa na wameharibu mizabibu yao.
3 Viņa varoņu priekšturamās bruņas ir sarkanas, viņa kara ļaudis purpurā ģērbušies, rati spīd kā uguns liesmas tai dienā, kad viņš apbruņojās, un šķēpi top cilāti.
Ngao za askari wake ni nyekundu, mashujaa wamevaa nguo nyekundu. Chuma kwenye magari ya vita chametameta, katika siku aliyoyaweka tayari, mikuki ya mierezi inametameta.
4 Rati rīb uz ielām, tie skraida gatvēs, viņu izskats ir kā uguns lāpas, tie laistās kā zibeņi.
Magari ya vita yanafanya msukosuko barabarani, yakikimbia nyuma na mbele uwanjani. Yanaonekana kama mienge ya moto; yanakwenda kasi kama umeme.
5 Viņš piemin savus varenos, tie klūp savā ceļā, tie steidzās uz mūriem un sataisa patvērumu.
Anaita vikosi vilivyochaguliwa, lakini bado wanajikwaa njiani. Wanakimbilia haraka kwenye ukuta wa mji, ile ngao ya kuwakinga imetayarishwa.
6 Upju vārti ir atdarīti, un pils iet bojā.
Malango ya mto yamefunguliwa wazi, na jumba la kifalme limeanguka.
7 Un ķēniņiene krīt kaunā un top aizvesta, un viņas kalpotājas vaid kā baloži un sit pie savām krūtīm.
Imeagizwa kwamba mji uchukuliwe na upelekwe uhamishoni. Vijakazi wake wanaomboleza kama hua na kupigapiga vifua vyao.
8 Jo Ninive bija kā ūdeņu ezers no tā laika, kad tā cēlusies. Bet tie bēg. Stāvat, stāvat! Bet neviens neskatās atpakaļ.
Ninawi ni kama dimbwi, nayo maji yake yanakauka. Wanalia, “Simama! Simama!” Lakini hakuna anayegeuka nyuma.
9 Laupāt sudrabu, laupāt zeltu, jo tur mantas bez gala un visādu dārgumu papilnam.
Chukueni nyara za fedha! Chukueni nyara za dhahabu! Wingi wake hauna mwisho, utajiri kutoka hazina zake zote!
10 Posts un postaža un tuksnesis, sirds izkūst, ceļi dreb, un visi gurni gurst, un visi viņu vaigi nobāl.
Ameharibiwa, ametekwa nyara, ameachwa uchi! Mioyo inayeyuka, magoti yanalegea, miili inatetemeka, na kila uso umebadilika rangi.
11 Kur nu ir tas lauvu dzīvoklis un tā jauno lauvu ganība, kur tas lauva, tā lauvu māte ar tiem lauvu bērniem staigāja, un nebija, kas tos iztraucēja?
Liko wapi sasa pango la simba, mahali ambapo waliwalisha watoto wao, ambapo simba dume na simba jike walikwenda na ambapo wana simba walikwenda bila kuogopa chochote?
12 Bet tas lauva laupīja gan priekš saviem bērniem un žņaudza priekš tām lauvu mātēm, savas alas viņš pildīja ar laupījumu un savus dzīvokļus ar to, ko saplosīja.
Simba aliua mawindo ya kutosha watoto wake, alinyonga mawindo kwa ajili ya mwenzi wake, akijaza makao yake kwa alivyoua na mapango yake kwa mawindo.
13 Redzi, Es celšos pret tevi, saka Tas Kungs Cebaot; un sadedzināšu dūmos viņas ratus un zobens aprīs tavus lauvu bērnus, un Es izdeldēšu tavu laupījumu no zemes, un tavu vēstnešu balsi vairs nedzirdēs.
Bwana Mwenye Nguvu Zote anatangaza, “Mimi ni kinyume na ninyi. Magari yenu ya vita nitayateketeza kwa moto, na upanga utakula wana simba wako. Sitawaachia mawindo juu ya nchi. Sauti za wajumbe wako hazitasikika tena.”

< Nachuma 2 >