< Michas 3 >

1 Un es sacīju: “Klausāties jel, Jēkaba virsnieki un Israēla nama valdnieki: Vai jums nepiekrīt tiesu zināt?
Nimesema'”Sasa sikilizeni, ninyi viongozi wa Yakobo na kutawala nyumba ya Israeli: Je siyo sahihi kwenu kuielewa haki?
2 Jūs ienīstat labu un mīļojat ļaunu, jūs tiem noplēšat ādu un gaļu no viņu kauliem.
Ninyi manaochukia mazuri na kupenda uovu, ninyi mnaoambua ngozi yao, miili yao kutoka kwenye mifupa yao-
3 Tiešām tie ir, kas ēd Manu ļaužu gaļu un tiem nodīrā ādu un satriec viņu kaulus un pa gabaliem saliek tā kā podā un kā gaļu katlā.”
ninyi mnaokula pia miili ya watu wangu, na kuambua ngozi yao, kuvunja mifupa yao, na kuwakatakata katika vipande vipande, kama nyama kwenye chungu, kama nyama kwenye sufuria kubwa.
4 Tad tie brēks uz To Kungu, bet Viņš tos nepaklausīs, Viņš tanī laikā Savu vaigu no viņiem apslēps, tā kā viņu darbi bijuši ļauni.
Kisha ninyi watawala mtalia kwa Yahwe, lakini hatawajibu. Atauficha uso wake kutoka kwenu kipindi hicho, kwasababu mmefanya matendo maovu.”
5 Tā saka Tas Kungs pret tiem praviešiem, kas Manus ļaudis maldina, kas izsauc mieru, kad viņu zobiem ir ko kost; bet kas viņiem nekā nedod mutē, pret to viņi sludina karu:
Yahwe asema hivi kuhusu manabii ambao wawafanyao watu wangu kushindwa, “Kwa wale wawalishao wanatangaza, 'Kutakuwa na ustawi.' Lakini kwa wale wasioweka kitu kwenye vinywa vyao, wanaanzisha vita dhidi yake.
6 “Nakts pār jums metīsies parādīšanu vietā, un tumsa būs pār jums zīlēšanas vietā, un saule noies pār šiem praviešiem, un diena taps melna pār viņiem.
Kwa hiyo, itakuwa usiku kwenu usiokuwa na maono juu yenu; itakuwa giza ili kwamba msiweze kubashiri. Jua litakwenda chini juu ya manabii, na siku itakuwa giza juu yao.
7 Un pareģi taps kaunā, un zīlnieki nosarks, un tiem visiem būs aptīt savu muti, jo Dieva atbildes nebūs.”
Waonaji watawekwa kwenye aibu, waaguzi wa watachanganyikiwa. Wote watafunga midomo yao, kwa kuwa hakuna jibu kutoka kwangu.”
8 Bet es esmu pilns spēka no Tā Kunga Gara un pilns tiesas un sirds drošības, pasludināt Jēkabam viņa pārkāpumu un Israēlim viņa grēkus.
Lakini kwangu, nimejazwa nguvu kutoka kwa Roho wa Yahwe, na nimejaa haki na uweza, kumwambia Yakobo kosa lake, na Israeli dhambi yake.
9 Klausiet jel šo, Jēkaba nama virsnieki un Israēla nama valdnieki, kam taisnība ir riebīga un kas pārgrozāt visu patiesību,
Sasa sikieni hii, ninyi viongozi wa nyumba ya Yakobo, na watawala wa nyumba ya Israeli, ninyi ambao mnaochukia haki, na kupotosha kila haki.
10 Un uztaisāt Ciānu ar asinīm un Jeruzālemi ar netaisnību.
Mnaijenga Sayuni kwa damu na Yerusalemu kwa uovu.
11 Viņas virsnieki tiesā par dāvanām, un viņas priesteri māca par algu, un viņas pravieši zīlē par naudu, tomēr tie paļaujas uz To Kungu un saka: “Vai Tas Kungs nav mūsu vidū? Mums ļaunums neuzies.”
Viongozi wenu huhukumu kwa rushwa, makuhani wenu hufundisha kwa hijara, na manabii wenu hufanya utabiri kwa ajili ya pesa. Hata hivyo bado mtamtegemea Yahwe na kusema, “Je hayupo Yahwe pamoja nasi? Hakuna uovu utakaokuja juu yetu.”
12 Tāpēc jūsu dēļ Ciāna taps arta kā tīrums, un Jeruzāleme paliks par akmeņu kopu un šī nama kalns par meža kalnu.
Kwa hiyo, kwasababu yenu, Sayuni italimwa kama shamba, Yerusalemu itakuwa rundo la kifusi, na mwinuko wa hekalu utakuwa kama mwinuko wa msituni.

< Michas 3 >