< Trešā Mozus 7 >

1 Šis nu ir tas nozieguma upura likums; tas ir augsti svēts.
Hii ndiyo sheria ya sadaka ya hatia. Kwa sababu hiyo ni sadaka takatifu sana.
2 Tai vietā, kur nokauj dedzināmo upuri, būs arī nokaut nozieguma upuri, un viņa asinis būs slacīt uz altāri visapkārt.
Ni lazima waichinje sadaka ya hatia mahali panapostali kuchinjwa, na ni lazima watainyunyiza damu yake pande zote za madhabahu.
3 Un visus viņa taukus būs upurēt, asti un taukus, kas iekšas apklāj,
Mafuta yote yaliyomo ndani yake yataondolewa: mafuta ya mkiani, mafuta yaliyo sehamu za ndani,
4 Un abas īkstis un tos taukus pie tām, pie gurniem, un aknu taukus būs noņemt pie īkstīm.
zile figo mbili pamoja na mafuta yaliyo juu yake, yaliyo karibu na kiuno, na yanayofunika ini—nyama hii yote lazima iondolewe pamoja na hizo figo.
5 Un priesterim tos būs iededzināt uz altāra par uguns upuri Tam Kungam; tas ir nozieguma upuris.
Kuhani ataviteketeza vipande hivi juu ya madhabahu viwe dhabihu iliyofanywa kwa Yahweh kwa moto. Hii ni sadaka ya hatia
6 Visiem, kas no vīriešu kārtas starp priesteriem, no tā būs ēst; to būs ēst svētā vietā, - tas ir augsti svēts.
Kila mwanaume miongoni mwa familia ya kuhani anaweza kula sehemu ya sadaka hii. Lakini ni lazima iliwe ndani ya mahali patakatifu kwa sababu ni takatifu sana.
7 Tā kā grēku upuris, tā būs būt nozieguma upurim, - tiem ir viens likums, tas pieder tam priesterim, kas ar to salīdzina.
Nayo sadaka ya dhambi ni kama ilivyo sadaka ya hatia. Ni sheria ileile hutumika kwa zote mbili. Zote ni mali ya kuhani azitumiaye kufanya upatanisho.
8 Un tam priesterim, kas upurē kāda dedzināmo upuri, pieder no tā dedzināmā upura, ko viņš upurē, tā āda.
Kuhani atoaye sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya mtu yeyote anaweza kuchuku ngozi ya sadaka hiyo kwa ajili yake mwenyewe.
9 Un visi ēdamie upuri, kas ceplī top cepti, ar visu, kas katlā un pannā sataisīts, pieder tam priesterim, kas to upurē.
Kila sadaka ya nafaka inayookwa mekoni, na kila sadaka kama hiyo ipikwayo kaangoni au kwenye sufuria itakuwa ya kuhani aitoaye.
10 Arī visi ēdamie upuri vai ar eļļu sajauktie, vai sausie, piederēs visiem Ārona dēliem, vienam kā otram.
Kila sadaka ya nafaka, ama iwe unga mkavu au uliochanganywa na mafuta ya zeitu itakuwa ya ukoo wa Aroni kwa usawa.
11 Un šis ir tas likums par to pateicības upuri, ko Tam Kungam upurē.
Hii ndiyo sheria ya dhabihu ya sadaka za amani, ambazo watu watazitoa kwa Yahweh.
12 Ja to par pateicību pienes, tad līdz ar to pateicības upuri būs upurēt neraudzētas karašas, kas ar eļļu sajauktas, un neraudzētus raušus, kas ar eļļu aptraipīti, un karašas, kas ar eļļu ir sajauktas no iejautiem kviešu miltiem.
Iwapo mtu yeyote anaitoa ili kuonyesha shukrani kwa Yahweh, basi ataitoa pamoja na dhabih uya mikate iliyotengenezwa bila hamira, bali kwa mafuta ya zeituni yaliyochanganywa na unga lakini bila hamira, na maandazi yaliyotengenezwa bila hamira, bali yaliyopakwa mafuta juu yake, na mikate miembamba iliyofanywa kwa unga laini uliochanganywa na mafuta.
13 Līdz ar tām karašām būs pienest saraudzētu maizi par upuri, par pateicības upuri un slavas upuri.
Kwa kusudi la kutoa shukrani, pia anapaswa kutoa pamoja na sadaka yake ya amani, vipande vya mikate iliyotiwa hamira.
14 Un vienu karašu no visa tā upura Tam Kungam būs pienest par cilājamu upuri; tas piederēs tam priesterim, kas slaka pateicības upura asinis.
Ni lazima atatoa moja kila aina ya sadaka hizi kama sadaka iliyoletwa kwa Yahweh. Nayo itakuwa ya makuhani wanaonyunyizia damu ya sadaka ya amani kwenye madhabahu.
15 Bet slavas un pateicības upura gaļu būs tai dienā ēst, kad to upurē; no tā nekā nebūs atlicināt līdz rītam.
Mtu anayeleta sadaka ya amani kwa kusudi la kutoa shukrani ni lazima ataila nyama ya sadaka yake siku ya kutoa dhabihu. Hatakiwi kusaza chochote kilicho cha sadaka hiyo hata asubuhi ya pili.
16 Un ja viņa upuris ir solījums vai upuris no laba prāta, tad to būs ēst tai dienā, kad to nes, un kas no tā atliek, to būs ēst otrā dienā.
Lakini iwapo dhabihu ya matoleo yake kusudi lake ni nadhiri, au kwa kusudi la sadaka ya hiari, nyama yake italiwa siku iyo hiyo aitoapo dhabihu yake, lakini chochote kinachosalia cha sadaka hiyo kinaweza kuliwa siku inayofuata.
17 Un kas vēl atliek no tā upura gaļas, to būs trešā dienā sadedzināt ar uguni.
Hata hivyo, nyama yoyote ya dhabihu inayobaki siku ya tatu ni lazima ichomwe moto.
18 Bet ja kas no sava pateicības upura gaļas ēdīs trešā dienā, tad tas, kas to upurējis, nebūs patīkams, - tas upuris viņam netaps pielīdzināts, tā būs viena negantība, un tam, kas no tā ēdīs, tas būs par noziegumu.
Iwapo kipande chochote cha nyama hiyo ya dhabihu kinachobaki kinaliwa katika siku ya tatu, hakitakubalika, wala hakitatolewa kwa aliyeitoa. Kitakuwa ni kitu cha kuchukiza, na mtu akilaye atabeba hatia ya dhambi mwenyewe yake.
19 Un to gaļu nebūs ēst, kas no kāda nešķīstuma aizskarta, to būs sadedzināt ar uguni. To gaļu ikviens var ēst, kas ir šķīsts.
Nyama yoyote inayogusa kitu kilicho najisi haitaliwa. Ni lazima ichomwe moto. Na kwa ajili ya nyama inayobaki, yeyote aliye safi anaweza kuila.
20 Un ja kas laban ēdīs no Tā Kunga pateicības upura gaļas, kamēr nešķīstums pie viņa, tad tam būs tapt izdeldētam no saviem ļaudīm.
Hata hivyo, mtu najisi anayekula nyama kutoka kwenye dhabihu ya matoleo ya amani ambayo ni ya Yahweh yapasa mtu huyu akatiliwe mbali kutoka kwa watu wake.
21 Un ja kas laban ko aizskar, kas ir nešķīsts, vai cilvēka nešķīstumu vai kādu nešķīstu lopu vai kādu citu nešķīstu negantību, un ēd no pateicības upura gaļas, kas Tam Kungam pieder, tam būs tapt izdeldētam no saviem ļaudīm.
Iwapo mtu yeyote anagusa kitu chochote kilichonajisi—iwe ni unajisi wa binadamu, au wa mnyama aliyenajisi, au wa kitu fulani kilichonajisi na chenye kuchukiza, na kisha akala baadhi ya nyama ya dhabihu ya sadaka ya amani iliyotolewa kwa Yahweh, lazima mtu huyo akatiliwe mbali kutoka kwa watu wake.
22 Un Tas Kungs runāja uz Mozu un sacīja:
Kisha Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
23 Runā uz Israēla bērniem un saki: Jums nebūs ēst taukus no vēršiem un jēriem un kazām.
“Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, 'hamruhusiwi kula mafuta ya fahali au kondoo au mbuzi.
24 Taukus no kādas maitas un taukus no tā, kas saplēsts, jūs varat likt pie visādām lietām, bet jums tos nebūs ēst.
Mafuta ya mnyama yoyote afaye peke yake bila ya kuwa dhabihu, au mafuta ya mnyama yeyote aliyeraruliwa na wanyama pori, yanaweza kutumika kwa makusudi mengine, lakini hakika hamtayala.
25 Jo ikviens, kas taukus ēdīs no kāda lopa, no kā Tam Kungam upurē uguns upuri, tam, kas to ēdis, būs tapt izdeldētam no saviem ļaudīm.
Yeyote atakayekula mafuta ya mnyama ambayo watu wanaweza kuyatoa kuwa dhabihu ya iliyofanywa kwa Yahweh kwa moto, mtu huyo lazima atakatiliwa mbali kutoka kwa watu wake.
26 Jums arī nepavisam nebūs asinis ēst savās mājās, ne no putniem, ne no lopiem.
Hamtakula damu yoyote katika mojawapo ya nyumba zenu, ama iwe kutoka kwa ndege au mnyama.
27 Ikvienam, kas asinis ēd, tam būs tapt izdeldētam no saviem ļaudīm.
Yeyote alaye damu yoyote, mtu huyo lazima akatiliwe mbali kutoka kwa watu wake.'”
28 Un Tas Kungs runāja uz Mozu un sacīja:
Kwa hiyo Yahweh akazungumza na Musa na akasema,
29 Runā uz Israēla bērniem un saki: kas savu pateicības upuri Tam Kungam nes, tam būs atnest, kas Tam Kungam par upuri pienākas no viņa pateicības upura.
“Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, 'Yeye atoaye dhabidhu ya sadaka ya amani kwa Yahweh lazima alete sehemu ya dhabihu yake kwa Yahweh.
30 Viņa rokas lai to uguns upuri Tam Kungam nes, tos krūšu taukus lai nes līdz ar tām krūtīm, un to lai līgo par līgojamu upuri Tā Kunga priekšā.
Mikono yake mwenyewe lazima iilete hiyo sadaka ifanywayo kwa Yahweh kwa moto. Naye atayaleta hayo mafuta pamoja na kidari, ili kwamba kidari kiweze kutikiswa kuwa sadaka ya kutikiswa mbele za Yahweh.
31 Un priesterim tos taukus būs iededzināt uz altāra, bet tās krūtis piederēs Āronam un viņa dēliem.
Kuhani atayachoma mafuta hayo juu ya madhabahu, lakini kile kidari kitakuwa mali ya Aroni na uzao wake.
32 Un to labo pleci jums būs dot par cilājamu upuri priesterim no saviem pateicības upuriem.
Ni lazima utatoa paja la kulia kwa kuhani kama sadaka iliyotokana na dhabihu ya sadaka yako ya amani.
33 Kurš no Ārona dēliem upurē pateicības upura asinis un taukus, tam tas labais plecs piederēs par daļu.
Yule kuhani, mmoja wa wazao wa Aroni, atoaye damu na mafuta ya sadaka ya amani—ni lazima atapata paja la kulia kama mgao wake wa sadaka.
34 Jo tās krūtis un to cilājamo pleci es esmu ņēmis no Israēla bērniem, no viņu pateicības upura, un tos devis Āronam, tam priesterim, un viņa dēliem par tiesu no Israēla bērniem mūžam.
Kwa kuwa nimetwaa kidari, na paja la sadaka ya kutikiswa kutoka kwa watu wa Israeli uwe mchango wao, na amepewa Aroni kuhani na wanawe kuwa mgao wao wa kawaida.
35 Šī ir Ārona svaidīšanas daļa un viņa dēlu svaidīšanas daļa no Tā Kunga uguns upuriem, tai dienā, kad viņš tos pieveda, palikt par Tā Kunga priesteriem.
Huu ndiyo mgao wa Aroni na uzao wake utokanao na matoleo yaliyofanywa kwa Yahweh kwa moto, siku ile Musa alipowaweka wakfu ili kumtumikia Yahweh katika kazi ya kuhani.
36 To Tas Kungs pavēlējis, viņiem dot no Israēla bērniem, tai dienā, kad Viņš tos svaidīja, par tiesu pie viņu pēcnākamiem mūžam.
Huu ndio mgao ambao Yahweh aliamru waweze kupewa kutoka kwa watu wa Israeli, katika siku hiyo aliyowatia mafuta ya upako wawe makuhani. Nao utakuwa mgao wao wa kila siku katika vizazi vyote.
37 Šis ir dedzināmā upura, ēdamā upura un grēku upura un nozieguma upura un iesvētīšanas upura un pateicības upura likums,
Hii ndiyo sheria ya sadaka ya kuteketezwa, ya sadaka ya nafaka, ya sadaka ya dhambi, ya sadaka ya hatia, ya sadaka ya kuweka wakfu, na ya dhabihu, ya sadaka za amani,
38 Ko Tas Kungs Mozum ir pavēlējis uz Sinaī kalna, kad viņš Israēla bērniem pavēlēja, Tam Kungam upurēt savus upurus Sinaī tuksnesī.
ni sheria ambazo Yahweh alizitoa kwa Musa kwenye Mlima Sinai siku aliyowaamru watu wa Israeli kutoa dhabihu zao kwa Yahweh katika jangwa la Sinai.'”

< Trešā Mozus 7 >